Mbeya Jiji la Squatters: Dkt. Tulia tunaomba shughulikia hili

Mbeya Jiji la Squatters: Dkt. Tulia tunaomba shughulikia hili


"Jiji" la Mbeya ni 90% squatters.

Hata aliyekuwa mkuu wa mkoa wakati fulani Mateo Qares, aliliita jiji la Mbeya kijiji kikubwa.

Sehemu ambayo imepimwa vizuri jiji la Mbeya ni lile la mkoloni, Uzunguni, Ghana, Soko Motola(alikofikia Mandela) na Majengo na mjini kati.

Lakini sehemu ambazo kuna watu wengi zaidi kama Mwanjelwa, Mafiati,Isyesye, Mabatini , Nzovwe na sehemu nyingi hali ni mbaya sana.

Dr Tulia sasa tunakutegemea kuanzisha mpango kabambe utakao wezesha kuchonga barabara kati kati ya hizo squatters. Ofcourse lazima watakaobomolewa inabidi walipwe fidia.

Hili lazima lifanyike sasa, maana 50 years later ndio mafanikio yataonekana.

Magufuli ametuonyesha hili, hapo Kimara-Kibaha.

Dr Tulia hili ukifanya litakumbkwa kwa miaka mingi.
Muda wa Tulia umekwisha, na atatoka 2025 hajafanikisha chochote. Tusubiri mbunge mpya kabisa ambaye siyo Sugu wala Tulia ndiyo ataleta hiyo impact.

Hao wawili hawawezi kupita kweye chaguzi ya 2025 hata kama vyama vyao vitalazimisha.
 
Watu wa Mbeya inabidi wajitafakari sana na wajifunze sana kupajenga kwao vizuri.

Mbeya ni sehemu iliyojengwa hovyo kuliko sehemu zote Tanzania.

Kwa mkoa mzima sehemu iliyopangwa at least ni Kyela tu. Sehwmu nyingine zote ni kama jalala la takataka
Kama Kyela imejengeka kuliko Mbeya basi Mkuu Lord denning ulionyeshwa Lilongwe na siyo Kyela. Karibu Mbeya tena tukutembeze
 
Isyesye
Iwambi
Majengo
Uhindini
Forest mpya na
Ya zamani
Kote hampaoni mmekazana na
Ilemi
Ilolo
Old airport
Na mafiat
Hatukatai mji hauja pqngwa Ila sio Kama mnavo sema nyinyi bhana
 
Isyesye
Iwambi
Majengo
Uhindini
Forest mpya na
Ya zamani
Kote hampaoni mmekazana na
Ilemi
Ilolo
Old airport
Na mafiat
Hatukatai mji hauja pqngwa Ila sio Kama mnavo sema nyinyi bhana
Ongeza na maeneo yafuatayo,
Ivumwe
Ituha
Block X
Block Q
Block T
Ikulu

Nako kumepangika vizuri
 
Mkuu huo si utetezi kwa mji kama Mbeya wenye jina kubwa kuwa kijiji kikubwa.
Kuna maeneo leo miaka 61 baada ya uhuru kuna nyumba za tope, hakuna barabara , hakuna taa, vyoo ni vya shimo.
Pathetic.
Mbona hata katikati ya jiji la Dar bado zipo nyumba za tope na vyoo vya shimo, nenda maeneo ya Gerezani, Mishenikota na Ilala yote.
 
Isyesye
Iwambi
Majengo
Uhindini
Forest mpya na
Ya zamani
Kote hampaoni mmekazana na
Ilemi
Ilolo
Old airport
Na mafiat
Hatukatai mji hauja pqngwa Ila sio Kama mnavo sema nyinyi bhana
Amua kuhama uachane na hawa watu, hamia Kawetere ujione kama uko ghorofani Mbeya na Usangu unawatemea mate.
 
Mkuu! Mbeya kuna block T, forest mpya, forest ya zamani, jacaranda, block Q, kuna eneo kama unaenda mbalizi nimepasahau jina mbele ya iyunga, huko Ghana, na kuna maeneo nimeyasahau majina yako vizuri sana.
Miaka ya 60 mwanzoni niliishi Jacaranda na Mbeya School(Iyunga) kulikuwa kuzuri kunanukia mikambokambo na kaubaridi kazuri hakuna vumbi.
 
View attachment 2827604
Siyo kwamba sehemu zote Mbeya ni Mbaya, lakini over 90 % ni sehemu haziko kwenye kupangwa kimji.
Sawa! Bahati nzuri majiji yote nayafaham. Mimi nipo jiji la Ilala mkoa Dar salaam. Angalia Ilala ni asilimia ngapi imepangwa, mkoa mzima wa dar achilia maeneo machache yaliyopangika aehemu kubwa iko hovyo mkuu!
 

"Jiji" la Mbeya ni 90% squatters.

Hata aliyekuwa mkuu wa mkoa wakati fulani Mateo Qares, aliliita jiji la Mbeya kijiji kikubwa.

Sehemu ambayo imepimwa vizuri jiji la Mbeya ni lile la mkoloni, Uzunguni, Ghana, Soko Motola(alikofikia Mandela) na Majengo na mjini kati.

Lakini sehemu ambazo kuna watu wengi zaidi kama Mwanjelwa, Mafiati,Isyesye, Mabatini , Nzovwe na sehemu nyingi hali ni mbaya sana.

Dr Tulia sasa tunakutegemea kuanzisha mpango kabambe utakao wezesha kuchonga barabara kati kati ya hizo squatters. Ofcourse lazima watakaobomolewa inabidi walipwe fidia.

Hili lazima lifanyike sasa, maana 50 years later ndio mafanikio yataonekana.

Magufuli ametuonyesha hili, hapo Kimara-Kibaha.

Dr Tulia hili ukifanya litakumbkwa kwa miaka mingi.
Tz yote 80% is probably squatters...iangalie Dsm halafu project hiyo kwenda mikoani...katika mambo tumefeli na ndiyo maana Msukuma anadharau wasomi na kuwaona takataka ni kwamba tumeshindwa hata kupima miji yetu...tumeiacha ijitanue yenyewe!
 
Nchi yote imeoza kwa mpangilio mbovu. Ni sehemu chache sana zimepimwa nchini. Sehemu kubwa watu wamejijengea tu bila mpangilio. Na hiyo ni ksbb ya serikali kutoenda na wakati. Hawafanyi kwa wakati kuyapima maeneo,na kupitisha miundombinu
Serikali ni wasomi...tukubali tu kwamba wasomi wetu ni pumbafu...wanawaza per diem na kuiba...
 
Muda wa Tulia umekwisha, na atatoka 2025 hajafanikisha chochote. Tusubiri mbunge mpya kabisa ambaye siyo Sugu wala Tulia ndiyo ataleta hiyo impact.

Hao wawili hawawezi kupita kweye chaguzi ya 2025 hata kama vyama vyao vitalazimisha.
We unaongea ya baada ya 2025, mi naongea Tulia apige kazi SASA.
Huyo unayemtaka wacha ale viasi na mbaragha kwa sasa, na wewe na yeye mtulize boli.
 
Mbona hata katikati ya jiji la Dar bado zipo nyumba za tope na vyoo vya shimo, nenda maeneo ya Gerezani, Mishenikota na Ilala yote.
Hayo ni mawazo ya mtu anayejihalalishia uozo kichwani.
Ati mradi jirani hana akili basi na mimi poa tu.
 
Watu wa Mbeya inabidi wajitafakari sana na wajifunze sana kupajenga kwao vizuri.

Mbeya ni sehemu iliyojengwa hovyo kuliko sehemu zote Tanzania.

Kwa mkoa mzima sehemu iliyopangwa at least ni Kyela tu. Sehwmu nyingine zote ni kama jalala la takataka
Kuna tunduma...mji mzima ni vibanda vya kuku
 
Mbunge ana mamlaka gani ya kushughulikia mipango miji!!!!Mkurugenzi na RC na DC wanafanya nini!!
 

"Jiji" la Mbeya ni 90% squatters.

Hata aliyekuwa mkuu wa mkoa wakati fulani Mateo Qares, aliliita jiji la Mbeya kijiji kikubwa.

Sehemu ambayo imepimwa vizuri jiji la Mbeya ni lile la mkoloni, Uzunguni, Ghana, Soko Motola(alikofikia Mandela) na Majengo na mjini kati.

Lakini sehemu ambazo kuna watu wengi zaidi kama Mwanjelwa, Mafiati,Isyesye, Mabatini , Nzovwe na sehemu nyingi hali ni mbaya sana.

Dr Tulia sasa tunakutegemea kuanzisha mpango kabambe utakao wezesha kuchonga barabara kati kati ya hizo squatters. Ofcourse lazima watakaobomolewa inabidi walipwe fidia.

Hili lazima lifanyike sasa, maana 50 years later ndio mafanikio yataonekana.

Magufuli ametuonyesha hili, hapo Kimara-Kibaha.

Dr Tulia hili ukifanya litakumbkwa kwa miaka mingi.
Kwanza unaleta picha za google za zamani sana.

Pili Jiji gani Tanzania hii ukitoa Dom na Tanga sio squatters?

Mwisho ndio maana niliandika mada kwamba Wizara ya Kilimo na Jerry Silaa watupishe kwa kuondoa mashamba katikati ya Mji.

Ni upuuzi Kugeuza eneo prime kama la Uyole kuwa mashamba ya mahindi wakati lingefaa Kwa Ajili ya uendelezaji wa Jiji maana ni usoni mwa Mji.
 
Tulia hanauwezo wakurekebisha,hili tatizo la ujenzi holela lipo tangu enzi za Nyerere na wanainchi wengi wanaona fahari kuishi mabondeni na sehemu zisizopimwa
 
Back
Top Bottom