Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Mabatini wanajitetea ni mji wa zamani lakini makosa mbona yanarudiwa maeneo mapya kama Uyole,Nsalaga nk?yaani hii inashangaza sana!True! Ukienda sehemu kama mabatini unaweza kujiuliza hivi waafrika tumeshindwa kabisa kupanga miji??
Mbona vijiji tunavipanga vizuri tu
Unazungumzia ubora wa nyumba au mpangilio wa mji?Kuwa serious mkuu hivi mabatitini ya mbeya unaweza kulinganisha na mabatini ya mwanza au Ghana ya mwanza ulinganishe na ilolo ya mbeya? Ni kweli miji yetu ya Tanzania kwa asilimia kubwa haijapangwa lakini ukianza kuangalia unafuu kwa Mbeya hali ni dhoufu na nyumba nyingi za uswahilini mbeya ni za tope.
Huyu mhamiaji wa uyole hawezi kukuelewa 😀,eti uyole ndiyo usoni mwa jiji🙄,Ukishuka SONGWE AIRPORT usoni mwa jiji ni wapi?ukiwa masikini pia unakuwa kipofu🤣Uyole ni CBD toka lini? Acha mji uwe na sehemu ya kupumulia. Mkiona eneo lipo wazi manataka mjaze mavibanda, mnadhani ndiyo maendeleo.
Yaani nimecheka sana!Ardhi ovyo sana. Kuna eneo langu niliomba nipimiwe ni zaidi ya miaka mitatu sasa. Kila kikenda uswahili tu. Kuna mpima wa manispaa ya ilala ovyo sana. Ni mtu wa Mbeya anashirikiana na wahuni kuzungusha watu wasipate hati zao.
Watu wengi Mwanjelwa, Mafiati, Nzovwe, Iyunga, Uyole, matofali ndiyo hayo matofali ya udongo na tope lililolkauka.Unaz
Unazungumzia ubora wa nyumba au mpangilio wa mji?
Maana unaweza kujikuta umehama mada mkuu.
Karibuni Mbeya tofali mbichi inauzwa Tshs 300🙄
Yaani nimecheka sana!
Huko kwao Mbeya tu hapimi, sasa huku Dar atapimaje?
Barabara Sasa ndo kivumbiIwambi imejengwa kwa mpangilio mzuri
Green City...Mbeya bana, halafu wenyewe wanajiona wajanja na wajuaji.
Ninyi novices, mpaka sasahao mipango miji na sheria zimekusaidia nini, na tstizo bado lipo!?Muendelezo wa Kutegemea Watu badala ya Taasisi kufanya kazi yake na Sheria kufuata mkondo tutaendelea na haya Maigizo kila siku...
- Hakuna Mipangomiji ?
- Hakuna Sheria ?
Sasa kama sheria zipo na mipango miji ipo na tatizo bado lipo hauoni kwamba hapo Tatizo ni nini ? Au ndio mwendelezo wa Band-aiding a leg which needs amputation ?Ninyi novices, mpaka sasahao mipango miji na sheria zimekusaidia nini, na tstizo bado lipo!?
True, weka lipstick kwa kiti moto ili upate mradi wako.Sasa kama sheria zipo na mipango miji ipo na tatizo bado lipo hauoni kwamba hapo Tatizo ni nini ? Au ndio mwendelezo wa Band-aiding a leg which needs amputation ?
Nchi isiyofuata sheria wala Taasisi kutokufanya kazi ndio mzizi wa tatizo, na kutegemea maamuzi ya mtu kugusagusa hapa na pale ni sawa na putting lipstick on a pig; sababu huenda hata atakachofanya yeye kisiwe kwa mujibu wala mipango ya experts
Mbeya kuna ushirikina sana, sawa tu na jirani zao SumbawangaMbeya mji wa kipuuzi, Yes!
Mji wa ushirikina? Ukifuata ushirikina popote pale nchi hii ,nawe ni mshirikina, utaupata!
Ni kweli haueleweki kabisaHuu mji city center sjui huwa ni wapi
Nimekaa Mbeya wiki nzima, Mbeya haieleweki vizuri
"Jiji" la Mbeya ni 90% squatters.
Hata aliyekuwa mkuu wa mkoa wakati fulani Mateo Qares, aliliita jiji la Mbeya kijiji kikubwa.
Sehemu ambayo imepimwa vizuri jiji la Mbeya ni lile la mkoloni, Uzunguni, Ghana, Soko Motola(alikofikia Mandela) na Majengo na mjini kati.
Lakini sehemu ambazo kuna watu wengi zaidi kama Mwanjelwa, Mafiati,Isyesye, Mabatini , Nzovwe na sehemu nyingi hali ni mbaya sana.
Dr Tulia sasa tunakutegemea kuanzisha mpango kabambe utakao wezesha kuchonga barabara kati kati ya hizo squatters. Ofcourse lazima watakaobomolewa inabidi walipwe fidia.
Hili lazima lifanyike sasa, maana 50 years later ndio mafanikio yataonekana.
Magufuli ametuonyesha hili, hapo Kimara-Kibaha.
Dr Tulia hili ukifanya litakumbkwa kwa miaka mingi.
Mkuu nasisisitiza, ukiutafuta ushirikinia huna haja ya kwenda Mbeya, hapo hapo Bongo utawakuta kina Kalumanzira, wengi tu, tena na mabago ya kazi mitaani.Mbeya kuna ushirikina sana, sawa tu na jirani zao Sumbawanga
Shida ya mbeya ujuaji mwingi hata mtaalam akiwaeleza Wanamvuruga siasa zimewaharibu Sana ndo maana hata jiji halieleweki kabisaWatu wenyewe wa Mkoa huo ndio hao kina Mwambukusi unategemea nini? Ukuaji,ubishi na kiburi 🤣🤣
Saizi wanaiharibu Mbalizi wakati eneo like kuanzia Songwe Viwandani linbepanvwa vyema ila ndio hivyo Sasa no one cares.
Halmark ya miji ambayo haijapangwa ni kuwa na High Street.Nimekaa Mbeya wiki nzima, Mbeya haieleweki vizuri
Huwezi kujua center ni wapi...yaani maduka makubwa na masoko yapo barabarani tu
Mji haujapangiliwa vizuri halafu barabara ni mbovu kwa sehemu kubwa
Nilikuwa nakaa pale SAE mitaa ya TANESCO
Kuna msemo: unaweza kumtoa mtu Manzese, lakini uwezi kutoa 'umanzese' kwa mtu huyo.
"Jiji" la Mbeya ni 90% squatters.
Hata aliyekuwa mkuu wa mkoa wakati fulani Mateo Qares, aliliita jiji la Mbeya kijiji kikubwa.
Sehemu ambayo imepimwa vizuri jiji la Mbeya ni lile la mkoloni, Uzunguni, Ghana, Soko Motola(alikofikia Mandela) na Majengo na mjini kati.
Lakini sehemu ambazo kuna watu wengi zaidi kama Mwanjelwa, Mafiati,Isyesye, Mabatini , Nzovwe na sehemu nyingi hali ni mbaya sana.
Dr Tulia sasa tunakutegemea kuanzisha mpango kabambe utakao wezesha kuchonga barabara kati kati ya hizo squatters. Ofcourse lazima watakaobomolewa inabidi walipwe fidia.
Hili lazima lifanyike sasa, maana 50 years later ndio mafanikio yataonekana.
Magufuli ametuonyesha hili, hapo Kimara-Kibaha.
Dr Tulia hili ukifanya litakumbkwa kwa miaka mingi.