Mbeya Jiji la Squatters: Dkt. Tulia tunaomba shughulikia hili

Mbeya Jiji la Squatters: Dkt. Tulia tunaomba shughulikia hili

Nimekaa Mbeya wiki nzima, Mbeya haieleweki vizuri

Huwezi kujua center ni wapi...yaani maduka makubwa na masoko yapo barabarani tu

Mji haujapangiliwa vizuri halafu barabara ni mbovu kwa sehemu kubwa

Nilikuwa nakaa pale SAE mitaa ya TANESCO
Huku kwetu kila mtu anakomaa ajenge pembezoni mwa barabara kuu(TANZAM)ili iwe rahisi usafiri😁
 
Kwani sifa za kuitwa eneo ni jiji ni zipi?
Mbeya kiuhaki siyo Jiji, ni kijiji kikubwa cha watu wengi.
Ili liwe jiji:
-Utashi wa kisiasa kuendeleza jiji lazima uwepo

-mitaa iwe introduced kwa jiji kuchorwa upya

-open spaces na viwanja kwa watoto vipatikane

-kuna wananchi nyumbe ni lazima wabomolewe

-wananchi wahimizwe kujenga nyumba zenye vyoo vya kisasa(septic tanks)

-Serikali imetoa mfano mzuri sana kwa kuondoa slums za Magomeni Kota, lifanyike Mbeya kwa kushirikiana na sekta binafsi.

Zaidi ya yote, wabunge, madiwani, Mkuu wa Moa na viongozi wote MUST THINK 50-100 YEARS AHEAD.
 
Hapa Hatuongelei sifa za jiji kinachoongelewa ni ujenzi holela hadi Barabara za mitaa ni shida hata material yanayotumika kwenye ujenzi ni shida Yan tofali mbichi bado zinatumika
aerial-view-of-mbeya-city-tanzania-WXY212.jpg
mbeya-tanzania-drone-view-city-600w-2261608023.jpg
city-of-mbeya-tanzania-africa-W1YC4H.jpg
mbeya-tanzania-drone-view-city-260nw-2261608027.jpg

Kwani sifa za kuitwa eneo ni jiji ni zipi?
 
Mwaka Jana walizindua mpango kababe wa kuboresha jiji wakadai inatakiwa lifumuliwe upya jiulize utekelezaji na hii imechangia hata tunduma ku copy ujenzi wa style hii tunduma nako Barabara za mitaa shida
4.JPG
 
Na kwenye ishu ya ujenzi Bora hata mikoa ya njombe na iringa wanajenga nyumba za maana Sana hata kwenye mpangilia angalau wanajitahidi sio mbeya tuwe wakwel asee mfana wa miji ya njombe na makambako MAKAMBAKO TC
FB_IMG_16811889713114200.jpg
NJOMBE TC
84992847.jpg
 
Huu ni ukweli mchungu...na yale matofali wanayojengea yanazidi kuufanya mji uwe kama magofu ya kale...
 
Mitaa ya uhindini...soko matola pako bien..nadhani ndo mjini huko..sema kwa sasa mji umehamia mwanjelwa....
Long tym wakati wa kuskongeka mitaa ya soko matola ilitulea...
 
True, weka lipstick kwa kiti moto ili upate mradi wako.
Tatizo la wasokile ni kufikili they are more intelligent than the rest of them wakati mnaishi nyumba za tope na vyoo vya shimo karne hii mjini Mbeya.
Hii sifa ya kijinga ya masikini jeuri ndiyo mpaka kesho viongozi walioshikilia pochi wanainyanyapaa Mbeya.
Singida sasa hivi wanaimba mapambi hadi kero, lakini wana mawaziri wawili cabinet wakati siye tunabung'aa macho.

Na ninyi mbumbumbu msichoelewa ni kwamba uongozierikalini ni pamoja na kuvutia ngozi kwako kama muwamba goma.

Mtu aliye play his part vizuri kwa Mbeya ni Prof Mwandosya na kiwanja cha ndege alichokipigania. Viherehere mmemchagua Sugu and we had 10 precious wasted years.
Sasa kabla ya Sugu mbona miaka yote tangu Uhuru wabunge ni wa CCM, huwezi kumlaumu mbunge aliyekaa miaka 10 kwa suala ambalo ni la kiserikali zaidi. Tukirejea majukumu ya mbunge, Mr Sugu alitimiza wajibu wake vizuri sana. Kama mkuu wa nchi anasema mkichagua mpinzani msahau maendeleo, hapo unategemea nini?
 
Mitaa ya uhindini...soko matola pako bien..nadhani ndo mjini huko..sema kwa sasa mji umehamia mwanjelwa....
Long tym wakati wa kuskongeka mitaa ya soko matola ilitulea...
Sehemu hizo Soko Matola, Uhindini, Uzunguni, Ghana zilipangwa na mkoloni na ndiyo maana hadi leo ziko vizuri.
 
Sasa kabla ya Sugu mbona miaka yote tangu Uhuru wabunge ni wa CCM, huwezi kumlaumu mbunge aliyekaa miaka 10 kwa suala ambalo ni la kiserikali zaidi. Tukirejea majukumu ya mbunge, Mr Sugu alitimiza wajibu wake vizuri sana. Kama mkuu wa nchi anasema mkichagua mpinzani msahau maendeleo, hapo unategemea nini?
Haya mambo ya mipango miji Sugu itakuwa kumsingizia bure.
Hana uwezo wa kuelewa hata kinachotakiwa, ndio maana nikasema a wasted 10 good years.

Tulia si tu ataelewa kinachozungumziwa, lakini kwa international exposure yake kwa sasa, Mbeya inaweza kupata mbia wa kusaidia na ku fund upangaji upya wa jiji la Mbeya.
Hili lazima liwe changamoto la long term kwa Tulia.
 
True, weka lipstick kwa kiti moto ili upate mradi wako.
Tatizo la wasokile ni kufikili they are more intelligent than the rest of them wakati mnaishi nyumba za tope na vyoo vya shimo karne hii mjini Mbeya.
Karne ya sasa unaona to shit where you eat ndio ujanja..., Sewage system za Bongo zipo vipi au kinyesi na uchafu wote unakwenda kwenye vyanzo vya maji bila treatment ndio maana magonjwa ya ajabu ajabu yamekuwa ni kawaida Wewe unaongelea Mbeya mimi naongelea Tanzania nzima mipango miji haifuatwi (tena master plan nyingine ziliachwa tangia enzi za mkoloni; open spaces zote zinafutiliwa mbali watu wanashindwa kuelewa mipango yote inabidi iangalie mambo matatu; Social; Economic and Environment
Hii sifa ya kijinga ya masikini jeuri ndiyo mpaka kesho viongozi walioshikilia pochi wanainyanyapaa Mbeya.
Singida sasa hivi wanaimba mapambi hadi kero, lakini wana mawaziri wawili cabinet wakati siye tunabung'aa macho.
Ndio yaleyale Singida na Mbeya hakuna master plan ya muda mfupi na mrefu ? Je inafuatwa ? Au unataka kila waziri akija apeleke vitu kwao no matter kwa wakati huo kuna uhitaji mkubwa wapi yaani wengine wapeleke kwao Highway hata kama hazihitajiki wakati pengine hakuna hata uchochoro (wakati huenda huko pasipo uchochoro ndio chakula inabidi kitoke kitulishe)
Na ninyi mbumbumbu msichoelewa ni kwamba uongozierikalini ni pamoja na kuvutia ngozi kwako kama muwamba goma.

Mtu aliye play his part vizuri kwa Mbeya ni Prof Mwandosya na kiwanja cha ndege alichokipigania. Viherehere mmemchagua Sugu and we had 10 precious wasted years.
Hii myopic ya umimi ya kwetu wakati Tanzania ni moja wala hauhitaji Passport kwenda popote kufanya lolote ni sawa sawa mwili ni mmoja mkono unakataa kufanya kazi yake ya kupeleka chakula mdomoni ili kulikomoa tumbo wakati ulaji wa tumbo ni manufaa ya huo mkono
 
Karne ya sasa unaona to shit where you eat ndio ujanja..., Sewage system za Bongo zipo vipi au kinyesi na uchafu wote unakwenda kwenye vyanzo vya maji bila treatment ndio maana magonjwa ya ajabu ajabu yamekuwa ni kawaida Wewe unaongelea Mbeya mimi naongelea Tanzania nzima mipango miji haifuatwi (tena master plan nyingine ziliachwa tangia enzi za mkoloni; open spaces zote zinafutiliwa mbali watu wanashindwa kuelewa mipango yote inabidi iangalie mambo matatu; Social; Economic and Environment

Ndio yaleyale Singida na Mbeya hakuna master plan ya muda mfupi na mrefu ? Je inafuatwa ? Au unataka kila waziri akija apeleke vitu kwao no matter kwa wakati huo kuna uhitaji mkubwa wapi yaani wengine wapeleke kwao Highway hata kama hazihitajiki wakati pengine hakuna hata uchochoro (wakati huenda huko pasipo uchochoro ndio chakula inabidi kitoke kitulishe)

Hii myopic ya umimi ya kwetu wakati Tanzania ni moja wala hauhitaji Passport kwenda popote kufanya lolote ni sawa sawa mwili ni mmoja mkono unakataa kufanya kazi yake ya kupeleka chakula mdomoni ili kulikomoa tumbo wakati ulaji wa tumbo ni manufaa ya huo mkono
Apart from loudmouthing you wouldn't be any better given the chance.
Na si ajabu una choo cha kulengesha shit huko uliko.
 
Apart from loudmouthing you wouldn't be any better given the chance.
Na si ajabu una choo cha kulengesha shit huko uliko.
Did I even ask for the chance ?!! Hii logic ya wapi hii sababu mimi siwezi kupigana masumbwi hata na amateur female boxer ndio siwezi kusema Tyson au Ali kiwango chao kimeshuka ?, Yaani sababu hata timu ya Mtaa siwezi kupata namba ndio siwezi kusema Messi amezeeka au Ronaldo aweke ndaruga kando.... Kwahio wewe sababu sio kuku wala huwezi kutaga yai huwezi kujua Viza ?

Ndio hayo hayo Brainwashed na uhitaji wa emancipation from mental slavely; hivi unadhani kwa sehemu vijijini kabla ya kuhakikisha kuna sewage system nzuri na water treatment system which is better kila mtu kuwa na choo cha shimo within their area (recycling grey / dark water) au kukusanya hizo dark /grey water na bila treatment kuzipeleke direct ziwani; (au unadhani kuongezeka kwa magonjwa ya ajabu ajabu sababu ya heavy metals na uchafu wa kila aina, ni nini kama sio Shitting were we eat)
 
Haya mambo ya mipango miji Sugu itakuwa kumsingizia bure.
Hana uwezo wa kuelewa hata kinachotakiwa, ndio maana nikasema a wasted 10 good years.

Tulia si tu ataelewa kinachozungumziwa, lakini kwa international exposure yake kwa sasa, Mbeya inaweza kupata mbia wa kusaidia na ku fund upangaji upya wa jiji la Mbeya.
Hili lazima liwe changamoto la long term kwa Tulia.
Ni changamoto kweli lakini nakuhakikishia hakuna kitu Serikali itafanya. Kuanzia Simike hadi Iyunga pako ovyo sana, unapita unaona kama uko kijijini ndani kabisa. Hata maeneo yaliyotanuka miaka ya 2010 kama Ituha nayo mipango miji hawakufanya kazi yao kabisa.
 
Watu wa Mbeya inabidi wajitafakari sana na wajifunze sana kupajenga kwao vizuri.

Mbeya ni sehemu iliyojengwa hovyo kuliko sehemu zote Tanzania.

Kwa mkoa mzima sehemu iliyopangwa at least ni Kyela tu. Sehwmu nyingine zote ni kama jalala la takataka
Mtuache sisi tumelizika. Mkipanga miji yenu vzr ina Tosha
 
Yaani serikali ikosee halafu wananchi waje kuumia?
Acheni hizi fikira nyie vijana. Serikali ya ili lala na bado ina lala kwenye mipango miji.
Watu waalizi ukienda pale kusema njoo unaangalizie eneo langu ili ni pate hati wana linga hatari. Mpaka uwape hela kama vile hawalipwi mshara kwa kazi hiyo.
 
Back
Top Bottom