Mbeya kutamu bwana, usisikie habari za mtandaoni

Mbeya kutamu bwana, usisikie habari za mtandaoni

Mbona unatuonesha Picha za milima Tu?

Weka picha za Kabwe na mpangilio WA nyumba za hapo mjini
 
Alikuwa muoga tu naye.
Angemtumia Kambona tusingekuwa hapa.
Mzee katurudisha nyuma sana lakini kwa ujinga wa kibongo hili hawalielewi
Wengi waliokuwa na akili hakupenda kuwatumia wala kuwaweka karibu na kusababisha mambo mengi kukwama.
 
Nyerere ameondoka madakani 1985 zaidi ya miaka 37 iliyopita. Siamini kama bado ana mchango wa kuwa na maendeleo duni. Kumepita awamu zaidi ya nne za utawala baada yake. Haya madini tunayohangaika nayo Sasa alijiweka mbali nayo, tena kwa sababu nzuri tu. Sina wataalam wa kufanya hii biashara. Sasa mmekuja wataalam mliosubiriwa ndo imekuwa shida tupu. Yako maeneo hakufanya vizuri kweli,naye alikiri. Lakini tawala zilizofuata baada yake wameharibu zaidi. Mfano kama hiyo chuki dhidi ya mkoa imechangiwa na misimamo ya kisiasa ya wakazi wa mkoa huo. Na ilipamba moto sana kuanzia 1995, uchaguzi wa kwanza kwa mfumo wa vyama vingi, mbeya walianza na mbunge wa nccr. Nakumbuka walionywa sana na huo uamuzi na kwa tabia yao hawakimsikia mtu. Tumesikia wenyewe hata uchaguzi wa 2020, ulitolewa mfano wa gunzi na betri. Na wapinzani walifananishwa na gunzi. Mkoa wa mbeya unavyo vyanzo vingi vya maji mwaka mzima, lakini kuna kubwa ya maji ya makusudi tu, eti kukomoana.
 
Nyerere ameondoka madakani 1985 zaidi ya miaka 37 iliyopita. Siamini kama bado ana mchango wa kuwa na maendeleo duni. Kumepita awamu zaidi ya nne za utawala baada yake. Haya madini tunayohangaika nayo Sasa alijiweka mbali nayo, tena kwa sababu nzuri tu. Sina wataalam wa kufanya hii biashara. Sasa mmekuja wataalam mliosubiriwa ndo imekuwa shida tupu. Yako maeneo hakufanya vizuri kweli,naye alikiri. Lakini tawala zilizofuata baada yake wameharibu zaidi. Mfano kama hiyo chuki dhidi ya mkoa imechangiwa na misimamo ya kisiasa ya wakazi wa mkoa huo. Na ilipamba moto sana kuanzia 1995, uchaguzi wa kwanza kwa mfumo wa vyama vingi, mbeya walianza na mbunge wa nccr. Nakumbuka walionywa sana na huo uamuzi na kwa tabia yao hawakimsikia mtu. Tumesikia wenyewe hata uchaguzi wa 2020, ulitolewa mfano wa gunzi na betri. Na wapinzani walifananishwa na gunzi. Mkoa wa mbeya unavyo vyanzo vingi vya maji mwaka mzima, lakini kuna kubwa ya maji ya makusudi tu, eti kukomoana.
Nchi inaongozwa na viongozi wenye chuki
 
Mkuu bujibuji hio picha ya profile yako nikiiangali inanikumbusha picha inaitwa Jimi boss driver na huyo mwamba nilimkubali sana
 
Top 6 yangu
1 Mwanza and Dar
2 Morogoro, Geita and Mbeya
3 Pwani yote


👉🏽kaskazini hapana kwakweli, narudia tena hapana kwakweli❌❌❌❌❌❌ labda only TANGA.
 
Screenshot_20221013-085051_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom