Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisha malizana na Msafwa, vuta kitu ya KinyihaNi wakati muafaka sasa nije Mbeya nimfuate dada yenu(binti wa Kisafwa) aliyenitongoza huko Fb bila hiyana ijapokuwa mi sikumchukilia maanani.
Mabinti wa Mbeya mnamakusudi nyie..![emoji39]
hata mimi ftc,electrical miaka ya late of ninetees..Enzi hizo FTC Nineteen Kweusi.
Mbeya ni mkoa mzuri sana kijografia, ukiwa umezungukwa na milima na vilima. Mito na vijito, hali nzuri ya hewa, udongo mzuri wenye rutuba na mambo mengi mazuri.
Watu wa Mbeya ni wakarimu sana, watoaji na wenye upendo, ila ukiwazingua wanakuzingua mara milioni sita zaidi.
Mbeya kuna mandhari ya kuvutia. Kuna vivutio kibao vya utalii, kama kona ya taifa, hii ni bonge ya kona, iko kwenye barabara ya lami itokayo Cape Town Afrika ya Kusini kwenda Cairo Misri kupitia Chunya kwa Masache Kasaka a.k.a Man Kasa mbunge wa Lupa Chunya.
Hii ni picha ya kona ya Taifa, iliyopigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga, mpishi anaye andika na kupiga picha.
View attachment 2369893
Kivutio kingine ni ziwa Masoko.
View attachment 2369896
Hili ni ziwa lililoko mlimani, crater lake. Ziwa hili limekaa mithili ya lulu ipatikanayo kwenye samaki aina ya chaza (Oysters). Lulu hiyo kwa Kinyakyusa huitwa pearl.
Mbeya imejaaliwa bwana, pia juna ziwa Kisiba, ziwa la msituni. Ziwa hili liko kwenye msitu asilia, ile misitu inayojulikana kwa jina la rain forest. Hutojuta kabisa kufika mahali hapa.
View attachment 2369898
Kwa wanaopenda kuoanda milima, Mbeya ni mahali sahihi kabisa kwa burudani hiyo. Kuna mlima Loleza, huu ni mlima mzuri sana na rahisi kupanda na wala hauko mbali na mji.
Shule ya sekondari ya wasichana ya Loleza ilipewa jina hili kwababu iko chini ya Mlima Loleza.
Picha hii ilipigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga ikionyesha mlima Loleza unavyoonekana ukiwa Mwanjelwa, pale mahali ambapo soko liliungua. Nimepamiss sana home.
View attachment 2369902
Mlima Rungwe, mlima huu una urefu wa meta 2,981. Mlima huu uko wilayani Rungwe. Unakaribishwa sana kutembelea mkoa huu, wenye neema nyingi za kutosha.
Picha mbili zikionesha mandhari tofauti za mlima Rungwe.
View attachment 2369911View attachment 2369914
Mashamba ya Chai Katumba
View attachment 2370735
Haya ni mashamba yaliyopo Katumba, Tukuyu. Mashamba haya yana muonekano mzuri sana, na jali ya hewa ni nzuri sana. Hakika ukifika Katumba, utabakiwa na kumbukumbu isiyofutika kamwe
Mwaka jana disemba asubuhi sana nikiwa mbeya nilipanda mlima huu hadi kileleni juu kwenye minara mji wote unaonekana vzr Sana , barabara ya chunya inaonekana vizuri Sana,Kuna jamaa kalima parachichi pale juu kingine nilijiuliza nguzo za umeme walizibeba vipi hadi kileleni kulePicha ya Mt. Loleza haijatenda haki. Hii hapa nilipiga mimi last December nikiwa barabara ya Mbeya Day-Magereza. Imekua wallpaper kwenye PC yangu ever since.
View attachment 2370027
Kuna sehemu watu waliumizwa sana hasa vijiji vya Ujamaa na Uhujumu uchumi. Hizi jamii zilikuwa na perment settlements na uchumi mkubwa sasa kuwahamisha na kuwashika kwamba ni wezi ,kuwanyang'anya mali zao viliwayumbisha sana.Sijui aiseee.... problem alikuwa ni nani, yeye, mfumo, au watu wake?
Mfumo mkuu nao ulichangia pakubwa alikuwa analetewa taarifa za uongo maana kipindi cha harakati za kudai Uhuru walimchangia watu wengi kutoka kila sehemu ya Tanzania, lakini jamii chache ndio zikaja kuonekana ni mbaya.Sijui aiseee.... problem alikuwa ni nani, yeye, mfumo, au watu wake?
Kawetere na Loleza n sehem mbili tofauti?Mwaka jana disemba asubuhi sana nikiwa mbeya nilipanda mlima huu hadi kileleni juu kwenye minara mji wote unaonekana vzr Sana , barabara ya chunya inaonekana vizuri Sana,Kuna jamaa kalima parachichi pale juu kingine nilijiuliza nguzo za umeme walizibeba vipi hadi kileleni kule
Mchonga alifeli pakubwaKuna sehemu watu waliumizwa sana hasa vijiji vya Ujamaa na Uhujumu uchumi. Hizi jamii zilikuwa na perment settlements na uchumi mkubwa sasa kuwahamisha na kuwashika kwamba ni wezi ,kuwanyang'anya mali zao viliwayumbisha sana.
Kwenye elimu hivyo hivyo.Watu waliyumbishwa sana.
Tusahau hayo maenedeleo sasa hivi ni Tanzania nzima na wasomi siku hizi wapo kote.
Uyole? Au Dox a.k.a Njelii?Yooooooh Green city stand up! Mbeya my home, Mbeya my hood.
Nimepamiss sn Mbeya
Naikumbuka ile indoor, nasikia imevunjwa. Kweli CCM hawapendi vitu vizurihata mimi ftc,electrical miaka ya late of ninetees..
Haha mkuu nafahamu kuwa kikwetu kwetu linaitwa ziwa ngosi ila kwenye ramani linatambulika kama ziwa ngozi ndiyo maana nikaamua kuliita hivyoZiwa Ngosi
Kweli ni pazuri, ninapenda sana utaliiMbeya ni mkoa mzuri sana kijografia, ukiwa umezungukwa na milima na vilima. Mito na vijito, hali nzuri ya hewa, udongo mzuri wenye rutuba na mambo mengi mazuri.
Watu wa Mbeya ni wakarimu sana, watoaji na wenye upendo, ila ukiwazingua wanakuzingua mara milioni sita zaidi.
Mbeya kuna mandhari ya kuvutia. Kuna vivutio kibao vya utalii, kama kona ya taifa, hii ni bonge ya kona, iko kwenye barabara ya lami itokayo Cape Town Afrika ya Kusini kwenda Cairo Misri kupitia Chunya kwa Masache Kasaka a.k.a Man Kasa mbunge wa Lupa Chunya.
Hii ni picha ya kona ya Taifa, iliyopigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga, mpishi anaye andika na kupiga picha.
View attachment 2369893
Kivutio kingine ni ziwa Masoko.
View attachment 2369896
Hili ni ziwa lililoko mlimani, crater lake. Ziwa hili limekaa mithili ya lulu ipatikanayo kwenye samaki aina ya chaza (Oysters). Lulu hiyo kwa Kinyakyusa huitwa pearl.
Mbeya imejaaliwa bwana, pia juna ziwa Kisiba, ziwa la msituni. Ziwa hili liko kwenye msitu asilia, ile misitu inayojulikana kwa jina la rain forest. Hutojuta kabisa kufika mahali hapa.
View attachment 2369898
Kwa wanaopenda kuoanda milima, Mbeya ni mahali sahihi kabisa kwa burudani hiyo. Kuna mlima Loleza, huu ni mlima mzuri sana na rahisi kupanda na wala hauko mbali na mji.
Shule ya sekondari ya wasichana ya Loleza ilipewa jina hili kwababu iko chini ya Mlima Loleza.
Picha hii ilipigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga ikionyesha mlima Loleza unavyoonekana ukiwa Mwanjelwa, pale mahali ambapo soko liliungua. Nimepamiss sana home.
View attachment 2369902
Mlima Rungwe, mlima huu una urefu wa meta 2,981. Mlima huu uko wilayani Rungwe. Unakaribishwa sana kutembelea mkoa huu, wenye neema nyingi za kutosha.
Picha mbili zikionesha mandhari tofauti za mlima Rungwe.
View attachment 2369911View attachment 2369914
Mashamba ya Chai Katumba
View attachment 2370735
Haya ni mashamba yaliyopo Katumba, Tukuyu. Mashamba haya yana muonekano mzuri sana, na jali ya hewa ni nzuri sana. Hakika ukifika Katumba, utabakiwa na kumbukumbu isiyofutika kamwe
Twende mkuuNitaenda one day
Akili mtu wangu.Hivi Nyerere alikuwa ana nini na watu wanaokula ndizi? Mbona karibu kila sehemu za hao wenyeji kuna kitu aliwatenga?