Mbeya kutamu bwana, usisikie habari za mtandaoni

Mbeya kutamu bwana, usisikie habari za mtandaoni

Mbeya ni mkoa mzuri sana kijografia, ukiwa umezungukwa na milima na vilima. Mito na vijito, hali nzuri ya hewa, udongo mzuri wenye rutuba na mambo mengi mazuri.

Watu wa Mbeya ni wakarimu sana, watoaji na wenye upendo, ila ukiwazingua wanakuzingua mara milioni sita zaidi.

Mbeya kuna mandhari ya kuvutia. Kuna vivutio kibao vya utalii, kama kona ya taifa, hii ni bonge ya kona, iko kwenye barabara ya lami itokayo Cape Town Afrika ya Kusini kwenda Cairo Misri kupitia Chunya kwa Masache Kasaka a.k.a Man Kasa mbunge wa Lupa Chunya.

Hii ni picha ya kona ya Taifa, iliyopigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga, mpishi anaye andika na kupiga picha.

View attachment 2369893

Kivutio kingine ni ziwa Masoko.
View attachment 2369896
Hili ni ziwa lililoko mlimani, crater lake. Ziwa hili limekaa mithili ya lulu ipatikanayo kwenye samaki aina ya chaza (Oysters). Lulu hiyo kwa Kinyakyusa huitwa pearl.

Mbeya imejaaliwa bwana, pia juna ziwa Kisiba, ziwa la msituni. Ziwa hili liko kwenye msitu asilia, ile misitu inayojulikana kwa jina la rain forest. Hutojuta kabisa kufika mahali hapa.
View attachment 2369898
Kwa wanaopenda kuoanda milima, Mbeya ni mahali sahihi kabisa kwa burudani hiyo. Kuna mlima Loleza, huu ni mlima mzuri sana na rahisi kupanda na wala hauko mbali na mji.

Shule ya sekondari ya wasichana ya Loleza ilipewa jina hili kwababu iko chini ya Mlima Loleza.
Picha hii ilipigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga ikionyesha mlima Loleza unavyoonekana ukiwa Mwanjelwa, pale mahali ambapo soko liliungua. Nimepamiss sana home.
View attachment 2369902

Mlima Rungwe, mlima huu una urefu wa meta 2,981. Mlima huu uko wilayani Rungwe. Unakaribishwa sana kutembelea mkoa huu, wenye neema nyingi za kutosha.

Picha mbili zikionesha mandhari tofauti za mlima Rungwe.

View attachment 2369911View attachment 2369914


Mashamba ya Chai Katumba
View attachment 2370735
Haya ni mashamba yaliyopo Katumba, Tukuyu. Mashamba haya yana muonekano mzuri sana, na jali ya hewa ni nzuri sana. Hakika ukifika Katumba, utabakiwa na kumbukumbu isiyofutika kamwe
1664377481265.png

Mkuu hili shamba lipo Kyimbila, ambapo unaweza kuliona ziwa Nyasa, 50km away.
 
Picha ya Mt. Loleza haijatenda haki. Hii hapa nilipiga mimi last December nikiwa barabara ya Mbeya Day-Magereza. Imekua wallpaper kwenye PC yangu ever since.

View attachment 2370027
Mwaka jana disemba asubuhi sana nikiwa mbeya nilipanda mlima huu hadi kileleni juu kwenye minara mji wote unaonekana vzr Sana , barabara ya chunya inaonekana vizuri Sana,Kuna jamaa kalima parachichi pale juu kingine nilijiuliza nguzo za umeme walizibeba vipi hadi kileleni kule
 
Sijui aiseee.... problem alikuwa ni nani, yeye, mfumo, au watu wake?
Kuna sehemu watu waliumizwa sana hasa vijiji vya Ujamaa na Uhujumu uchumi. Hizi jamii zilikuwa na perment settlements na uchumi mkubwa sasa kuwahamisha na kuwashika kwamba ni wezi ,kuwanyang'anya mali zao viliwayumbisha sana.

Kwenye elimu hivyo hivyo.Watu waliyumbishwa sana.

Tusahau hayo maenedeleo sasa hivi ni Tanzania nzima na wasomi siku hizi wapo kote.
 
Mwaka jana disemba asubuhi sana nikiwa mbeya nilipanda mlima huu hadi kileleni juu kwenye minara mji wote unaonekana vzr Sana , barabara ya chunya inaonekana vizuri Sana,Kuna jamaa kalima parachichi pale juu kingine nilijiuliza nguzo za umeme walizibeba vipi hadi kileleni kule
Kawetere na Loleza n sehem mbili tofauti?
 
Kuna sehemu watu waliumizwa sana hasa vijiji vya Ujamaa na Uhujumu uchumi. Hizi jamii zilikuwa na perment settlements na uchumi mkubwa sasa kuwahamisha na kuwashika kwamba ni wezi ,kuwanyang'anya mali zao viliwayumbisha sana.

Kwenye elimu hivyo hivyo.Watu waliyumbishwa sana.

Tusahau hayo maenedeleo sasa hivi ni Tanzania nzima na wasomi siku hizi wapo kote.
Mchonga alifeli pakubwa
 
K
Mbeya ni mkoa mzuri sana kijografia, ukiwa umezungukwa na milima na vilima. Mito na vijito, hali nzuri ya hewa, udongo mzuri wenye rutuba na mambo mengi mazuri.

Watu wa Mbeya ni wakarimu sana, watoaji na wenye upendo, ila ukiwazingua wanakuzingua mara milioni sita zaidi.

Mbeya kuna mandhari ya kuvutia. Kuna vivutio kibao vya utalii, kama kona ya taifa, hii ni bonge ya kona, iko kwenye barabara ya lami itokayo Cape Town Afrika ya Kusini kwenda Cairo Misri kupitia Chunya kwa Masache Kasaka a.k.a Man Kasa mbunge wa Lupa Chunya.

Hii ni picha ya kona ya Taifa, iliyopigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga, mpishi anaye andika na kupiga picha.

View attachment 2369893

Kivutio kingine ni ziwa Masoko.
View attachment 2369896
Hili ni ziwa lililoko mlimani, crater lake. Ziwa hili limekaa mithili ya lulu ipatikanayo kwenye samaki aina ya chaza (Oysters). Lulu hiyo kwa Kinyakyusa huitwa pearl.

Mbeya imejaaliwa bwana, pia juna ziwa Kisiba, ziwa la msituni. Ziwa hili liko kwenye msitu asilia, ile misitu inayojulikana kwa jina la rain forest. Hutojuta kabisa kufika mahali hapa.
View attachment 2369898
Kwa wanaopenda kuoanda milima, Mbeya ni mahali sahihi kabisa kwa burudani hiyo. Kuna mlima Loleza, huu ni mlima mzuri sana na rahisi kupanda na wala hauko mbali na mji.

Shule ya sekondari ya wasichana ya Loleza ilipewa jina hili kwababu iko chini ya Mlima Loleza.
Picha hii ilipigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga ikionyesha mlima Loleza unavyoonekana ukiwa Mwanjelwa, pale mahali ambapo soko liliungua. Nimepamiss sana home.
View attachment 2369902

Mlima Rungwe, mlima huu una urefu wa meta 2,981. Mlima huu uko wilayani Rungwe. Unakaribishwa sana kutembelea mkoa huu, wenye neema nyingi za kutosha.

Picha mbili zikionesha mandhari tofauti za mlima Rungwe.

View attachment 2369911View attachment 2369914


Mashamba ya Chai Katumba
View attachment 2370735
Haya ni mashamba yaliyopo Katumba, Tukuyu. Mashamba haya yana muonekano mzuri sana, na jali ya hewa ni nzuri sana. Hakika ukifika Katumba, utabakiwa na kumbukumbu isiyofutika kamwe
Kweli ni pazuri, ninapenda sana utalii
 
Hivi Nyerere alikuwa ana nini na watu wanaokula ndizi? Mbona karibu kila sehemu za hao wenyeji kuna kitu aliwatenga?
Akili mtu wangu.
Nyerere aliwapenda sana wajinga wajinga
 
Back
Top Bottom