Mbeya: Magari yote ya Matangazo yatakiwa kusajiliwa upya kwanza kabla ya kutangaza chochote

Mbeya: Magari yote ya Matangazo yatakiwa kusajiliwa upya kwanza kabla ya kutangaza chochote

Matope

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
892
Reaction score
683
Kama mnavyotambua ujio wa Mh Lissu Mbeya ni alhamis hii kwa Jiji la Mbeya, Mamlaka imeziamuru gari zote za matangazo kufanya usajili upya kwanza kabla ya kutangaza matangazo na gari yeyote itakayobainika kufanya matangazo bila kuruhusiwa hatua kali zitachukuliwa ikiwemo kufutiwa kibali kabisa.

Maswali ni mengi mno nafikiri kila mmoja anaweza kutafakari na kuweka hapa!!!

Update,:

Mh Lissu kuingia leo Mbeya hivi tunaongea wanachama na maelfu ya wananchi wamejaa ofisi ya Kanda ya Chadema Kadege
 
Kama mnavyotambua ujio wa Mh Lissu Mbeya ni alhamis hii kwa Jiji la Mbeya, Mamlaka imeziamulu gari zote za matangazo kufanya usajili upya kwanza kabla ya kutangaza matangazo na gari yeyote itakayobainika kufanya matangazo bila kuruhusiwa hatua kali zitachukuliwa ikiwemo kufutiwa kibali kabisa

Maswali ni mengi mnoo nafikiri kila mmoja anaweza kutafakari na kuweka hapa!!!
Haitozuia mafuriko, sugu ataeneza taarifa kwa makamanda wote via whatsapp na other social media.
 
Kama mnavyotambua ujio wa Mh Lissu Mbeya ni alhamis hii kwa Jiji la Mbeya, Mamlaka imeziamuru gari zote za matangazo kufanya usajili upya kwanza kabla ya kutangaza matangazo na gari yeyote itakayobainika kufanya matangazo bila kuruhusiwa hatua kali zitachukuliwa ikiwemo kufutiwa kibali kabisa

Maswali ni mengi mnoo nafikiri kila mmoja anaweza kutafakari na kuweka hapa!!!
These people are exceptionally stupid, they do not know that by behaving like that they are making high publicity of Lisu and Sugu at a high cost of Tulia! Hawajui kuwa wanaamsha hata hasira za washabiki wao!
 
Ujio wa Lissu unasababisha hadi sharia za mwaka 1963 zinaibuka upya!

Raha kweli kwa ujio wa Lissu maana serikali, ccm, tume, mahakama wote wanacheza mziki wake kwa mitindo tofauti tofauti.
Sasa hivi wanafukua sheria za mjerumani za wakati wa ujenzi wa reli 1902 na sheria za Pilato na farao waone namna ya kum'bana Lissu tena ninatamani wasiruhusu gari la matangazo hata moja jijini Mbeya nyomi kwa ujio wa Lissu lipo palepale.
 
Magari ya matangazo husajiliwa na kupewa leseni ya biashara ya matangazo na hutakiwa kulipa Kodi kwa mapato Yao Ni utaratibu wa kawaida wa kibiashara
Umesoma kwa kukurupuka.Yawezekana wewe ni ukoo mmoja na wanamkurupuko FC(mafisiem).

Mtoa mada kaeleza vizuri kuwa magari ya matangazo yasajiliwe tena.Maana yake tayari yanatambulika kwa kazi hiyo sasa kwanini iwe kwa mara nyingine.Kwann kipindi hiki, kwanini mbeya tu(ama ni kitaifa?).

Yehodaya shenziTYPE!!
 
Back
Top Bottom