Mbeya: Magari yote ya Matangazo yatakiwa kusajiliwa upya kwanza kabla ya kutangaza chochote

Mbeya: Magari yote ya Matangazo yatakiwa kusajiliwa upya kwanza kabla ya kutangaza chochote

KumetokeaNini


Kumekucha!!!!😏😏😏😐😐🤔
 
Hofu yote ya nini hii? Kama Betina wao anakubalika huko kama wanavyodai, si CCM wasubiri tu Oct 28 wampigie kura?
 
Mwaka huu tutasikia sheria na taratibu mpyha nyingi sana, lakini uzuri wake zinampa kiki mzee wa kazi Lissu! Mungu na aendelee kumuwashia NURU hii ya ukombozi wa Taifa letu!
 
Ujio wa Lissu unasababisha hadi sharia za mwaka 1963 zinaibuka upya!

Raha kweli kwa ujio wa Lissu maana serikali, ccm, tume, mahakama wote wanacheza mziki wake kwa mitindo tofauti tofauti.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Lisu anataka utawala wa sheria hivyo sheria zote zitazingatiwa kwenye mambo.Yake yote Bila kusahau sheria yeyote
 
Magari ya matangazo husajiliwa na kupewa leseni ya biashara ya matangazo na hutakiwa kulipa Kodi kwa mapato Yao Ni utaratibu wa kawaida wa kibiashara
mAGARI YA CCM YA MATANGAZO YANALIPIWA KODI?
 
Jana limepita usiku wa saa nne hivi kutangaza na wamerudia mara tatu tatu sema tunaokaa huku jeshini huwa wanazima matangazo wakifika karibu na kambi
 
Kama mnavyotambua ujio wa Mh Lissu Mbeya ni alhamis hii kwa Jiji la Mbeya, Mamlaka imeziamuru gari zote za matangazo kufanya usajili upya kwanza kabla ya kutangaza matangazo na gari yeyote itakayobainika kufanya matangazo bila kuruhusiwa hatua kali zitachukuliwa ikiwemo kufutiwa kibali kabisa.

Maswali ni mengi mno nafikiri kila mmoja anaweza kutafakari na kuweka hapa!!!
Jambazi limejificha magogoni,mishuzi inatoka tu,halijuhi la kufanya,ni kutunga Sheria kila siku,walianza na vyombo vya habari vya nje,kujiunga na na vyombo vya ndani,sasa wameibukia kwenye magari,
Siku si nyingi utasikia ma group ya whatsaap inabidi yasajiliwe,yalipe Kodi,na yaeleze malengo ya kuanzishwa kwake,
 
Umesoma kwa kukurupuka.Yawezekana wewe ni ukoo mmoja na wanamkurupuko FC(mafisiem).

Mtoa mada kaeleza vizuri kuwa magari ya matangazo yasajiliwe tena.Maana yake tayari yanatambulika kwa kazi hiyo sasa kwanini iwe kwa mara nyingine.Kwann kipindi hiki, kwanini mbeya tu(ama ni kitaifa?).

Yehodaya shenziTYPE!!
Tengeneza tiara au kite itangaze kupitia anga. Wengine watangaze kwa mguu.
 
Kama mnavyotambua ujio wa Mh Lissu Mbeya ni alhamis hii kwa Jiji la Mbeya, Mamlaka imeziamuru gari zote za matangazo kufanya usajili upya kwanza kabla ya kutangaza matangazo na gari yeyote itakayobainika kufanya matangazo bila kuruhusiwa hatua kali zitachukuliwa ikiwemo kufutiwa kibali kabisa.

Maswali ni mengi mno nafikiri kila mmoja anaweza kutafakari na kuweka hapa!!!

Update,:

Mh Lissu kuingia leo Mbeya hivi tunaongea wanachama na maelfu ya wananchi wamejaa ofisi ya Kanda ya Chadema Kadege
Mbona sasa kwa tangazo lao ndio tayari wameshatangaza ujio wa Rais Mtarajiwa mjini Mbeya. Sie wakazi wa SIDO hatukuwa na taarifa ya ujio wa Rais Mtarajiwa wa nchi yetu ila baada ya kusikia katazo ya tangazo ili na kuanza kuulizana tukaambiwa ni kuzuia "publicity'' ya ujio wa Mh Rais mtarajiwa. Ngoja nikanunue kabisa Tshrt cjui zinapatikana wapi....Ni yeye...
 
CCM wanatapatapa tu kila kona, aliyewadanganya upinzani umekufa sijui wanatazamana vipi huko?

MITANO YA UTAWALA WA MKONO WA CHUMA, INATOSHA...
 
Back
Top Bottom