Mbeya: Mahakama imeahirisha kusoma hukumu ya Mdude Nyagali hadi Juni 28, 2021

Mbeya: Mahakama imeahirisha kusoma hukumu ya Mdude Nyagali hadi Juni 28, 2021

Mungu wa Mbinguni ikiwa uliweza kumtoa Petro katikati ya gereza tena chumba Cha ndani Kama maandiko yesamavyo, na ikiwa ulimponya Daniel na Simba wenye njaa Kali ukawafunga vichwa vyao, na pale alipokuomba Joshua jua lisimame na ukafanya hivyo.

Naamini hujabadilika kamwe wewe na mwanzo tena mwisho, asubuhi ya leo najitakaza kwa ajili ya Taifa langu Tanzania, najitakasa kwa ajili ya Rais wangu Samia Suluhu Hassani,
Natubu kwa ajili ya jaji Mkuu wa Tanzania, natubu kwa ajili ya majaji wa mahakama kuu ya Mbeya pamoja na jaji atakaehukumu kesi ya mtumwa wako Mdude, Natubu pia kwa ajili ya Mdude.

Najua kila mwanadamu ana mapungu yake na kamwe anakuudhi na kukukosea, inuka eeh Bwana kwenye kiti Cha enzi geuza uso wako ukamwangalie mtoto wako Mdude Leo hii mahakani, simama Mungu wa Ibrahimu, Isack na Yakobo tazama wanao wote waliokusanyika mahamani wakisuburi hukumu watie nguvu wape uvumilivu na huruma pia wape, kafanye Jambo ambalo litaacha midomo ya watu ikiwa wazi ukimtetea waziwazi mtumushi wako Mdude.

Kwa jina la Yesu Kristo wanazareti Naomba nikiamini hivyo ameeni
[emoji120] amen
 
Aliyeagiza Mdude afungwe yeye anaoza kaburini, anaweza kufungwa kimwili lakini hawezi kufungwa mawazo yake
Hata mdude akishatumikia adhabu yake kuna siku atakuja kuoza chini ya ardhi.

Mawazo yake ya kimatusi yanadumu kwa wajinga tu
 
Hiyo mimba uliyodungwa na mwendazake itakutoa roho kwa siku lazima umtaje mara 62!

Mdude alikamatwa na cocaine za Mbowe akizisambaza mikoa ya nyanda za juu kusini
 
Kwani bado hajala mvua tyu
Hizo mvua unazomuombea mwenzako zimnyeshee ilihali wewe huzitaki zikunyeshee Kuna siku zitakugeuka na zikuletee gharika! Siku zako za kunyeshewa na mvua ya mawe zipo karibu mno so amua moja utubu au ulete kiburi na kushupaza shingo yakukute!
 
Ndio pamoja na cocain.


Kwanza alianza kutukana, watu wakamlia rada kwamba ni nani huyu hasa anatukana viongozi hovyo? Kumfuatilia kumbe anauza ngada!
Mkuu unaishi nje ya nchi? Charges za matusi ziliondolewa ndiyo akapewa bambiko la dawa za kulevya.
 
Back
Top Bottom