Mbeya: Mahakama imeahirisha kusoma hukumu ya Mdude Nyagali hadi Juni 28, 2021

Mbeya: Mahakama imeahirisha kusoma hukumu ya Mdude Nyagali hadi Juni 28, 2021

Mkuu unaishi nje ya nchi? Charges za matusi ziliondolewa ndiyo akapewa bambiko la dawa za kulevya.
Hayo matusi ndio yalifanya adakwe na ngada baada ya vyombo vya usalama kuanza kumfuatilia.

Ukitaka kuanza kupambana na selikali hakikisha uko clean kwanza
 
Alikuwa amempiga mvua chache, jana usiku kaona kipengele fulani kinamtaka ampige mvua za kutosha kuendana na kifungu!

Hamna kitu hapo, kesi ya madawa ya kulevya ikibainika pasi na shaka, adhabu yake ni miaka 30 jela. Huyo hakimu anajua kabisa ni kesi ya kubambikiwa, na yalikuwa ni maagizo ya dhalimu aliyeko motoni. Sasa hapo anaenda kumuuliza rais anataka hukumu iweje! Hatuna mahakama tena kwa sasa, bali majengo ya mahakama yanayosimamiwa na Makada wa ccm.
 
Haki haijawahi kushindwa kwenye Fitina,na chuki.Mungu amsimamie kwa hili
 
Hayo matusi ndio yalifanya adakwe na ngada baada ya vyombo vya usalama kuanza kumfuatilia.

Ukitaka kuanza kupambana na selilai hakikisha uko clean kwanza
Huna ulijualo kuhusu hiyo kesi zaidi ya kuwa brain washed na mwendamahoka! Ataachiwa tu ili nione kama bado utaendelea kuwa mfuasi wa mtesi yule!
 
Hayo matusi ndio yalifanya adakwe na ngada baada ya vyombo vya usalama kuanza kumfuatilia.

Ukitaka kuanza kupambana na selilai hakikisha uko clean kwanza
Muwe mnafatilia mambo, karejee misukosuko yake ya 2017, ameshatekwa mara kadhaa, kuteswa na kutupwa na akaokotwa wa wanakijiji akiwa na majeraha. This time awali mlimkamata kwa kutoa lugha chafu, mkaona hamna namna nzuri ya kufanikisha uharamia wenu, ghafla mkampa shitaka la uhujumu uchumi nalo ghafla mkaliondoa. Ghafla mkaweka charge sheet biashara za dawa za kulevya.

Serikali ya mwendazake hata ungekuwa CLEAN kiasi gani, alikuwa anaweza kukufanya atakavyo (He was a sadist). Mdude ni mfano tu wa watanzania wengi wenye mawazo kinzani ambao kuwa kwao upinzani ni JINAI kwa nyie CCM na hayati Mwendazake!

Mungu ametuepusha na ANGUKO.
 
Hiyo mimba uliyodungwa na mwendazake itakutoa roho kwa siku lazima umtaje mara 62!

Mdude alikamatwa na cocaine za mbowe akizisambaza mikoa ya nyanda za juu kusini
Nyumba ndogo ya Mbowe iliyotelekezwa bado Ina machungu ya kuachwa! Huyo Mbowe unambebeaga begi la mihadarati? Unaropoka kwa usiyoyajua baada ya mwendakuzimu kuhamishiwa ubongo wako kwenye kinyeo! Na bado, utaendelea kutumia na Mbowe hadi ufukiwe na hakuna kitu utamfanya! Kamuone hawara wako sabaya magereza!
 
Hamna kitu hapo, kesi ya madawa ya kulevya ikibainika pasi na shaka, adhabu yake ni miaka 30 jela. Huyo hakimu anajua kabisa ni kesi ya kubambikiwa, na yalikuwa ni maagizo ya dhalimu aliyeko motoni. Sasa hapo anaenda kumuuliza rais anataka hukumu iweje! Hatuna mahakama tena kwa sasa, bali majengo ya mahakama yanayosimamiwa na Makada wa ccm.
Sasa Dhalimu si kafa?

Inakuwaje tena unasema hakuna mahakama tena?

Kwani si angeweza kumuuliza hata jana au juzi?
 
Aliyeagiza Mdude afungwe yeye anaoza kaburini, anaweza kufungwa kimwili lakini hawezi kufungwa mawazo yake
Kila mtu ataozea kaburini hata siku zako za kuozea zinasogea kila kukicha usiongee Kama kifo hakikuhusu
 
Mheshimiwa amemwambia anataka kujua kuhusu hiyo kesi
 
Dhalimu wako hakumtuma mdude awe anatukana hovyo na kuuza ngada
Misukosuko ya wapinzani (watu wenye hoja kinzani) haijaanza kwa Mdude, hata Gwajima aliambiwa anatumia na kuuza kabisa!

Mdude alianza kupata uonevu tangu 2016 hadi sasa, awali kuna mashtaka amewahi kuishinda serikali mahakamani. Ndiyo JIWE akaona atumie mbinu OVU ikiwemo kwanza kumteka na kumtesa kisha kutupwa akiwa hoi. Akiwa katika wimbi la majeraha akapewa kesi ya kutoa lugha chafu, ghafla ikafa ikaja ya uhujumu uchumi, nayo ikafa ikaja ya dawa la kulevya! Tatizo unaandika ukiwa umeshiba ugali wa shemeji na bando la dada yako, hujui how things work kwenye tawala za KIDHALIMU kama alivyokuwa JIWE!
 
Back
Top Bottom