Mbeya: Mahakama imemuachia huru Gerald Mwakitalu (CHADEMA). Alifungwa maisha

Mbeya: Mahakama imemuachia huru Gerald Mwakitalu (CHADEMA). Alifungwa maisha

moto wa milele umuwakie na viboko jumla jumla...
JamiiForums1731841420.jpg
 
Mungu atukuzwe yule fashisti Mungu AENDELEE kishughulika nae huko Jehanum
 
Yanayoshindikana kwa binadamu kwa Mungu yanawezekana.Mahakimu dhalimu watalainiwe milele yote duniani na mbinguni
 
Ilinishangaza sana. Yaani kudaiwa kuchoma nyumba ndiyo mtu anafungwa kifungo cha maisha??
Unajihaibisha mkuu sometimes jaribu kukaa kimya ili ujifunze. Ebu soma Penal Code CAP 16 R.E 2019


319. Any person who wilfully and unlawfully sets fire to-
(a) any building or structure whatever, whether completed or not; or
(b) any vessel, whether completed or not; or
(c) any stack of cultivated vegetable produce, or of mineral or veg-
etable fuel; or
(d)a mine, or the workings, fittings or appliances of a mine,
is guilty of a felony, and is liable to imprisonment for life
 
UCCM na ushetani ni vitu viwili vinavyonipa wakati mgumu sana kuvitenganisha. Kijana wa watu katumikia kifungo cha muda wote huo kwa kuwa tishio kwa shetani kutimiza majukumu yake!

Unamkuta kiongozi wa CCM anaongea kama vile CCM imeingia madarakani mwezi moja uliopita. Anasahau alipozaliwa CCM ilikuwa madarani na bendera ya CCM ikipepea chumbani alikozaliwa.

Yeye kalelewa, kakua, kakomaa na sasa naye karithi mkoba wa wazazi wake. Muangalie anavyokaza shindo akidai CCM ni chama imara na yeyote yule atakayethubutu kusema tofauti anyooshwe.

Anyooshwe, ashughulikiwe, apotezwe...yote sawa tu.Tundu Lissu alishughulikiwa, Ben Saanane alipotezwa, Gerald Mwakitalu amenyooshwa; CCM ni ile ile, iko pale pale. ni wale wale na kazi iendelee...kwa kweli shetani hana ndugu!
JamiiForums-222628401.jpg
 
Tarehe 15/02/2022 Mahakama wilaya ya Kyela, Mbeya ilimpa hukumu Gerald Mwakitalu kifungo cha maisha kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za uchafuzi 2020.

Leo 7/10/2022 ameshinda rufaa yake, amefutiwa hukumu hiyo, yupo huru.

======

Ni Gerald Mwakitalu aliyehukumiwa kutumikia adhabu hiyo Februari 15, 2022 kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020

Mwakitalu amefutiwa adhabu hiyo iliyotolewa kupitia Mahakama ya Wilaya ya Kyela baada kukata Rufaa ya kipinga hukumu.
Huyu hapa ndio Kamanda Gerald Mwakitalu , baada ya ccm Kyela kushindwa kumloga ikaamua kumtengenezea kesi ya uongo

JamiiForums2123078940.jpg
 
Ndio hukumu kwa mtu yoyote anayepatikana na hatia ya kuchoma jengo au shamba. Ndio maana ninasema mawakili wa chadema ni vilaza.
Acha upumbavu, hii ilikua ni political case, ukienda kuuliza je waendesha mashitaka walikua na ripoti kuhusu chanzo cha moto ?,je kuna link yeyote kati ya suspect na crime scene?hiyo nyumba ilichomwa moto kwa kutumia nini?je kuna finger prints eneo la tukio?je kuna eye witness?,so sad magereza yetu yamejaa innocent guy's
 
Acha upumbavu, hii ilikua ni political case, ukienda kuuliza je waendesha mashitaka walikua na ripoti kuhusu chanzo cha moto ?,je kuna link yeyote kati ya suspect na crime scene?hiyo nyumba ilichomwa moto kwa kutumia nini?je kuna finger prints eneo la tukio?je kuna eye witness?,so sad magereza yetu yamejaa innocent guy's
Kila ubaya utalipwa
 
Unajihaibisha mkuu sometimes jaribu kukaa kimya ili ujifunze. Ebu soma Penal Code CAP 16 R.E 2019


319. Any person who wilfully and unlawfully sets fire to-
(a) any building or structure whatever, whether completed or not; or
(b) any vessel, whether completed or not; or
(c) any stack of cultivated vegetable produce, or of mineral or veg-
etable fuel; or
(d)a mine, or the workings, fittings or appliances of a mine,
is guilty of a felony, and is liable to imprisonment for life
Kwa hukumu ya haki sio ya kusingiziwa kama hii.
 
Kwa hukumu ya haki sio ya kusingiziwa kama hii.
Sijui chochote kuhusu kama ilikuwa ni hukumu ya haki au lah, kisheria kuna mapungufu kidogo yakijitokeza (defectives) kuanzia mwanzo wa ukamataji hadi utoaji wa hukumu basi ubatilisha hukumu.Ngoja nisome hiyo judgement nione ni nini kilichomfanya ashinde kesi yaani grounds za appeal
 
Bado tuna safari ndefuu ya kusitaarabika. Ndiyo sababu wenzetu wanasonga mbele sisi tunarudi nyuma.
Mzee wa Fumbua macho anasema, hakuna kibaya au kizuri kikitendwa na walioserikalini bila ya top kuhusishwa.
Ni kama muziki mwimbaji anaimba na kucheza na fans wanasikiliza na kucheza.
 
Ni laana tu kulitengeneza. UMASKINI, Ebola, ukimwi. Fuulz die

J
Tarehe 15/02/2022 Mahakama wilaya ya Kyela, Mbeya ilimpa hukumu Gerald Mwakitalu kifungo cha maisha kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za uchafuzi 2020.

Leo 7/10/2022 ameshinda rufaa yake, amefutiwa hukumu hiyo, yupo huru.

======

Ni Gerald Mwakitalu aliyehukumiwa kutumikia adhabu hiyo Februari 15, 2022 kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020

Mwakitalu amefutiwa adhabu hiyo iliyotolewa kupitia Mahakama ya Wilaya ya Kyela baada kukata Rufaa ya kipinga hukumu.
 
Tarehe 15/02/2022 Mahakama wilaya ya Kyela, Mbeya ilimpa hukumu Gerald Mwakitalu kifungo cha maisha kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za uchafuzi 2020.

Leo 7/10/2022 ameshinda rufaa yake, amefutiwa hukumu hiyo, yupo huru.

======

Ni Gerald Mwakitalu aliyehukumiwa kutumikia adhabu hiyo Februari 15, 2022 kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020

Mwakitalu amefutiwa adhabu hiyo iliyotolewa kupitia Mahakama ya Wilaya ya Kyela baada kukata Rufaa ya kipinga hukumu.
Mwendazake alitaka kuua upinzani ila Mwenyezi Mungu kamuaibisha. Pole ndugu yetu.
 

Tarehe 15/02/2022 Mahakama wilaya ya Kyela, Mbeya ilimpa hukumu Gerald Mwakitalu kifungo cha maisha kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za uchafuzi 2020.

Leo 7/10/2022 ameshinda rufaa yake, amefutiwa hukumu hiyo, yupo huru.

======

Ni Gerald Mwakitalu aliyehukumiwa kutumikia adhabu hiyo Februari 15, 2022 kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020

Mwakitalu amefutiwa adhabu hiyo iliyotolewa kupitia Mahakama ya Wilaya ya Kyela baada kukata Rufaa ya kipinga hukumu.
Eh, kwahiyo,wamebaini haikua kweli. Kwa mtindo huu, kuna Watz wengi wanachakaa huko magereza,wamekosa tu wa kuwasemea.

Hallelujah
 
Back
Top Bottom