Mbeya: Mahakama imemuachia huru Gerald Mwakitalu (CHADEMA). Alifungwa maisha

Mbeya: Mahakama imemuachia huru Gerald Mwakitalu (CHADEMA). Alifungwa maisha

Hii kumbakiza watu kesi tumeweka kwenye rekodi, wakati sahihi ukifika tutadili na wahusika wote wa matukio haya.
Jinai haiozi. Hizi kesi ziko kwenye randama za mahakama na mawakili mpaka digita platforms zinaisha miaka 1000 mbele
 
Ndio hukumu kwa mtu yoyote anayepatikana na hatia ya kuchoma jengo au shamba. Ndio maana ninasema mawakili wa chadema ni vilaza.
We ndio kilaza na hao mawakili wenu.Yaani unaweza kufanya rulling ya kumfunga mtu maisha then ikaja kuonekana hana kosa lolote?

Kweli hii nido nchi aliyoita Trump jina la ajabu sana na watu wake.

Halafu unakuja hapa kuuliza umakini wa mawakili waliokata rufaa na wakashinda?
 

Tarehe 15/02/2022 Mahakama wilaya ya Kyela, Mbeya ilimpa hukumu Gerald Mwakitalu kifungo cha maisha kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za uchafuzi 2020.

Leo 7/10/2022 ameshinda rufaa yake, amefutiwa hukumu hiyo, yupo huru.

======

Ni Gerald Mwakitalu aliyehukumiwa kutumikia adhabu hiyo Februari 15, 2022 kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020

Mwakitalu amefutiwa adhabu hiyo iliyotolewa kupitia Mahakama ya Wilaya ya Kyela baada kukata Rufaa ya kipinga hukumu.
Shukuruni Bwana kwa kuwa ni Mwema kwa Maana Fadhili zake ni za Milele.

Hukumu ya Mungu ni ya haki.

Takbiriiii..!! AllahuaKbar
 
Back
Top Bottom