Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Shetani hufurahia zaidi uovu. Tuliruhusu shetani kuwa mtawala wetu.Mimi nimewaza sana yaani from nowhere mtu unampa kesi kifungo cha maisha? Kisa ugomvi wa vyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani hufurahia zaidi uovu. Tuliruhusu shetani kuwa mtawala wetu.Mimi nimewaza sana yaani from nowhere mtu unampa kesi kifungo cha maisha? Kisa ugomvi wa vyama
Jinai haiozi. Hizi kesi ziko kwenye randama za mahakama na mawakili mpaka digita platforms zinaisha miaka 1000 mbeleHii kumbakiza watu kesi tumeweka kwenye rekodi, wakati sahihi ukifika tutadili na wahusika wote wa matukio haya.
We ndio kilaza na hao mawakili wenu.Yaani unaweza kufanya rulling ya kumfunga mtu maisha then ikaja kuonekana hana kosa lolote?Ndio hukumu kwa mtu yoyote anayepatikana na hatia ya kuchoma jengo au shamba. Ndio maana ninasema mawakili wa chadema ni vilaza.
Kweli nimeelewa hili.Mahakama nyingi za Wilaya ni matawi ya CCM
Kwa mtindo huu bado sanaBado tuna safari ndefuu ya kusitaarabika. Ndiyo sababu wenzetu wanasonga mbele sisi tunarudi nyuma.
Shukuruni Bwana kwa kuwa ni Mwema kwa Maana Fadhili zake ni za Milele.
Tarehe 15/02/2022 Mahakama wilaya ya Kyela, Mbeya ilimpa hukumu Gerald Mwakitalu kifungo cha maisha kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za uchafuzi 2020.
Leo 7/10/2022 ameshinda rufaa yake, amefutiwa hukumu hiyo, yupo huru.
======
Ni Gerald Mwakitalu aliyehukumiwa kutumikia adhabu hiyo Februari 15, 2022 kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
Mwakitalu amefutiwa adhabu hiyo iliyotolewa kupitia Mahakama ya Wilaya ya Kyela baada kukata Rufaa ya kipinga hukumu.
Aibu tupuKweli nimeelewa hili.
Watakufa kwa stroke hawa watu.
Karma!