Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Maneno ya bwana Rostam yanaweza kuwa dhahiri bila kificho katika hukumu ya leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ikishindwa au mahakama ikiamu vinginevyo tukufanyeje?Hukumu inajulikana. Serikali inashinda. Hatuna mahakama tuna kusanyiko la Shyster Judges, takataka
Solution ni mapambano, si takataka eti mahakama.
Mungu wa Kike Saa 100 awabariki
Sasa vifungu kama vilikiuka sheria si ndiyo ubatili wenyewe? Hii si ni kama ku "sugar coat" sheria#Jaji Ndunguru: Tunakubaliana na hoja ya Waleta Maombi, kwamba ibara za IGA imevunja sheria za ulinzi wa Rasilimali, kwa kupeleka migogoro nje ya nchi.
Hata hivyo, dosari hiyo haitatumika kuutangaza IGA kuwa ni batili.
#Jaji Ndunguru: Uandishi bora wa vifungu
vya IGA unaweza kurekebisha Vifungu hivyo na kuondoa dosari hii.
Tunashangaa kwamba IGA itaongozwa na sheria za nchi, na mikataba ya miradi itaongozwa na sheria za ndani lakini migogoro yake itatatuliwa nje ya nchi.
Nadhani wameturahisishia rufaaNilijua haitawezekana mahakama iende kinyume na mhimili uliojichimbia sana!!
Tukishajifunza 2017 katika issue za Madini mpaka Acacia Mining akaondoka! Tukatunga hizo sheria ambazo leo wanakubali zilivunjwa ila hawawezi kutangaza hiyo IGA ni batili! Na bado Bungen mwezi ujao wanaenda kurudi tulikotoka wanaenda kufuta vifungu hivyo leo vinavyowapa wakati mgumu ili warudi warekebishe viwape uwepesiWaneamua kunawa mikono. Kazi ya kutafsiri sheria ni yao lakini mambo yakiwa magumu wanairuka kwa kutotoa maamuzi.
Acha iuzwe tu. Tutajifunza na kurekebisha huku mbele.
Hii point naiunga mkono. Pale ilitakiwa Jeshi liivushe nchi kwenye 'bahari ya Sham' badala yake wakazuia nchi isitoke 'Misri'.Tumeshajua,sema wanamuogopa Boss wao.Hili Jeshi la Tanzania si lichukue tu hii nchi.Mabeyo ulikosea sana.Ulitakiwa ubebe hii nchi walau CCM wapoteane na tuanze upyaaaa.
Tutajifunza kwenye kuchagua makamu wa rais, tutajifunza kuwa rais anaweza kufa na makamu wake akawa rais.Tukishajifunza 2017 katika issue za Madini mpaka Acacia Mining akaondoka! Tukatunga hizo sheria ambazo leo wanakubali zilivunjwa ila hawawezi kutangaza hiyo IGA ni batili! Na bado Bungen mwezi ujao wanaenda kurudi tulikotoka wanaenda kufuta vifungu hivyo leo vinavyowapa wakati mgumu ili warudi warekebishe viwape uwepesi