Mbeya: Mahakama Kuu yatoa baraka Uwekezaji wa DP WORLD Dubai Bandarini. Walalamikaji wajipanga kukata Rufaa ya Hukumu

Mbeya: Mahakama Kuu yatoa baraka Uwekezaji wa DP WORLD Dubai Bandarini. Walalamikaji wajipanga kukata Rufaa ya Hukumu

Wale Jamaa wa mihemko na kujitutumua wakiongozwa na yule mropokaji Mwabukusu wameangukia pua huko Mbeya.

Mahakama imesema mkataba ni halali na akili zao finyu ndio hazielewi 😂😂😂😂
20230810_111811.jpg
 
O judgement, thou art fled to brutish beasts and men have lost their reason!
...William Shakespeare, Julius Caesar.
 
Back
Top Bottom