Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Nilijua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ingeamua in favour of nyie ndio ingekuwa imetenda Haki 😂😂😂😂Ilitegemewa maana Rostam alisema huwa inapigwa simu moja tu kutoka serikalini kwenda mahakamani
Mabilioni yapi? Wale waliochanga hela ndio wameshaliwa hivyo 😁😁Ni sawa, cha maana haya mabilioni tunalipa wote
Mabilioni yapi? Wale waliochanga hela ndio wameshaliwa hivyo 😁😁
Hilo swali litajibiwa na serikali, kuwa inataka iwejeSerikali iuze Bandari Ili iwaje?
Hamna hoja,kwani kama ni Rais Kuagiza lazima aende Mbeya?Nanenane ya Mbeya imezaa matunda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maagizo kutoka ikulu
Chalii 😆😆😆Sasa utaijibia dhamira ya mtu? ajibu mwenyewe kuwa anauza ili iweje
Mahakama imehalalisha dili sio
Pwaaaaa 😂😂😂😂Majaji nao wanahsi utamu wa asali