MLITAKA ASHINDE NANI KWANI AU MNAFIKIRI HUMO KUNA NDROO KAMA YA MPIRA? LAZIOMA MMOJA ASHINDWE AKISHINDWA KUTETEA HOJA ALIZOPELEKA MAHAKAMANI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MLITAKA ASHINDE NANI KWANI AU MNAFIKIRI HUMO KUNA NDROO KAMA YA MPIRA? LAZIOMA MMOJA ASHINDWE AKISHINDWA KUTETEA HOJA ALIZOPELEKA MAHAKAMANI
ULITAKA NANENANE IBADIRISHWE TAREHE IWE TAREHE 20 ILIKUPISHA HUKUMU YA KESI? KWANINI USINGEMWAMBIA MWAMBUKUSI ASUBIRI NANENANE IPITE NDIYO A FUNGUE HIYO KESI ILI ISIINGILIANE NA NANENANE?Nikikumbuka maneno ya mfanyabishara R., Kuhairishwa kwa hukumu na safari ya mama kule mbeya si dalili nzuri kabisa kwa upande wa Watanganyika juu ya maamuzi ya leo mahakamani,
Fikra zako zitakumaliza kwa ubinafsi wako na ubaguziHii kazi ya kudai haki ya mtanganyika iliyoporwa na wasaliti toka Zanzibar lazima iendelee, bila kujali outcome ya hiyo kesi, kwasababu watanganyika bandari zetu tulipewa na muumba, hatukupewa na majaji mahakamani.
Haina maana yoyote tuwaulize maswali waliozitoa bandari zetu kwa waarabu milele, washindwe kutujibu, kisha twende mahakamani kutafuta majibu, nao waje na nusu majibu, jopo la majaji linapotamka IGA imeingilia sheria za nchi, lakini sio batili, wanatakiwa wakapimwe akili kama zipo timamu.
Mihimili yote ya hili taifa imeamua kutusaliti, imeamua kufumbia macho ushetani wa Samia, sasa kinachofuata ni watanganyika wenyewe tuwaoneshe bandari zetu ni mali yetu, urithi toka kwa muumba wetu, wao ni wasimamizi wasio na huruma na vizazi vya hili taifa.
hakuna wanasheri hapo ni utopolo mtupu watapingaje kitu ambacho kipo wazi kabisaWasichoke
Mungu Iangalie Tanzania yetu.
wafungua kesi wameangukia puaaaaaaaa hhhaaaaaaaa mtakoma mwaka huu badari hoyeeeeeeeeeeeeeeeeHapa hakuna majaji Hapa Kuna kundi la matapeli tu shenzi tpyuuu
Ilipofika ni MUNGU mwenyewe atunusuru...Upo wakati Majaji wanapaswa kujiuliza wanafanya kwa maslahi ya nani? Unapotoa hukumu mamia ya wananchi waliokaa kukusikiliza wakatoka wameinamisha kichwa maana yake ipo dosari kwenye hukumu au maamuzi uliyoyatoa. Chakujiuliza umetoa maamuzi kwa manufaa ya nani?
Kwamba bunge leo hata likiazimia kuwauza wananchi wote na ardhi yao Mahakama itabaki kusema imefungwa mikono? Mara ngapi Duniani maamuzi ya bunge yamekuwa yanapingwa? Je, kama maamuzi ya Bunge hayapingwi mahakamani kuna umuhimu gani wa kuwa na mhimili wa mahakama?
hiyo ni shida ya kwenda mahakamani na matokeo yako kichwani sasa majaji wameona hakuna kifungu kilichokiuka katiba ulitaka wakufurahishe wewe mwenye mihemko yako ambaye hata hiyo IGA huijui ni kitu gani kwanza aliyekuambia kuwa kila mwananchi hajaridhika ni nani inamaana unawasemea na wenzio wewe kama nani? mbona shangwe lipo lakuitosha tu huku mtaani pole sana lakini usitusemee na sisi tuliofurahiUpo wakati Majaji wanapaswa kujiuliza wanafanya kwa maslahi ya nani? Unapotoa hukumu mamia ya wananchi waliokaa kukusikiliza wakatoka wameinamisha kichwa maana yake ipo dosari kwenye hukumu au maamuzi uliyoyatoa. Chakujiuliza umetoa maamuzi kwa manufaa ya nani?
Kwamba bunge leo hata likiazimia kuwauza wananchi wote na ardhi yao Mahakama itabaki kusema imefungwa mikono? Mara ngapi Duniani maamuzi ya bunge yamekuwa yanapingwa? Je, kama maamuzi ya Bunge hayapingwi mahakamani kuna umuhimu gani wa kuwa na mhimili wa mahakama?
awanusuru na nini sasa mlitaka mshionde nyie?Ilipofika ni MUNGU mwenyewe atunusuru...
haswaaaa hawapendi kushindwa wapinga maendeleo haoHii ni habari njema kwa wazalendo wote. Iwe fundisho kwa Mwabukusi na wajinga wenzake. Ni kawaida kwa CHADEMA ikishindwa kesi kusema mahakama zinatumika... matusi ni sehemu ya sera za CHADEMA.
Umewasomaji majaji? Wamesema wapi hakuna vifungu vilivyokuwa?hiyo ni shida ya kwenda mahakamani na matokeo yako kichwani sasa majaji wameona hakuna kifungu kilichokiuka katiba ulitaka wakufurahishe wewe mwenye mihemko yako ambaye hata hiyo IGA huijui ni kitu gani kwanza aliyekuambia kuwa kila mwananchi hajaridhika ni nani inamaana unawasemea na wenzio wewe kama nani? mbona shangwe lipo lakuitosha tu huku mtaani pole sana lakini usitusemee na sisi tuliofurahi
kwahiyo uliona ili iwe oimetenda haki mwambukusi ashinde ? yeye ni nanio mpaka lazima ashinde yeye?Mahakama kazi yake ni kutoa haki. Kama haiwezi kutoka haki hakuna umuhimu wa kuwa na mahakama kila mtu atajitafutia haki Kwa mbinu anazozijua.