Mbeya: Mahakama Kuu yatoa baraka Uwekezaji wa DP WORLD Dubai Bandarini. Walalamikaji wajipanga kukata Rufaa ya Hukumu

Mbeya: Mahakama Kuu yatoa baraka Uwekezaji wa DP WORLD Dubai Bandarini. Walalamikaji wajipanga kukata Rufaa ya Hukumu

Hii point naiunga mkono. Pale ilitakiwa Jeshi liivushe nchi kwenye 'bahari ya Sham' badala yake wakazuia nchi isitoke 'Misri'.
Hapa inatakiwa jeshi lichukue nchi, lisimamie uundwaji wa katiba mpya. Vyama vyote vya siasa vifutwe. Then Inaandaliwa katiba mpya chini ya usimamizi wa kijeshi. Hapo kutakuwa hakuna chama chochote cha siasa. Baada ya hapo viundwe vyama vipya vyenye majina tofauti na hivi. Uitishwe uchaguzi mkuu ndipo jeshi limkabidhi madaraka raisi mwingine ajaye Nukta
 
Stupid ni yule ambaye hawezi kujua kwamba kwa Katiba iliyopo hakuna Uwezekano wa kuonekana Katiba imevunjwa mahali popote !!
Na ndicho kilichotokea na ndicho kitakachotokea siku za usoni as long as Katiba hii iliyopo itaendelea kuwepo !![emoji120]
Toa basi na ushauri wako ni njia gani watu wapite ili kuondokana na hayo
 
Nimeipitia hukumu ya High Court iliyotolewa Mbeya, niwazi mawakili walio wakilisha wananchi wameshinda kesi lakini Mahakama imeshindwa kutoa hukumu yake kuwapa ushindi Adv. Mwambakuzi na wenzake kwani mahakama imeeleza wazi kuwa Bunge nalo ni mhimili unaojitegemea hivyo hawawezi kutengua maamuzi yake.
AJABU SANA, mbona serikali nayo ni mhimili lakini maamuzi yake ya hovyo yanaweza kupingwa na mahakama?
Hapa inaonyesha wazi na majaji wametamka hivyo makusudi kama kufahamisha umma kuwa kuna shinikizo lililo waamuru kuamua hivyo.
Kwa hiyo Mahakama inafanya maamuzi kwa kufuata nini Mihimili mingine inasema na sio kwa kufuata taratobu zake.Kwa hiyo leo Rais akitoa hoja fulani afungwe atafungwa bila Mahakama kuuliza sababu kwa kuwa tu Mhimili mwingine umesema?
 
Nani anaweza kukubaliana na hukumu fyongo kama hii.

Mahakama zenyewe za majaji kupigiwa simu ulitegemea haki?

CCM na majaji wao wanajitekenya na kucheka wenyewe. Hakuna anayeweza kubuy katika mkataba wa hovyo wa namna hii kisa eti majaji watatu wamekaa na kuamua.

Rostam alisema wanapigiwaga simu hawa, Sijui safari hii wamepigiwa mara ngapi!
Sasa kama ni hivo kwa nini mulikwenda kufungua hiyo kesi?
 
Hukumu ya kisanii, majaji wanataka vifungu vyenye makosa virekebishwe, badala ya kutoa amri waseme ule mkataba wa IGA ni batili, hii ngoma lazima iende mbele zaidi, wajinga wacha waendelee kushangilia wasichokijua.
 
Hapa inatakiwa jeshi lichukue nchi, lisimamie uundwaji wa katiba mpya. Vyama vyote vya siasa vifutwe. Then Inaandaliwa katiba mpya chini ya usimamizi wa kijeshi. Hapo kutakuwa hakuna chama chochote cha siasa. Baada ya hapo viundwe vyama vipya vyenye majina tofauti na hivi. Uitishwe uchaguzi mkuu ndipo jeshi limkabidhi madaraka raisi mwingine ajaye Nukta
Naona umeshakunywa Highlife unaropoka tu
 
Penye udhia pemyeza rupia .

WAAFRIKA ni corupt sana .

Kama Wafanyakazi Wa bandari na ameshindwa kutukana na rushwa basi Kila MAHALI ni rushwa tupu.
Bunge rushwa ,Serikali rushwa ,Kila MAHALI ni rushwa ndio Maana wawekezaji Hawana Imani na mahakama inayoongizwa na jaji Mweusi .

Tutarudi kwenye utumwa rasmi Chini ya utawala Wa CCM na mihimili yake yote yote.

Bila CCM kufa hakuna mabadiliko Tanzania Wa Tanganyika.

Ni zamu ya Watanganyika kulia Chini ya CCM lakini kilio cha Wazanizibari kitakua kikubwa zaidí ni muda tu.
 
Hakika, hatua inayofuata mahakama ya rufaa, nao wakiwa wagumu kuelewa, kitakachofuata kitajulikana mbele ya safari, muhimu wasaliti watambue, hii ngoma bado mbichi kabisa, ile michezo yao ya kitoto safari hii waisahau.

Kukimbizana bungeni kujaribu kubadilisha sheria, ili kuruhusu ule uhuni waliofanya kwenye ule mkataba wa hovyo, huo mchezo wa kitoto wanaofanya utawasononesha wao na vizazi vyao.
 
Kumbuka kesi ya uchaguzi Jimbo la vwawa mwaka 2015 ambapo mgombea Wa CHADEMA Bw. Fanuel Nkisi alithibitisha pasipo shaka kuibiwa kura zake.

Mahakama ilisema pamoja na ushahidi wote kuonyesha kuwa Fanuel alishinda, Lakini matokeo yaliyotangazwa yalitokana na makosa ya kibinadamu tu hivyo mahakama haiwezi kubatilisha matokeo hayo.

Niamini Mimi, hata kama Rostam Aziz aliomba radhi dhidi ya matamshi yake Kwa mahakama, Lakini ukweli Wa Yale matamshi yake unathibitika kutokana na jinsi mahakama inavyofanya maamuzi yake kwenye mambo yahusuyo siasa au dhidi ya CCM na Serikali.
simu moja tu toka juu intosha kubatilisha hukumu
 
Hivi kuna mtu alijua watashinda hii kesi?Mimi nilijua hawatashinda maana Serikali ndo mhimili wenye mzizi mrefu na imekula mihimili mingine yote. Hawa majaji,wanahofia vyeo vyao. Tumeshajua,sema wanamuogopa Boss wao.Hili Jeshi la Tanzania si lichukue tu hii nchi.Mabeyo ulikosea sana.Ulitakiwa ubebe hii nchi walau CCM wapoteane na tuanze upyaaaa.
Piga namba hii uongee na wenye jeshi: Phone : +255687840591
 
Nimeipitia hukumu ya High Court iliyotolewa Mbeya, niwazi mawakili walio wakilisha wananchi wameshinda kesi lakini Mahakama imeshindwa kutoa hukumu yake kuwapa ushindi Adv. Mwambakuzi na wenzake kwani mahakama imeeleza wazi kuwa Bunge nalo ni mhimili unaojitegemea hivyo hawawezi kutengua maamuzi yake.
AJABU SANA, mbona serikali nayo ni mhimili lakini maamuzi yake ya hovyo yanaweza kupingwa na mahakama?
Hapa inaonyesha wazi na majaji wametamka hivyo makusudi kama kufahamisha umma kuwa kuna shinikizo lililo waamuru kuamua hivyo.
Ni ndoto za alinacha. Unadhani mahakama ni kikao cha kunywa pombe kwamba kila mtu anasema kivyake? Mwabukusi et al wameshindwa vibaya
 
Back
Top Bottom