bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Kwa hiyo hao wanaopinga wao sio wananchi?Sema wapotoshaji wachachee, hakuna mwananchi anayepinga mkataba kama sio nyie wapotoshajii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hao wanaopinga wao sio wananchi?Sema wapotoshaji wachachee, hakuna mwananchi anayepinga mkataba kama sio nyie wapotoshajii
Wananchi tumefurahi huu ushindi.Mungu ampe afya mama Samia na uzima,azidi kutuletea maendeleo.Mpambano kati ya Chief Mwambukusi vs Chief Hangaya.
Tanganyika kataa uwekezaji wa kitumwa simama na Chief Mwambukusi
Hatujui kama ni uamuzi wa haki mpaka fursa zote za rufani zitakapokamilika kuanzia mahakama ya rufani hadi ya haki za binadamu ya AfrikaUzi huu utakosa wachangiaji.Wakati hukumu ya haki ndio hii.
Wananchi wazalendo tumefurahi.Mungu ampe uzima na afya,mama Samia,azidi kutuletea maendeleo.Hukumu inajulikana. Serikali inashinda. Hatuna mahakama tuna kusanyiko la Shyster Judges, takataka
Solution ni mapambano, si takataka eti mahakama.
Mungu wa Kike Saa 100 awabariki
Hapa inatakiwa jeshi lichukue nchi, lisimamie uundwaji wa katiba mpya. Vyama vyote vya siasa vifutwe. Then Inaandaliwa katiba mpya chini ya usimamizi wa kijeshi. Hapo kutakuwa hakuna chama chochote cha siasa. Baada ya hapo viundwe vyama vipya vyenye majina tofauti na hivi. Uitishwe uchaguzi mkuu ndipo jeshi limkabidhi madaraka raisi mwingine ajaye NuktaHii point naiunga mkono. Pale ilitakiwa Jeshi liivushe nchi kwenye 'bahari ya Sham' badala yake wakazuia nchi isitoke 'Misri'.
Toa basi na ushauri wako ni njia gani watu wapite ili kuondokana na hayoStupid ni yule ambaye hawezi kujua kwamba kwa Katiba iliyopo hakuna Uwezekano wa kuonekana Katiba imevunjwa mahali popote !!
Na ndicho kilichotokea na ndicho kitakachotokea siku za usoni as long as Katiba hii iliyopo itaendelea kuwepo !![emoji120]
Sana huu ndio ukweliTeam wazalendo tumeshinda!!!
Asili ya HAKI ni Mungu,
Watashindana, lakini hawatoshinda.
Amen.
Mbona mlipeleka mahakamani.Wauliza jibu.Mahakama zenyewe zipo wapi?
Kwa hiyo Mahakama inafanya maamuzi kwa kufuata nini Mihimili mingine inasema na sio kwa kufuata taratobu zake.Kwa hiyo leo Rais akitoa hoja fulani afungwe atafungwa bila Mahakama kuuliza sababu kwa kuwa tu Mhimili mwingine umesema?Nimeipitia hukumu ya High Court iliyotolewa Mbeya, niwazi mawakili walio wakilisha wananchi wameshinda kesi lakini Mahakama imeshindwa kutoa hukumu yake kuwapa ushindi Adv. Mwambakuzi na wenzake kwani mahakama imeeleza wazi kuwa Bunge nalo ni mhimili unaojitegemea hivyo hawawezi kutengua maamuzi yake.
AJABU SANA, mbona serikali nayo ni mhimili lakini maamuzi yake ya hovyo yanaweza kupingwa na mahakama?
Hapa inaonyesha wazi na majaji wametamka hivyo makusudi kama kufahamisha umma kuwa kuna shinikizo lililo waamuru kuamua hivyo.
kama ilivyo kwa ishu ya fei totoNanenane ya Mbeya imezaa matunda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maagizo kutoka ikulu
Sasa kama ni hivo kwa nini mulikwenda kufungua hiyo kesi?Nani anaweza kukubaliana na hukumu fyongo kama hii.
Mahakama zenyewe za majaji kupigiwa simu ulitegemea haki?
CCM na majaji wao wanajitekenya na kucheka wenyewe. Hakuna anayeweza kubuy katika mkataba wa hovyo wa namna hii kisa eti majaji watatu wamekaa na kuamua.
Rostam alisema wanapigiwaga simu hawa, Sijui safari hii wamepigiwa mara ngapi!
Naona umeshakunywa Highlife unaropoka tuHapa inatakiwa jeshi lichukue nchi, lisimamie uundwaji wa katiba mpya. Vyama vyote vya siasa vifutwe. Then Inaandaliwa katiba mpya chini ya usimamizi wa kijeshi. Hapo kutakuwa hakuna chama chochote cha siasa. Baada ya hapo viundwe vyama vipya vyenye majina tofauti na hivi. Uitishwe uchaguzi mkuu ndipo jeshi limkabidhi madaraka raisi mwingine ajaye Nukta
simu moja tu toka juu intosha kubatilisha hukumuKumbuka kesi ya uchaguzi Jimbo la vwawa mwaka 2015 ambapo mgombea Wa CHADEMA Bw. Fanuel Nkisi alithibitisha pasipo shaka kuibiwa kura zake.
Mahakama ilisema pamoja na ushahidi wote kuonyesha kuwa Fanuel alishinda, Lakini matokeo yaliyotangazwa yalitokana na makosa ya kibinadamu tu hivyo mahakama haiwezi kubatilisha matokeo hayo.
Niamini Mimi, hata kama Rostam Aziz aliomba radhi dhidi ya matamshi yake Kwa mahakama, Lakini ukweli Wa Yale matamshi yake unathibitika kutokana na jinsi mahakama inavyofanya maamuzi yake kwenye mambo yahusuyo siasa au dhidi ya CCM na Serikali.
Piga namba hii uongee na wenye jeshi: Phone : +255687840591Hivi kuna mtu alijua watashinda hii kesi?Mimi nilijua hawatashinda maana Serikali ndo mhimili wenye mzizi mrefu na imekula mihimili mingine yote. Hawa majaji,wanahofia vyeo vyao. Tumeshajua,sema wanamuogopa Boss wao.Hili Jeshi la Tanzania si lichukue tu hii nchi.Mabeyo ulikosea sana.Ulitakiwa ubebe hii nchi walau CCM wapoteane na tuanze upyaaaa.
Ni ndoto za alinacha. Unadhani mahakama ni kikao cha kunywa pombe kwamba kila mtu anasema kivyake? Mwabukusi et al wameshindwa vibayaNimeipitia hukumu ya High Court iliyotolewa Mbeya, niwazi mawakili walio wakilisha wananchi wameshinda kesi lakini Mahakama imeshindwa kutoa hukumu yake kuwapa ushindi Adv. Mwambakuzi na wenzake kwani mahakama imeeleza wazi kuwa Bunge nalo ni mhimili unaojitegemea hivyo hawawezi kutengua maamuzi yake.
AJABU SANA, mbona serikali nayo ni mhimili lakini maamuzi yake ya hovyo yanaweza kupingwa na mahakama?
Hapa inaonyesha wazi na majaji wametamka hivyo makusudi kama kufahamisha umma kuwa kuna shinikizo lililo waamuru kuamua hivyo.