Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tuko kila Mahalihearsay information.
Hao vijana ni wajinga sana , wanadhani tunabahatisha
Maelezo bila picha ni sawa na bure tu
Hapo kwenye kulipa kodi mioyo kama imekufa,Kwenye maandamano pia muwe mnawaambia, pamoja na kuwa na shida na CCM ila wafahamu maendeleo sio miujiza bali ni kufanya kazi kwa bidii kwa jasho na damu, kulipa kodi, kuwa waaminifu kwenye nchi yetu na kupendana wenyewe kama watanzania (haijalishi muislamu,mkristo, mpagani, mnyakyusa, mbondei, Mkwere, majukumu, mchaga nk)
Mwigulu anazidi kutuongezea ma bus mapya tuHapo kwenye kulipa kodi mioyo kama imekufa,
Maana nailipa huku nawaza Mwigulu na wengine namna watakavyoenda kuifaidi, inauma.
CCM ni kichakaKwenye maandamano pia muwe mnawaambia, pamoja na kuwa na shida na CCM ila wafahamu maendeleo sio miujiza bali ni kufanya kazi kwa bidii kwa jasho na damu, kulipa kodi, kuwa waaminifu kwenye nchi yetu na kupendana wenyewe kama watanzania (haijalishi muislamu,mkristo, mpagani, mnyakyusa, mbondei, Mkwere, majukumu, mchaga nk)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Maandamo mpaka sasa kimya makamanda mmekimbia?
Haya ni matembezi ya hisani.
Toka mmeanza kuandamana nisaidie faida tatu mlizopataInasemekana eneo la Uyole mara zote nyakati za usiku huwa na watu wengi, hii ni kutokana na eneo hilo kuwa njia panda ambayo Magari mengi hupita, Magari ya kwenda Malawi na yale ya kwenda zambia yote hupita hapo.
Lakini umati unaokusanyika usiku huu kwenye eneo hilo si wa kawaida , watu ni wengi mno na wengi wao hawana hata mabegi, hii ni ishara kwamba watu hao si wasafiri, Bali ifahamike kwamba UYOLE ni miongoni mwa vituo vitatu vilivyoainishwa na CHADEMA kuwa sehemu ya kuanzia maandamano , Wananchi wengi wamechagua kuanzia maandamano yao kwenye eneo hilo, hii ndio sababu wananchi wanaanza kujazana mapema , zipo tetesi kwamba Mbowe au Lissu wataanzia hapa.