Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Unatumia akili ya wapi Mkuu?vinakugiza vip akati online uko active 24/7🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia akili ya wapi Mkuu?vinakugiza vip akati online uko active 24/7🐒
huna malalamiko wew 🐒Unatumia akili ya wapi Mkuu?
Hiyo ni barakaNa hizi radi hapa Kabwe inakuwaje kama kuna dalili ya mvua hapa
Yupo Route ya Wapi mzee wetu tumpe Gwala
Bila shaka anaelekea nzovweYupo Route ya Wapi mzee wetu tumpe Gwala
Aisee kweli naona mvua imepotea now.Hiyo ni baraka
Enna mama🙏🏽Twisile lelo twe bha Chadema
Noma sanaAisee kweli naona mvua imepotea now.
Safiii, Nipo kijiweni SIDO, Lazima niunge Route kuelekea Ruanda-Vzovwe.Bila shaka anaelekea nzovwe
Mwigulu anazidi kutuongezea ma bus mapya tuView attachment 2909862
Elewa maana ya Protesting Mgao wa Umeme ukiisha sio faida ni Huduma.Toka mmeanza kuandamana nisaidie faida tatu mlizopata
Mgao wa umeme utaisha kisa chadema wanaandamana ?Elewa maana ya Protesting Mgao wa Umeme ukiisha sio faida ni Huduma.
Au unataka tuchukue silaha za Jadi tuvamie TANESCO sisi nguvu yetu ni Maandamano na KURA Maandamano yakishindwa tunahamia kwenye Boxi la KURA.Mgao wa umeme utaisha kisa chadema wanaandamana ?
Tukajua hayakufanyika , kumbe hadi watu wamefika Nzovwe !Imeshuka bonge la mvua hila machief wa CCM balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeme utarekebishwa na tanesco hakuna mwenye uwezo wa kurekebisha umeme zaidi ya tanesco na wizara inayosimamia tanesco,maandamano kauli mbiu nk ni kupoyeza mudaAu unataka tuchukue silaha za Jadi tuvamie TANESCO sisi nguvu yetu ni Maandamano na KURA Maandamano yakishindwa tunahamia kwenye Boxi la KURA.
Nakuhurumia sana jinsi kwashakoo ya Utotoni ilivyozimaliza IQ.Umeme utarekebishwa na tanesco hakuna mwenye uwezo wa kurekebisha umeme zaidi ya tanesco na wizara inayosimamia tanesco,maandamano kauli mbiu nk ni kupoyeza muda
Andamana wewe mwenye IQ kubwa utapata umeme,nyumbani kwangu mimi mwenye IQ ndogo maji ya Mamlaka na umeme watanesco ni Reserve tu.IQ ndogo inenifikisha hapa.Pia nyumbani kwa mbowe ana enjoy kama mimi tu shida hauwafahamu viongozi wa chama chako.Nakuhurumia sana jinsi kwashakoo ya Utotoni ilivyozimaliza IQ.