Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

Natoa wito huu kwa Serikali ya awamu ya 6, kwamba wote walioshiriki kumtesa Mdude ambao bila shaka wanafahamika , wakamatwe haraka sana na kushitakiwa Mahakamani

Ni muhimu sana kwa Chalamila na kundi lake akiwemo RPC wa Songwe na RPC wa Mbeya , DPP aliyeng'olewa Biswalo Mganga (mnyororo ni mrefu) wakamatwe na kushitakiwa ili kuimarisha utawala wa sheria nchini Tanzania, ni muhimu watu hawa kukamatwa ili kuepusha wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa lengo la kulipa kisasi.
Utasubiri sana
 
Hilo la kuzidiwa umri ndio chaka linalotumiwa na wazazi na viongozi wa kiafrica kushindwa kuwajibika kwa kisingizio kuwa 'mkubwa hakosei'
Mkubwa hatukanwi na wala havunjiwi heshima bali anakosolewakistaarabu.

Kwa hiyo akishindwa kuwajibika usimvunjie heshima na kumtukana,unatakiwa umkosoe tena assume unamkosoa baba yako hivyo utumie akuli za kiungwana kukosoa.

Ukijiona jabali,ukijiona kwamba una haki ya kutumia lugha yeyote kwa sababu kakosea na hawajibiki basi hatuumii sisi utaumia wewe na familia yako nyumbani.

Sisi tutaendelea kuepukana na shari zao huku wewe ukiendelea kusota jela kwa ushujaa wako.

Sisemi kuwa ukitumia kauli za kiungwana hautakutwa na masaibu hapana,unaweza kutumia kauli hizo na ukakutwa lakini huo usiwe mwanya wa wewe kusema utukane tu.

Ttaizo watanzania hatuna adabu,tukiingia kwenye isasa tunaacha adabu nje
 
Siasa bwana aliemtesa kashaoza nyama zinamalizikia kwenye shimo la hewa.
 
Kwa hili huwezilinganisha SA na TZ ndugu😃😃

Huku kwetu wanaCCM wanasema kidumu chama cha mapinduzi na mi10 tena kwa SSH, na wapinzani wanaimba zidumu fikra za Ironlady Samia

CCM miaka 1000 tena
Unashida wewe..umesahau zile kura za mabegi ya TISS?
 
Nimekumbuka na yale maandamano ya kuwanunulia vijana gongo aliyowaelekeza Tundu pia
Hujakumbuka na Mangula alivyowekewe sumu?
Na wale wabunge walionunuliwa kina waitara na leo ni mawazir. Unajiita chama utawala wakati hata viongozi unanunua?????
 
Hujakumbuka na Mangula alivyowekewe sumu?
Na wale wabunge walionunuliwa kina waitara na leo ni mawazir. Unajiita chama utawala wakati hata viongozi unanunua?????
Hapana. Nimekumbuka Mbowe alivyotafuna michango ya wabunge wa chadema😂😂😂
 
Hapana. Nimekumbuka Mbowe alivyotafuna michango ya wabunge wa chadema😂😂😂
Akili ndogo zinajadili watu.akili kubwa zinajadili masuala/issues. Wewe una akili ndogo.
Ubarikiwe
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta

Hakika CCM itaendelea kupeta bila Jiwe. Wengi hawana tatizo na hilo.

Ushindi wa Lissu unazidi kudhihirika: keshazindua kitabu katika anga za kimataifa ilhali mahasimu wake walitarajia leo hii awe mfu au mlemavu asiyejiweza. He’s still dynamic and quite versatile. Siasa kwake si tegemeo la riziki bali ni nyenzo tu ya kuwaweka sawa viongozi wa JMT.
 
Leo Juni 28, 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Mdude Nyagali baada ya kutomkuta na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kusafirisha madawa ya kulevya.

Mpaluka Mdude Nyagali alikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin gramu 23.4 mwaka 2020.

Mdude ni Mwanaharakati na Mwanachama wa CHADEMA ambaye alitumia muda mwingi kuikosoa Serikali ya Awamu ya Tano iliyokuwa ikiongozwa na Hayati John Magufuli. Mdude anajitambulisha kama mpiganiaji uhuru wa kujieleza na uhuru wa kuwepo mdahalo wa kisiasa.

Pia soma
- Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi


Meko alikuwa mtu wa roho ya kipekee sana aliweza kutumia madaraka yake vibaya mno na akawatengeneza waimba kwaya wanaomsifia kama vichaa.

Hivi kweli kabisa haya yote hawaoni kwamba jamaa alikuwa katili sana kiasi ya kumsifia namna hii? Nahisi kuna team ilitoka Bujumbura kuja kumsifia mtu wao.

Sad kwakweli.
 
Sidhani kama wapinzani hususan Lisu kama wanataka uraisi, ukiwepo utawala wenye kufuata misingi ya sheria na haki nadhani kila mtu atatafuta shughuli ya kufanya.
hata mbinguni hali hiyo ipo,kwahiyo wamejihakikishia ulaji kwa asilia 100% milele.
 
Kama kosa lake ni hili, mbona alishtakiwa kwa kosa jingine kabisa? Eti la kukutwa na madawa ya kulevya, mara kuhujumu uchumi.....!!!!
hayo makosa huwa hayana dhamana,na nia huwa ni kukukomesha.

maadam serikali yenyewe imeona aje anedelee na harakati,wacha aendelee kunya[emoji16][emoji16].

mama atajua hajui.
 
probably ni wengi kuliko tunavyodhani. kuna haja ya kuwa ta taasis inayowachunguza polisi.. kuwa limit wasi commit crimes for interest za mtu fulani.
taasisi hiyo iwe ya malaika kabisa.
 
Back
Top Bottom