Mbeya: Mlima Kawetele wameguka, nyumba zaidi ya 20 zadaiwa kufunikwa

SHida ya jiji la mbeya ni mipango miji hili limepelekea jiji kujaa na watu kuanza kuvamia milima
 
Athari za kutofanya tathmini ya bwawa la mwl Nyerere
 
🤣🤣 Hiyo ni sera ya wapinzani kwa sasa
Uwezo huu mkubwa wa wapinzani kufikiri, uwezo huu wa kuja na hizi sera nzuri za kimkakati zitasaidia kutatua matatizo ya wananchi! Akili zao zinatawaliwa na chuki, bila hata commonsense, bila shaka zitawafanya Watanzania wawape nchi.

CCM ya sasa na upinzani hakuna tofauti. Wote wanataka madaraka na asali kwa maslahi binafsi. SSH, Kinana, Mwigulu, January, Nape, Mbowe, Lema, Lissu, Zitto adui wao mkubwa ni mmoja Magufuli na maskini.
 
Yaani kiongozi akulazimishe wewe upande miti kwa lazima???
Wewe ungekubali???
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Nipo Salamaaa na nitaendelea kuwa salama kwa uweza wa Mwenyezi Mungu mpaka nitakapotimiza ahadi zangu kwako ephen.
Lucas hebu tuambie serikali ina mkakati gani wa kumdhibiti baradhuli mange Kimambi anaye mkashifu rais wetu kipenzi
 
Yaani kiongozi akulazimishe wewe upande miti kwa lazima???
Wewe ungekubali???
Tabora Aggrey Mwanri aliwalizimisha mkoa mzima wa Tabora na walifanya kwa lazima na akawaambia mti ukifa utaona
Walimwagilia mpaka ikakua yote
Leo ukoenda kila wilaya ya tabora na tabora mjini utaona mandhari na wananchi wanafurahia upepo

Unajua kuna nchi ukigonga mti unafungwa
Na kuna nchi ukitaka kukata mti mkubwq nyumbani kwako unaomba ruhusa
Uko Dunia nyingine eti
Kupanda miti ni wajibu wetu sote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…