ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Chawa mwenyewe...!Huyo ni Laana kwa namna yoyote! Au ndio wewe una account nbili?
Anayoyashadadia humu mtandaoni unayajua?
Inatakiwa tuwe na sheria kwamba ukifanya ufisadi uuawe au ukishadadia ufisadi ufungwe.
Wewe chawa umenielewa?