Bosco Robert
Member
- Jan 12, 2016
- 65
- 53
Taarifa yaijaeleza Kama Kuna Kanisa lolote ambalo limekubwa na maporomoko ya udongo???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeripotiwa shule.Taarifa yaijaeleza Kama Kuna Kanisa lolote ambalo limekubwa na maporomoko ya udongo???
Kawetele imehamia Uyole! Mlima Itezi na mdogo sana kwa Kawetele na hali zake za hewa zinatofautiana sana.Salaam, shalom!!
View attachment 2963343
Mlima kawetele ulioko ITEZI, Uyole, jijini Mbeya umeripotiwa kumeguka na kuziangukia nyumba zaidi ya 20.
Chanzo Cha janga Hilo inasemekana ni mvua nyingi zinaonyesha Nchi nzima, zilizoloanisha udongo Kwa kiasi kikubwa.
Mwanzoni, iliaminika walioko milimani wako katika USALAMA zaidi, kumbe Si Kweli, Mvua za ernino ndio kwanza zimeanza, tuendelee kuwa na Tahadhari na kudumu katika maombi.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen.
Source: ITV
Itezi Mbeya
----
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Abdi Isango
Ni kweli sehemu ya mlima imeporomoka na tope kusambaa na kuharibu nyumba 17 pamoja na Shule ya Msingi ya binafsi.
Nyumba zimebomoka kabisa hazionekani, ni kama vile hakukuwa na nyumba, tope limesabaa hakuna kipande cha bati au ubao.
Hakuna madhara kwa binadamu isipokuwa wenyeji wanasema kuna ng’ombe wanne wamesombwa na tope hilo.
Uchunguzi wa awali umebaini chanzo ni mvua kubwa zinzoendelea kunyesha, mvua zilinyesha jana na usiku wa kuakia leo, ambapo Alfajiri ndipo tope likaasambaa.
Wenyeji wanasema kwa kuwa kuna shughuli za kilimo, inawezekana kilimo kimesababisha udongo ukose mshikamano na hivyo mvua inaponyesha inakuwa rahisi kukatika.
Chini ya huo Mlima kuna Mto, mbapo umesomba tope hilo Kwenda mbele zaidi, tope lilikuwa kubwa, limesambaa na kusababisha madhara pia katika nyumab nyingine kadhaa.
Mkuu wa Mkoa na Kamati ya Ulinzi wamefika eneo la tukio na kutoa maelekezo ya tahadhari, Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari kwa kuwa mvua zinaendelea kunyesha, pia wanaojenga karibu na mito nao wametakiwa kuchukua tahadhari kwa kuwa mvua bado zinaendelea kunyesha.
View attachment 2963359
View attachment 2963656View attachment 2963657View attachment 2963658
ITV wameripoti ni Mlima Kawetele, Eneo la ITEZI. Sasa wenyeji mtujuze.Kawetele imehamia Uyole! Mlima Itezi na mdogo sana kwa Kawetele na hali zake za hewa zinatofautiana sana.
Upo waz tuWamekata miti yote kwenye huo mlima landslide lazima itokee .
Loulo Kalumbu 🥴Mwe tupilike mwe
Atupele na TusekelegeMwe tupilike mwe
Mungu aisamehe Nchi yetu,Tubaliki TZ tusamee makosa yetu
Amiin 🤲Mungu aisamehe Nchi yetu,
Mungu aisamehe viongozi wetu,
Mungu atusamehe wananchi, mmoja Mmoja.
Dhuluma isiwepo nchini, Haki itawale katika Taifa,
Wananchi,viongozi wasimwage Damu isiyo na HATIA kupata utajiri fake, madaraka, nk nk.
Viongozi waheshimu Sanduku la kura.
Mungu aisamehe Nchi yetu. Tupate mvua ya wastani, atuepushie na majanga.
ukiendelea kuunga mkono juhudiNipo Salamaaa kabisa ephen
🤣🤣🤣Basi chukua mche mmoja wa mti na jembe, nenda pembeni ya barabara ya lami, upande Kisha ukitoka kazini jioni daily, pita na dumu la maji umwagie Hadi ukue.
""BUNJI""Salaam, shalom!!
View attachment 2963343
Mlima kawetele ulioko ITEZI, Uyole, jijini Mbeya umeripotiwa kumeguka na kuziangukia nyumba zaidi ya 20.
Chanzo Cha janga Hilo inasemekana ni mvua nyingi zinaonyesha Nchi nzima, zilizoloanisha udongo Kwa kiasi kikubwa.
Mwanzoni, iliaminika walioko milimani wako katika USALAMA zaidi, kumbe Si Kweli, Mvua za ernino ndio kwanza zimeanza, tuendelee kuwa na Tahadhari na kudumu katika maombi.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen.
Source: ITV
Itezi Mbeya
----
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Abdi Isango
Ni kweli sehemu ya mlima imeporomoka na tope kusambaa na kuharibu nyumba 17 pamoja na Shule ya Msingi ya binafsi.
Nyumba zimebomoka kabisa hazionekani, ni kama vile hakukuwa na nyumba, tope limesabaa hakuna kipande cha bati au ubao.
Hakuna madhara kwa binadamu isipokuwa wenyeji wanasema kuna ng’ombe wanne wamesombwa na tope hilo.
Uchunguzi wa awali umebaini chanzo ni mvua kubwa zinzoendelea kunyesha, mvua zilinyesha jana na usiku wa kuakia leo, ambapo Alfajiri ndipo tope likaasambaa.
Wenyeji wanasema kwa kuwa kuna shughuli za kilimo, inawezekana kilimo kimesababisha udongo ukose mshikamano na hivyo mvua inaponyesha inakuwa rahisi kukatika.
Chini ya huo Mlima kuna Mto, mbapo umesomba tope hilo Kwenda mbele zaidi, tope lilikuwa kubwa, limesambaa na kusababisha madhara pia katika nyumab nyingine kadhaa.
Mkuu wa Mkoa na Kamati ya Ulinzi wamefika eneo la tukio na kutoa maelekezo ya tahadhari, Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari kwa kuwa mvua zinaendelea kunyesha, pia wanaojenga karibu na mito nao wametakiwa kuchukua tahadhari kwa kuwa mvua bado zinaendelea kunyesha.
View attachment 2963359
View attachment 2963656View attachment 2963657View attachment 2963658
Huyu bata angeenda tu hana faida yoyote kwenye hii nchi zaidi ya laanaLucas Mwashambwa upo salama?
Watu na wapenzi waoUtakufa wewe, yeye utamuacha!
Faida anayo!Huyu bata angeenda tu hana faida yoyote kwenye hii nchi zaidi ya laana
Lucas anaishi Bado Kwa mamake😀Faida anayo!
Unajua ni wangapi wanakula, wanavaa, wanasoma kupitia yeye?
Wangapi amewasaidia?
Ushajiuliza wangapi wanamtegemea?
Faida hana kwako ila kwa wengine anayo faida..!
Huyo ni Laana kwa namna yoyote! Au ndio wewe una account nbili?Faida anayo!
Unajua ni wangapi wanakula, wanavaa, wanasoma kupitia yeye?
Wangapi amewasaidia?
Ushajiuliza wangapi wanamtegemea?
Faida hana kwako ila kwa wengine anayo faida..!