wapo na wanamshauri vizuri sana sema vijana wa chadema hawasikilizi wazee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe hauko salama ni swala la muda tu!!jifunze kwa wenzako wakina nape,nchambi,jauary makamba,makamba Senior,membe!!wakitumaliza watahamia kwenu wenyewe kwa wenyewe dictator hana rafikiwapo na wanamshauri vizuri sana sema vijana wa chadema hawasikilizi wazee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili kundi lililokabidhiwa nchi nimegundua kuwa hawajui kupigana kisayansi, hili ni kundi la kupigana kwa kutotumia akiri, Siku zote kwenye Vita ukiona adui anakuzidi nguvu unatakiwa urudishe nyuma majeshi sasa hawa wakipelekewa wanaingia Kingi, hawatumiii akiri kupambana na wananchi wanatumia nguvu hata kipindi achacho wanajua kuwa dunia yooote inawatazamaada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
@ChademaTz
@ChademaMdude
, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, kujibu shtaka linalomkabili ya uhujumu uchumi baada ya kukutwa na gramu 23.4 za dawa za kulevya aina ya Heroine.
Mkuu, hii "komenti" yako nimeihifadhi kwaajili ya rejea na kumbukumbu zangu huko mbeleni.Kama ni kweli mashtaka haya jiwe hatokufa kwa Corona kama sio kweli jiwe anaenda na Corona!!mungu amechoshwa na uonevu!!!
Je Nyerere angesema atulie afundishe pugu pale angekosa nini??siasa ni maisha maana wao ndo wanaofanya maamuzi ya maisha yetu usipoifanya itakugusa tu,kama swala la sukari,elimu,maji,barabaraHapa ndo napochukia kujiingiza kwenye mapambano ya siasa...unaiacha familia yako inahangaika wew unaenda kunyea debe...kwani angetulia tu angepungukiwa nini?
Hakuna marefu yasioyo na ncha kijana ukiona moshi unafuka jua ndani kwa motoHuyo kijana anawazazi wanaomshauri?
Mniombee watanzania.Magufuli hivi wewe ni Mtumishi wa umma kweli? Je unatenda haki kweli?
Haki huinua taifa, Bali dhambi ni aibu ya watu wote
Magufuli anahusikaje hapo kwenye madawa ya kulevya,acha chuki za hovyo weweMagufuli hivi wewe ni Mtumishi wa umma kweli? Je unatenda haki kweli?
Haki huinua taifa, Bali dhambi ni aibu ya watu wote
CHADEMA IMEKUFA LAKINI WANACHADEMA NI MOTO KULIKO KORONA, WATESI WAKE HAWALALI.#HABARI Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mdude Nyagali, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, kujibu shtaka linalomkabili ya uhujumu uchumi baada ya kukutwa na gramu 23.4 za dawa za kulevya aina ya Heroine...
ukichaa wake ni kusema ukweli?Nawashauri wazazi wamwache akae jela wasihangaike kuuza mashamba kuhangaika na kichaa
Wewe tena unamlaumu sioJapo ni wamemusingizia bila hata aibu dogo alitakiwa asome alama za nyakati pole mdude
Duh! Amebambikiwa dogo! Jamaa wana roho kutu sana. Huyu naye walikuwa wamuuwe kama Ben Saanane