Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani walimu Baadhi Wana act kama wanajeshi wa quantanamo bay,ukatili tu au km hawajazaaa ,utadhani wako na wake wenzao au waume wenzao...it is scary kwa kweli
Mimi naunga mkono kuwaadhibu watoto lakini isiwe adhabu kupita kiasi zinzotweza utu wa mtoto kama za pale Loleza.