Kalolo Junior
Member
- Oct 20, 2011
- 81
- 27
Nakubaliana kabisa na wewe. Adhabu zinazotolewa na Walimu ktk shule hii haziendani na kosa.Uko sahihi kabisa Mkuu Wangu
Isipokua Huyo Matron( Mwalimu na Mlezi wa kike) katoa Adhabu Kali sana Kwa hao wanafunzi.
Kuna Adhabu nyingi Sana ukizingatia na kosa , mazingira ya husika.
Matron kavuka kiwango ( Scale) kaingia kwenye Body and mental torture.
..... Walimu stop being Saddist.
Jumamosi iliyopita kuna wanafunzi walikutwa bwenini; muda ambao walitakiwa kuwa darasani kujisomea (saa 10 alfajiri hadi saa 5 asubuhi). Adhabu waliyopewa ni kufukuzwa shule. Mbaya zaidi wamefukuzwa bila hata taarifa kwa wazazi. Watoto wakajikuta wanazagaa Mbeya mjini kutafuta msaada.