Nashangaaa wee tai mbna ingechanika kabla ya yeye kubembea, kwenye kenchi so mchezoo.
Acha zako hapaa wee, Tai ya sec ndo inyonge mtu?? Afunge kwa kenchi, mbna kwa uzito wa yeye kubembea ingechanika kabla hajafa.Tai zinanyonga bwana mdogo Tena hizi za sekondari ndefu kabisa hizi na Kama huamini test kwakutumia tai Yako utakuja kunishukuru.
Hivi unazungumzia tai ndege au hizi za vitambaa vya suruali? Tumepoteza ndugu na jamaa kisa kujinyonga Kwa tai. Nenda hata dukani tu nunua tai kajinyongee utanishukuru kukufikisha kuzimu. Tai zinaua, mwezi wa nne tumemzika baba mdogo Kwa kifo Kama hicho.Nashangaaa wee tai mbna ingechanika kabla ya yeye kubembea, kwenye kenchi so mchezoo.
Na hajajinyongaa waseme vizuri.Wametoana kafara wasituchoshe udugu
Nakataaa, uongo mtupuuu.Hivi unazungumzia tai ndege au hizi za vitambaa vya suruali? Tumepoteza ndugu na jamaa kisa kujinyonga Kwa tai. Nenda hata dukani tu nunua tai kajinyongee utanishukuru kukufikisha kuzimu. Tai zinaua, mwezi wa nne tumemzika baba mdogo Kwa kifo Kama hicho.
Kidumu chama Cha Mapinduzi
Hivi unakaa wapi we mdada? Marekani au Tanzania hii hii? Tai na mikanda vinaua. Tena ni chap Kwa haraka.Acha zako hapaa wee, Tai ya sec ndo inyonge mtu?? Afunge kwa kenchi, mbna kwa uzito wa yeye kubembea ingechanika kabla hajafa.
Bwana akubariki, akukinge na Kila uovu na siku ya mwisho akufikishe Kwenye uzima wa milele.Nakataaa, uongo mtupuuu.
Na hajajinyongaa waseme vizuri.
Uongo mtupuuu.Hivi unakaa wapi we mdada? Marekani au Tanzania hii hii? Tai na mikanda vinaua. Tena ni chap Kwa haraka.
Kidumu chama Cha Mapinduzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndondochaa hiyoo, watu wanapiga pesa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] udugu banaa bas wamemuweka msukule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndondochaa hiyoo, watu wanapiga pesa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaanNdio zao Mbozi [emoji1787][emoji1787]
Acha zako hapaa wee, Tai ya sec ndo inyonge mtu?? Afunge kwa kenchi, mbna kwa uzito wa yeye kubembea ingechanika kabla hajafa.