Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Ni sawa tu. Kwani hata matekani si watu wanakufa wakati wa uchaguzi? " kifo ni kifo tu"Haya mambo siyo ya kujideula nayo ni lazima tujiulize kuna nini?
Wanauawa hadi Vijana Wadogo kabisa 🐼
Serikali ichukue hatua haraka tafadhali
Swela!
Pia soma
- Mbeya: Mwenyekiti wa UVCCM Makongorosi, Michael Kalinga akutwa ameuawa na mwili wake kutelekezwa