Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wenye nchi ni wananchi , tulimtimua Amos Makalla DSM akiwa RC ndio awe RPC ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye nchi ni wananchi , tulimtimua Amos Makalla DSM akiwa RC ndio awe RPC ?
Ni aibu kuwa na jeshi la polisi linalowabambikiza raia makosa ya uwongoMsanii Sifa Bujune ambaye aliswekwa rumande kwa maelezo kwamba, wimbo wake umejaa Uchochezi , na kwamba angeburuzwa mahakamani kwa uchochezi wake huo, leo amefikishwa mahakamani, baada ya shinikizo la Wanasheria kutaka aachiliwe ama afunguliwe mashtaka.
Bali kinyume na madai ya RPC wa Mbeya ambaye alimpa Bujune kesi ya Uchochezi , Msanii huyo ameshitakiwa kwa makosa ya kusambaza taarifa za uongo, Ajabu!
Hii maana yake ni kwamba RPC wa Mbeya ni Muongo na hafai kuendelea kuwa mtumishi wa jeshi la polisi , Napendekeza Afukuzwe kazi haraka na akamatwe.
View attachment 2754827
View attachment 2754828
Wataweka mpira kwapaniHii kesi natamani lawyer wake awe Kibatala au Lissu 😂 😂 😂 😂
Hawajui kuwa tunajuaIna mana hawa wengine wanaotudanganya kila mara hawaonekani, kuna mwingine juz alisema hakuna mgao ila kuna upungufu wa umeme!
HATA MIMI NINGEKUA KIBARAKA WA SAMIA NINGEFUNGIA HUU WIMBO... MAANA HIZO SPANA NI KERO 😂😂😂😂😂😂😂
Atimuliwe na hao wanao mtuma?Atimuliwe haraka
Kwani kuna mtu ametajwa hapo?Msanii Sifa Bujune ambaye aliswekwa rumande kwa maelezo kwamba, wimbo wake umejaa Uchochezi , na kwamba angeburuzwa mahakamani kwa uchochezi wake huo, leo amefikishwa mahakamani, baada ya shinikizo la Wanasheria kutaka aachiliwe ama afunguliwe mashtaka.
Bali kinyume na madai ya RPC wa Mbeya ambaye alimpa Bujune kesi ya Uchochezi, Msanii huyo ameshitakiwa kwa makosa ya kusambaza taarifa za uongo, Ajabu!
Hii maana yake ni kwamba RPC wa Mbeya ni Muongo na hafai kuendelea kuwa mtumishi wa jeshi la polisi, Napendekeza Afukuzwe kazi haraka na akamatwe.
View attachment 2754827
View attachment 2754828
Kwa hiyo kuanzia sasa mtu akiimna ameachwa na mpemzi wake inabidi akatuonyeshe huyo mpenzi aliyemuacha?Msanii Sifa Bujune ambaye aliswekwa rumande kwa maelezo kwamba, wimbo wake umejaa Uchochezi , na kwamba angeburuzwa mahakamani kwa uchochezi wake huo, leo amefikishwa mahakamani, baada ya shinikizo la Wanasheria kutaka aachiliwe ama afunguliwe mashtaka.
Bali kinyume na madai ya RPC wa Mbeya ambaye alimpa Bujune kesi ya Uchochezi, Msanii huyo ameshitakiwa kwa makosa ya kusambaza taarifa za uongo, Ajabu!
Hii maana yake ni kwamba RPC wa Mbeya ni Muongo na hafai kuendelea kuwa mtumishi wa jeshi la polisi, Napendekeza Afukuzwe kazi haraka na akamatwe.
View attachment 2754827
View attachment 2754828
Nchi hii aisee ,unaweza kucheka kama mazuri , sasa uhongo upi, na huongo sasa imekua kosa la kumkalisha mtu ndani kwa siku 3 , hivi jeshi la police halina kazi za kufanyaMsanii Sifa Bujune ambaye aliswekwa rumande kwa maelezo kwamba, wimbo wake umejaa Uchochezi , na kwamba angeburuzwa mahakamani kwa uchochezi wake huo, leo amefikishwa mahakamani, baada ya shinikizo la Wanasheria kutaka aachiliwe ama afunguliwe mashtaka.
Bali kinyume na madai ya RPC wa Mbeya ambaye alimpa Bujune kesi ya Uchochezi, Msanii huyo ameshitakiwa kwa makosa ya kusambaza taarifa za uongo, Ajabu!
Hii maana yake ni kwamba RPC wa Mbeya ni Muongo na hafai kuendelea kuwa mtumishi wa jeshi la polisi, Napendekeza Afukuzwe kazi haraka na akamatwe.
View attachment 2754827
View attachment 2754828
😆😆😆😆😆Kwa hiyo kuanzia sasa mtu akiimna ameachwa na mpemzi wake inabidi akatuonyeshe huyo mpenzi aliyemuacha?
View attachment 2754856
Samia ni Magufuli katika kilemba chekundu, wote hawana hadhi ya uraisMsanii Sifa Bujune ambaye aliswekwa rumande kwa maelezo kwamba, wimbo wake umejaa Uchochezi , na kwamba angeburuzwa mahakamani kwa uchochezi wake huo, leo amefikishwa mahakamani, baada ya shinikizo la Wanasheria kutaka aachiliwe ama afunguliwe mashtaka.
Bali kinyume na madai ya RPC wa Mbeya ambaye alimpa Bujune kesi ya Uchochezi, Msanii huyo ameshitakiwa kwa makosa ya kusambaza taarifa za uongo, Ajabu!
Hii maana yake ni kwamba RPC wa Mbeya ni Muongo na hafai kuendelea kuwa mtumishi wa jeshi la polisi, Napendekeza Afukuzwe kazi haraka na akamatwe.
View attachment 2754827
View attachment 2754828
vipi mikutano ya lisu inaendeleaje?Atimuliwe haraka
Hizi ni dalili za dola inayoanguka.Hao polisi wakiambiwa wathibitishe huyo kijana ni yupi wataweza!?
Kesi nyingine ni kutaka kujidhalilisha tu na kupoteza muda tu