Mbeya na Iringa wananchi wamejenga nyumba za kijima

Mbeya na Iringa wananchi wamejenga nyumba za kijima

Jamaa sio mzima kabisa ...Hizo nyumba hazina uhusiano na tetemeko wala madhara hayawezi kuwa makubwa kama palipokuwa na magorofa yenu huku Town


Kaangalie kule turkey ilikuwaje ..Baso wanatanzania mna akili za kupanga ,wenzenu wanajenga kama heshima mtu akae kwake.
 
Nakupa utaalamu ,nyumba za udongo na miti hazina madhara makubwa kweny tetemeko kuliko hayo magorofa ..Kwa akili tu unajua.
Kwahiyo nyumba ya udongo ikimuangukia mtu hafi? Kwa akili yako nyumba ipi itaanguka kirahisi, ya block au matope?
 
Kwahiyo nyumba ya udongo ikimuangukia mtu hafi? Kwa akili yako nyumba ipi itaanguka kirahisi, ya block au matope?
Nyumba ya udongo haina pattern kama za matofali labda ya matofali ya kuchoma...Ila nyumba ya miti sio rahisi labda mafuriko.
 
Nilipofika MBEYA mwaka 2005. Nilishangaa kuona jiji lenye nyumba duni(kumbe mby ni mji wa zamani).
Baadae nilijifunza kuwa Mkoa wa Mbeya ni mkoa pekee wenye udongo mgumu unaofaa kwa tofali mbichi, hivyo watu wa mbeya hawaoni haja ya kuchoma tofali wakati ubora hautofautiano sana.
Mfano mbalizi hata wanajeshi na watumishi mbalimbali hujenga kwa tofali mbichi.Tukumbuke ukanda wa mbalizi ndio mwambao ule unaotoa simenti, hivyo udongo wake ni IMARA SANA hata MUST hupeleka tofali hio kuionesha nane nane.
Mbeya boma lililojengwa kwa tofali udongo linaweza nyeshewa hata miaka 10 bila kudondoka.
Jambo linalokosekana Mbeya ni mpangilio wa mji. Wasafwa wameuza viwanja holela.
Kwa sasa Mbeya wanajenga nyumba za kila material kuanzia siment, kuchoma na udongo. Sekta ya ujenzi inakuwa sana mbeya.
Tukumbuke jambo lingine mbeya kujenga ni rahisi kwa sababu ya uwepo wa malighafi mbao,siment?, udonho, maji hivyo kila myu hujenga, hsli hii imeprlekea kuwepo utitiri wa nyumba zenye ubors na zisizi na ubora.
All in all TZ mipango miji ipo chini sana? Sio Mbeya tu.
 
Mbeya ni Jiji kubwa sana, ukiondoa Dar na Mwanza.
Mbeya kilichoiangusha viwanja/mashamba vinamilikiwa na watu binafsi hivyo walijiuzia walivyojisikia. Kila mtu amejenga nyumba inaelekea upande wake. Ukiangalia soko motola ni mji wa zamani ila umepangwa vizuri. Sijui nini kilitokea serikali ikajisahau watu wakaanza kujenga holela.
 
Mbeya ni Jiji kubwa sana, ukiondoa Dar na Mwanza.
Mbeya kilichoiangusha viwanja/mashamba vinamilikiwa na watu binafsi hivyo walijiuzia walivyojisikia. Kila mtu amejenga nyumba inaelekea upande wake. Ukiangalia soko motola ni mji wa zamani ila umepangwa vizuri. Sijui nini kilitokea serikali ikajisahau watu wakaanza kujenga holela.
Hata Dodoma, Tanga na Arusha ni majiji mazuri kuliko Mbeya. Linaloitwa jiji la Mbeya bado liko katika hali ya ukijiji sana.
 
Nilipofika MBEYA mwaka 2005. Nilishangaa kuona jiji lenye nyumba duni(kumbe mby ni mji wa zamani).
Baadae nilijifunza kuwa Mkoa wa Mbeya ni mkoa pekee wenye udongo mgumu unaofaa kwa tofali mbichi, hivyo watu wa mbeya hawaoni haja ya kuchoma tofali wakati ubora hautofautiano sana.
Mfano mbalizi hata wanajeshi na watumishi mbalimbali hujenga kwa tofali mbichi.Tukumbuke ukanda wa mbalizi ndio mwambao ule unaotoa simenti, hivyo udongo wake ni IMARA SANA hata MUST hupeleka tofali hio kuionesha nane nane.
Mbeya boma lililojengwa kwa tofali udongo linaweza nyeshewa hata miaka 10 bila kudondoka.
Jambo linalokosekana Mbeya ni mpangilio wa mji. Wasafwa wameuza viwanja holela.
Kwa sasa Mbeya wanajenga nyumba za kila material kuanzia siment, kuchoma na udongo. Sekta ya ujenzi inakuwa sana mbeya.
Tukumbuke jambo lingine mbeya kujenga ni rahisi kwa sababu ya uwepo wa malighafi mbao,siment?, udonho, maji hivyo kila myu hujenga, hsli hii imeprlekea kuwepo utitiri wa nyumba zenye ubors na zisizi na ubora.
All in all TZ mipango miji ipo chini sana? Sio Mbeya tu.
Umenena vyema mkuu, nadhani udongo ule ni mzuri maana kuna mkuu wa shule kabisa kajenga nyumba kwa matofali mabichi.

Mipango miji mbeya hawastahili kulipwa chochote maana hawafanyi kazi.
 
Nikategemea jedwali lingekuwa linahusu mikoa yenye kiwango kikubwa cha nyumba bora za makazi kumbe linahusu kipato/vipato?

Hela kila mtu anapata kinachozungumzwa hapa kwanini makazi yao ni duni?
Ni kweli maana kuna watu wana kipato kizuri, na wanaishi nyumba za kupanga, ni bora aweke takwimu ya mikoa inayoongoza kwa nyumba bora.
 
Back
Top Bottom