permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Acheni kupiga domo, mna spika anayeongoza mhimili, hivyo sababu za kulalamika sizioni.It is true inachukuliwa kodi tu lakini hata lami mpya hakuna. Nyanda za juu kusini ni mikoa isiyofikirika hata kidogo. Mbeya inakuwa lakini hakuna raisi anayeiwazia, ziara ni Arusha mwanza basi na Dar. Mbeya hatutakiwi hata kidogo, ni kama vile sio sehemu ya nchi. Jengo LA mkuu was mkoa linasuasua tangu Magu afariki.
Umesema kweli,mgawanyo wa mapato sio sawa kabisa kila kitu Dar,Pwani na Dodoma na huku kwingine panaitwa mikoani maana yake barabara za vumbi na lami za kurambisha ni haki yetu,huduma za afya mpaka tuende muhimbili,kiongozi akitoka huku ni mshamba.Sasa kinachofuta ni kuanza kupigania serikali za majimbo.ni kweli kabisa ulichoongea,
yaani serikali hii ina mikoa yake, ipo mikoa mingi ambayo ina fursa nyingi sana za kiuchumi lakini chakuskitisha mapato yanayopatikana yanatumika kuijenga Dar & Dodoma
sasa hiyo si sahihi kabisa, serikali inapaswa kuliangalia hili kwa jicho la tatu
sasa hivi miradi yote ya maendeleo inafanywa Dar & Dodoma
Mikoani huku hakuna kinachoendelea
aaaa wapi na dada zenu wenye mizigo heavy vile ?mnataka mfaidi wenyewe hiki kitu nakipinga kwa nguvu zote .Naunga mkono hoja. Ikibidi tujitenge kabisa na hii nchi ya waswahili
Hiki kitu hata mimi niliwahi kufikiria ingependeza sana aisee na majimbo yangeendelea sana sana sanaaaa ni mwendo wa state tuKwa nini usiwepo utawala wa majimbo (states) kama USA? Kila kanda itumie rasilimali zake, iwe na utawala wake na sheria zake alafu ndo kuwe na serikali ya shirikisho? Haya mambo ya mikoa naona kuna kanda zinanyonywa especially kanda ya ziwa[emoji35]
Tupate katiba mpya ile iliyopendekezwa na wariobaHili lilishawahi kudokezwa kwenye KATIBA pendekezwa ya Jaji Warioba.
Hili liweze kutimia hilo wazo ni lazima tupate KATIBA MPYA itakayotekeleza hayo.
Kwahiyo kwingine ni matako ya nchi??Eti wanatuuza kwakusema ni USO wa nchi.
Kama ina mchango wa 70% ,jitoeni wenyewe mnabebeleza Mbeya Kwa nini nyie vilaza?Una bwabwaja sana kama mwimba taarabu, Maendeleo ya Tanzania unayoyaona leo kanda ya ziwa ina mchango wa asilimia 70%, kanda ya ziwa ndio sehemu ilijaliwa wasomi wengi na maprofesor wa mwanzo walitoka huko.
Hata na Kaskazini ijitenge na yenyewe, Pwani, Kati na Zanzibar waunganeNi muhimu sana kwani kila nikiangalia naona Mkoa wa Mbeya na wenyeji wa Mkoa huo pamoja na Kanda ya Ziwa wanapaswa kuwa kama Zanzibar ndani ya Tanzania, naamini kabisa Mbeya kama vile Kanda ya Ziwa watapata maendeleo makubwa sana kama wakiachwa wajitawale wenyewe kama vile Zanzibar.
Watu wa Mbeya na Kanda ya Ziwa wana potential kubwa sana ambayo haitumiki na Mikoa yao hasa Mbeya ni kama imesahaulika, ni lini Raisi wa Tanzania aliwahi kufika Mbeya mara ya mwisho ?
GoodKilimanjaro ilishawaonesha mfano jinsi ya kuendelea bila kutegemea Serikali lakini kikubwa lazima muwe na msingi ambao ni Elimu,Elimu,Elimu.
Kunapo kosa usawa wa kimaendeleo haya lazima yatokee..hii nchi rasilmali zote zinaenda kujenga dsm tu..inadhani hiyo ni sawa?Hii nchi ni moja, alituasa baba wa Taifa kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu. Wizara ya Elimu ni moja, wizara ya afya ni moja rasilimali zikibaki ilipo wizara itahudumiaje nchi nzima? Hayo mawazo yenu hayawezekani huo ni uhaini. Hakuna eneo ktk uso wa hii dunia haina rasilimali labda tu bado hatujaweza kuigundua au kuitumia. Tusimkosoe Mungu. Usije kuona penye dhahabu ndiyo pa maana ni kwa leo tu na hata hivyo itakuja kuisha. Dodoma watu wanaisema vibaya kumbe chini imejaa Uranium. Kule ziwa Eyasi Karatu mkoani Arusha kuna Nickel nyingi sana. Kila sehemu nchi hii ina utajiri wake siyo kusema sehemu fulani inanyonywa hakuna kitu km hicho. Tujivunie kuwa na nchi moja imara siyo kuzungumzia kuigawa sijui ktk nini.
Nyie si mmechagua kijani..endelee kuumia tu korosho zote mapato yanajenga dsm...nyie mje mjazane mbagala kufanya umachinga.Na sisi kanda ya kusini tuliosahaulika tangu uhuru tutapata nini?
Wote walewaleHao Pwani waache waungane isipokuwa Mtwara!
Ndiyo maana yake, kichwa lazima kiwe na matako, sijui na ya nyoka yapo wapi!Kwahiyo kwingine ni matako ya nchi??
Nchi yetu itakuwa sio Nyoka ndo maana ina matako na uso😂😂Ndiyo maana yake, kichwa lazima kiwe na matako, sijui na ya nyoka yapo wapi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni hatare na nusuNchi yetu itakuwa sio Nyoka ndo maana ina matako na uso[emoji23][emoji23]
Kwani mbeya na nyanda za juu kusini kwa ujumla nazo ziko Tanzania?! Hivi hata Rais Samia anafahamu Kuna mbeya kweli nchi hii?! Wakati Kanda ya ziwa na Zanzibar zimeshatoa Marais wawili wawili kuchangia uongozi wa nchi ajabu nyanda za juu kusini haijawahi kutoa hata waziri mkuu tu miaka 60 ya uhuru.Kama ina mchango wa 70% ,jitoeni wenyewe mnabebeleza Mbeya Kwa nini nyie vilaza?
Kumbe Dar sio pwani. Kazi kwelikweli.So mikoa mwingine wasemeje acheni kujifanya mnajua pelekeni mikoa y pwni iwe Zanzibar kwanza ndo muanze mengine maana ilitengwa na nyerere na wafuatiliaji wake
Uongo kimara allipobomoa JPM sasa ni pori tu je umepita ukaangalia? Barabara imrechukuwa sehemu ndogo sana! Ndo maana watu wanaona ni ukatili na ubabe acha Mungu ampumzisheFicha ujinga wako, ata mwanza wangebomolewa kama kungekuwa na mradi unapita, magorofa mangap na nyumba ngapi mwanza zilivunjwa kwenye upanuzi wa barabra ya njia nne ya makongoro, Kwahiyo mradi usifanyike kisa kukwepa nyumba za watu au ulitaka wakazi wa mwanza wabomolewe nyumba zao bila sababu? Chuki hazitakusaidia punguza upumbafu.