Mbeya na Kanda ya Ziwa ziwe semi-autonomous kama Zanzibar!

Mbeya na Kanda ya Ziwa ziwe semi-autonomous kama Zanzibar!

Yaani sikuamini TRA kwa mwaka Katavi wanakusanya bilioni 6 na Kilimanjaro bilioni 230 halafu unasema yote ni mikoa ta taifa hili!! Hapana
 
Huo umaskini wa watu wa kanda wa ziwa umeletwa na nan kama sio serikali yenu ya kijinga, watu wakanda ya ziwa wamekosa nini kila kitu wanacho rasilimali zao zinaenda kutengeneza sehemu nyingine, basi waachieni rasilimali zao tuone kama watakuwa masikini, chuki zako dhidi ya kanda ya ziwa zitaisha lini au ulishawahi kupigwa pumbu na ngosha akakuachia maumivu.
huyu jamaa huwa anashangazaga sana...!!

mwenye siri atueleze huyu jamaa kuna kitu gani kafanyiwa Mwanza, maana akiskia tu Mwanza roho huwa inampaa sana

naanza kumtilia shaka sasa juu ya the rock city maana sio bule
 
Yani mtu yuko katavi au kagera huko..eti aje hospital ya taifa muhimbili..kwanini kusiwepo hospitali ya taifa mikoa kama mwanza..mbeya arusha.

Y dsm only...hii sio sawa.

Vyuo vikuu vimejaa dsm tu...hii sio sawa.

Miundombinu mizuri ni dsm tu..hii sio sawa kabisa.

Kwengine hakuna watu ama..better kujitafutia serikali za majimbo..kila ukanda ufaidike na rasilmali zake.

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama
Hili nalo neno.
 
huyu jamaa huwa anashangazaga sana...!!

mwenye siri atueleze huyu jamaa kuna kitu gani kafanyiwa Mwanza, maana akiskia tu Mwanza roho huwa inampaa sana

naanza kumtilia shaka sasa juu ya the rock city maana sio bule
Alibonyezwa kizenji.
 
Kuna chama kilisemaga mambo ya county.
Mtu binafsi kabla ya kusema hadharani, hakikisha HAUSISIKIKI na mamlaka
 
Kwa nini usiwepo utawala wa majimbo (states) kama USA? Kila kanda itumie rasilimali zake, iwe na utawala wake na sheria zake alafu ndo kuwe na serikali ya shirikisho? Haya mambo ya mikoa naona kuna kanda zinanyonywa especially kanda ya ziwa[emoji35]
Tanzania ingepiga hatua sana.
 
Kanda ya ziwa nadhani ilipawa kujitenga kabisa..mji mkuu iwe mwanza pale.

Kanda ya ziwa inaipa utajiri mkubwa serikali ya ccm ila maendeleo yote wanajaza mifukoni mwao na dsm tu...hii sio sawa kabisa.

Chamsingi hapa ni kupambana nia kanda zetu tu..cvm imeshindwa jukumu lake at first.

Tuende na serikali ya majimbo la hizi kanda zione namna gani vipi.

Live long NyanzaNation.

#MaendeleoHayanaChama
Wasukuma mna vituko[emoji23][emoji23]
 
Inakoelekea bora kila kanda iwe Nchi huru.Haiwezekani kanda kama ya ziwa inachangia pato la taifa kubwa sana lakini kanda hiyo maendeleo yake ni kama enzi za ujima .Viongozi wanatapanya pesa wanavyojisikia.Migodi tu kama GGM,NorthMara.Buzwagi.Williamson diamond ingetosha kuibadilisha kimaendeleo hiyo kanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunzeni kujiletea maendeleo bila kuitegemea serikali kama watu wa Kilimanjaro ila sasa someni haswa acheni biashara za kuswagana na ng'ombe kutwa kucha
 
Yaani sikuamini TRA kwa mwaka Katavi wanakusanya bilioni 6 na Kilimanjaro bilioni 230 halafu unasema yote ni mikoa ta taifa hili!! Hapana
Kwenu huko kumejengwa kwa kutumia fursa za Mikoa mingine hivyo kuwa na base..

Wakati hayo yakifanyika ,Katavi and the likes kulikuwa ni mapori Serikali imetelekeza ndio maana kukawa na Gap..
 
The great lake zone, nchi hii kuna siku tutaidai nchi yetu ya asili
 
The great lake zone, nchi hii kuna siku tutaidai nchi yetu ya asili
Kwanza mnachelewa kutoka..

Huko Kwa wagonjwa wa kansa nani anashida Nako?

Hamna ardhi ya kutosha wala rasilimali za maana zaidi ya dhahabu na dagaa..

Utalinganisha labda na Kanda ya Kati kwingine hakuna cha kuwazidi.
 
Mmoja anipe link za hotuba ya baba wa taifa
Nchi ishakuwa na matabaka hii
 
Kwanza mnachelewa kutoka..

Huko Kwa wagonjwa wa kansa nani anashida Nako?

Hamna ardhi ya kutosha wala rasilimali za maana zaidi ya dhahabu na dagaa..

Utalinganisha labda na Kanda ya Kati kwingine hakuna cha kuwazidi.
Ngoja kwanza kuna
Dhahabu
Ng'ombe
Almasi
Ziwa Victoria
Vilimo mbali mbali

Tatizo kule ni uchawi tu
 
Kwanza mnachelewa kutoka..

Huko Kwa wagonjwa wa kansa nani anashida Nako?

Hamna ardhi ya kutosha wala rasilimali za maana zaidi ya dhahabu na dagaa..

Utalinganisha labda na Kanda ya Kati kwingine hakuna cha kuwazidi.
Ukiongelea madini na migodi mikubwa yote ipo kwetu, tuna ziwa letu linatosha kabisa kutusambazia mikoa yetu yote maji ya uhakika . Kupitia ziwa tungekuja na mapinduzi makubwa ya kilimo kikubwa cha umwagiliaji kupitia ziwa letu. Tuna maeneo makubwa, tuna watu wengi wenye asili moja hivyo mambo yetu tungepanga kwa kuelewana Zaidi. Migodi tu kwanza inatosha kuendesha our great lake zone
 
Back
Top Bottom