Mbeya na Kanda ya Ziwa ziwe semi-autonomous kama Zanzibar!

Mbeya na Kanda ya Ziwa ziwe semi-autonomous kama Zanzibar!

Ukutaka kujua wilaya yenye mapato makubwa ushahidi wa kwanza itakuwa na halmashauri zaidi ya moja. kwa hyo kanda yenu nu Kahama, Tarime na Bunda tu. Tena 2 ziko Mara ambao hawana sifa za kishamba km wasukuma. Hata wilaya za mkoa Kilimanjaro bado zina mapato madogo hakuna hata wilaya moja ina halamashauri 2 lakini ukija kwenye sifa za kijinga watakuambia Kilimanjaro tumeendelea sana. Nchi hii sasa hivi kuna makabila mawili kwenye mitandao sijui wamelogwa na nani. Ni sifa za uwongo na za kijinga.
Sasa Kilimanjaro utaifananisha na Wilaya ipi Mbeya?
 
Kwani wamejaa Huko tuu? Nachosema hakuna Sukuma gang atakuwa na maamuzi na Mbeya..

Nyie ishieni kuwa manamba tuu ndio kazi yenu ..

Mwisho,Ukome kuihusisha Mbeya na utopolo wa sukuma gang,jigaweni nyie na umaskini wenu Huko Usukumani..

Nyie ni wageni tuu mumekaribishwa Hata udiwani hamna.
Hivi wewe unajitambua kweli? Hata tajiri mkubwa wa Tunduma ni msukuma! Lodge kibao hapo border ni za wasukuma! Kwa ujumla Mbeya wasukuma wanakamata uchumi kwa sehemu
kubwa!
 
Kwani wamejaa Huko tuu? Nachosema hakuna Sukuma gang atakuwa na maamuzi na Mbeya..

Nyie ishieni kuwa manamba tuu ndio kazi yenu ..

Mwisho,Ukome kuihusisha Mbeya na utopolo wa sukuma gang,jigaweni nyie na umaskini wenu Huko Usukumani..

Nyie ni wageni tuu mumekaribishwa Hata udiwani hamna.
Huo umaskini wa watu wa kanda wa ziwa umeletwa na nan kama sio serikali yenu ya kijinga, watu wakanda ya ziwa wamekosa nini kila kitu wanacho rasilimali zao zinaenda kutengeneza sehemu nyingine, basi waachieni rasilimali zao tuone kama watakuwa masikini, chuki zako dhidi ya kanda ya ziwa zitaisha lini au ulishawahi kupigwa pumbu na ngosha akakuachia maumivu.
 
Achana na hilo shoga litakusumbua tu
Hivi nyinyi vichwa maji wa Mbeya tujr tuomne support yenu? Linganisha wasukuma wangapi wamewekeza Mbeya na chukua watu wa Mbeya wangapi wamewekeza Mwanza! Kwa taarifa yako unaposikia nyanda za juu kusini wanaongoza kwa kilimo wawekezaji wengi hapo ni wasukuma! Hata Morogoro yenyewe wasukuma wengi ndo matjiri! Endelea kuwaita washamba huku wanachukua fursa!
 
Ni muhimu sana kwani kila nikiangalia naona Mkoa wa Mbeya na wenyeji wa Mkoa huo pamoja na Kanda ya Ziwa wanapaswa kuwa kama Zanzibar ndani ya Tanzania, naamini kabisa Mbeya kama vile Kanda ya Ziwa watapata maendeleo makubwa sana kama wakiachwa wajitawale wenyewe kama vile Zanzibar.

Watu wa Mbeya na Kanda ya Ziwa wana potential kubwa sana ambayo haitumiki na Mikoa yao hasa Mbeya ni kama imesahaulika, ni lini Raisi wa Tanzania aliwahi kufika Mbeya mara ya mwisho ?
Toka enzi ya Mkapa, viongozi ngazi ya Urais hawatembelei sana Mbeya.
Hii inaleta simanzi kwa wananchi wa mkoa huu.
 
Wale ni mda sana ndo maana wamefika pale natamani sana mkoa wety ungekuwa sehemu ya Zanzibar
NA SISI ZANZIBAR KILA UCHAGUZI TUNAWEKEWA MAMLUKI AWE RAISI,

Amri zote zinatoka Dodoma.
Tumeshindwa kuchimba Mafuta yetu mika 30 sasa, Tumeshindwa kutanua Bandari yetu eti kisingizio tutaua Bandari ya Dar.
Haturuhusiwi Kukopa mpaka Tanganyika Itowe Kibali,.
Zanzibar tumechoka Zaidi kuliko Mbeya na Mwanza.
Muungano umekuwa Zigo kubwa kwetu,
Tunataka Muungano wa Shirikisho. wa Serikali Tatu lakini FSM hawataki.
Mahasidi hawa.
wanafisidi kila kona ya nchi, mwisho watasababisha vita vya kujitenga.
Mimi Nasubiri Mwanza wakianzishe, na Mbea ifuate , sisi Zenji tumepoza kidoogo tu kuangalia Upepo.
 
Hivi nyinyi vichwa maji wa Mbeya tuje tuombe support yenu? Linganisha wasukuma wangapi wamewekeza Mbeya na chukua watu wa Mbeya wangapi wamewekeza Mwanza! Kwa taarifa yako unaposikia nyanda za juu kusini wanaongoza kwa kilimo wawekezaji wengi hapo ni wasukuma! Hata Morogoro yenyewe wasukuma wengi ndo matjiri! Endelea kuwaita washamba huku wanachukua fursa!
Sasa nyie si mna njaa ndio maana mumekuja kwetu..

Sasa huko Mwanza kumejaa maskini tuje kufanya nini sasa?

Ndio mnaomba support ya wanaume sasa 😬😬
 
Huo umaskini wa watu wa kanda wa ziwa umeletwa na nan kama sio serikali yenu ya kijinga, watu wakanda ya ziwa wamekosa nini kila kitu wanacho rasilimali zao zinaenda kutengeneza sehemu nyingine, basi waachieni rasilimali zao tuone kama watakuwa masikini, chuki zako dhidi ya kanda ya ziwa zitaisha lini au ulishawahi kupigwa pumbu na ngosha akakuachia maumivu.
Nyie ni waskini,mnazaa hovyo,hamna akili hadi muwezeshwe kenge nyie.
 
Huo umaskini wa watu wa kanda wa ziwa umeletwa na nan kama sio serikali yenu ya kijinga, watu wakanda ya ziwa wamekosa nini kila kitu wanacho rasilimali zao zinaenda kutengeneza sehemu nyingine, basi waachieni rasilimali zao tuone kama watakuwa masikini, chuki zako dhidi ya kanda ya ziwa zitaisha lini au ulishawahi kupigwa pumbu na ngosha akakuachia maumivu.
Mimi mwenyewe na mtoto wa Ngosha hapa nitapigwaje mi dume, mtoto wa Lagangabilili
 
Hili wazo walikua nalo Chadema kama ingefanikwa kuingia madarakani 2020. Kungekua na utawala wa kizone. Ungesaidia sana kuinua mikoa iliyo nyuma kimaeendeleo na miji mikubwa ya sasa ingeendelezwa kisasa zaidi kuliko sasa hivi macho ya serikali yapo Dodoma na Dar.
Rais wetu bado haijulikani lini ataitembelea nyanda za juu kusini hususani Mbeya ambayo ndiyo inaibebe mikoa hii mingine.
 
Hili wazo walikua nalo Chadema kama ingefanikwa kuingia madarakani 2020. Kungekua na utawala wa kizone. Ungesaidia sana kuinua mikoa iliyo nyuma kimaeendeleo na miji mikubwa ya sasa ingeendelezwa kisasa zaidi kuliko sasa hivi macho ya serikali yapo Dodoma na Dar.
Rais wetu bado haijulikani lini ataitembelea nyanda za juu kusini hususani Mbeya ambayo ndiyo inaibebe mikoa hii mingine.
Kiaje?
 
-Katiba Mpya, na Ilani ya CHADEMA ya 2020, miongoni mwa vitu ilivyosema ni kuleta serikali za majimbo na hayo majimbo yatapewa Uhuru wa kujitawala Kwa kuhakikisha kila Kiongozi anapigiwa kura na wananchi.
  • Rasilimali zinazopatikana kwenye Jimbo Mapato yake yanabaki kidogo kwenye Jimbo mengine yanaenda serikali kuu ili kulipa mishahara ya Watumishi,majeshi nk i.e Kama kumepatikana Bilioni 100, bilioni 30 zinabaki kwenye Jimbo husika ili kutoa Huduma Kama Afya, Elimu,barabara.
  • Serikali ya majimbo itaharakishà maendeleo kwa sababu Jimbo litapewa Mamlaka ya kufanya miradi pasipo kuisubiri Ikulu iamue.
 
Ni muhimu sana kwani kila nikiangalia naona Mkoa wa Mbeya na wenyeji wa Mkoa huo pamoja na Kanda ya Ziwa wanapaswa kuwa kama Zanzibar ndani ya Tanzania, naamini kabisa Mbeya kama vile Kanda ya Ziwa watapata maendeleo makubwa sana kama wakiachwa wajitawale wenyewe kama vile Zanzibar.

Watu wa Mbeya na Kanda ya Ziwa wana potential kubwa sana ambayo haitumiki na Mikoa yao hasa Mbeya ni kama imesahaulika, ni lini Raisi wa Tanzania aliwahi kufika Mbeya mara ya mwisho ?
Mlipoambiwa kanda ya kaskazini ijitawale mlilia sana,sasa mmeona kaburi linaota nyasi na yumkini jamaa kabaki...
Mbona mnarudi tulikotoka?Kutesa kwa zamu,sisi huku Makunduchini mambo swaafi.Upo?
 
-Katiba Mpya, na Ilani ya CHADEMA ya 2020, miongoni mwa vitu ilivyosema ni kuleta serikali za majimbo na hayo majimbo yatapewa Uhuru wa kujitawala Kwa kuhakikisha kila Kiongozi anapigiwa kura na wananchi.
  • Rasilimali zinazopatikana kwenye Jimbo Mapato yake yanabaki kidogo kwenye Jimbo mengine yanaenda serikali kuu ili kulipa mishahara ya Watumishi,majeshi nk i.e Kama kumepatikana Bilioni 100, bilioni 30 zinabaki kwenye Jimbo husika ili kutoa Huduma Kama Afya, Elimu,barabara.
  • Serikali ya majimbo itaharakishà maendeleo kwa sababu Jimbo litapewa Mamlaka ya kufanya miradi pasipo kuisubiri Ikulu iamue.
Huwa wanaelewa taratibu mno(Slow learners,always).
Hivyo ndivyo walivyo Mkuu.Unakumbuka hoja ya Elimu,Elimu,Elimu bila malipo hadi University level 2015?
 
Kanda ya ziwa nadhani ilipawa kujitenga kabisa..mji mkuu iwe mwanza pale.

Kanda ya ziwa inaipa utajiri mkubwa serikali ya ccm ila maendeleo yote wanajaza mifukoni mwao na dsm tu...hii sio sawa kabisa.

Chamsingi hapa ni kupambana nia kanda zetu tu..cvm imeshindwa jukumu lake at first.

Tuende na serikali ya majimbo la hizi kanda zione namna gani vipi.

Live long NyanzaNation.

#MaendeleoHayanaChama
Alah,Alah mbona mawazo mabaya hivi,mmefikwa na Nini?
 
Ni muhimu sana kwani kila nikiangalia naona Mkoa wa Mbeya na wenyeji wa Mkoa huo pamoja na Kanda ya Ziwa wanapaswa kuwa kama Zanzibar ndani ya Tanzania, naamini kabisa Mbeya kama vile Kanda ya Ziwa watapata maendeleo makubwa sana kama wakiachwa wajitawale wenyewe kama vile Zanzibar.

Watu wa Mbeya na Kanda ya Ziwa wana potential kubwa sana ambayo haitumiki na Mikoa yao hasa Mbeya ni kama imesahaulika, ni lini Raisi wa Tanzania aliwahi kufika Mbeya mara ya mwisho ?
Unataka uivunje Tanzania?
 
Kwa nini usiwepo utawala wa majimbo (states) kama USA? Kila kanda itumie rasilimali zake, iwe na utawala wake na sheria zake alafu ndo kuwe na serikali ya shirikisho? Haya mambo ya mikoa naona kuna kanda zinanyonywa especially kanda ya ziwa[emoji35]
hii inch sio kubwa kiivyo.
 
Back
Top Bottom