Mbeya na Kanda ya Ziwa ziwe semi-autonomous kama Zanzibar!

Mbeya na Kanda ya Ziwa ziwe semi-autonomous kama Zanzibar!

Huku Mbeya nimeona kundi la Sukuma Gang wakichimba dhahabu bado hao ni masikini?!
Nasema hivi Mbeya isichanganywe na Sukuma gang ,hatutaki watu wajinga sisi..

Chimbeni the nyie si ni manamba wa miaka yote mbona..

Msitafute huruma yetu komaeni na umaskini wenu huko huko.
 
Nasema hivi Mbeya isichanganywe na Sukuma gang ,hatutaki watu wajinga sisi..

Chimbeni the nyie si ni manamba wa miaka yote mbona..

Msitafute huruma yetu komaeni na umaskini wenu huko huko.
hata kama hutaki ndio uhalisia nenda pale Chunya, Mbarali hata hapa Mbeya mjini Sukuma Gang wamejaa na huna cha kuwafanya wakati wewe unapiga kelele wenyewe ni vitendo tu
 
hata kama hutaki ndio uhalisia nenda pale Chunya, Mbarali hata hapa Mbeya mjini Sukuma Gang wamejaa na huna cha kuwafanya wakati wewe unapiga kelele wenyewe ni vitendo tu
Kwani wamejaa Huko tuu? Nachosema hakuna Sukuma gang atakuwa na maamuzi na Mbeya..

Nyie ishieni kuwa manamba tuu ndio kazi yenu ..

Mwisho,Ukome kuihusisha Mbeya na utopolo wa sukuma gang,jigaweni nyie na umaskini wenu Huko Usukumani..

Nyie ni wageni tuu mumekaribishwa Hata udiwani hamna.
 
Kwani wamejaa Huko tuu? Nachosema hakuna Sukuma gang atakuwa na maamuzi na Mbeya..

Nyie ishieni kuwa manamba tuu ndio kazi yenu ..

Mwisho,Ukome kuihusisha Mbeya na utopolo wa sukuma gang,jigaweni nyie na umaskini wenu Huko Usukumani..

Nyie ni wageni tuu mumekaribishwa Hata udiwani hamna.
Mbona Tulia aliletwa na Sukuma Gang na sasa ni Spika kwani nani alimleta kwenye siasa? endelea kupiga kelele tu ila Sukuma Gang hawaepukiki
 
Kanda ya ziwa nadhani ilipawa kujitenga kabisa..mji mkuu iwe mwanza pale.

Kanda ya ziwa inaipa utajiri mkubwa serikali ya ccm ila maendeleo yote wanajaza mifukoni mwao na dsm tu...hii sio sawa kabisa.

Chamsingi hapa ni kupambana nia kanda zetu tu..cvm imeshindwa jukumu lake at first.

Tuende na serikali ya majimbo la hizi kanda zione namna gani vipi.

Live long NyanzaNation.

#MaendeleoHayanaChama
Kwani wasukuma hamuwezi endelea na upumbavu wenu hadi muombe support Mbeya?
 
Sijaongelea kujitenga, mbona Zanzibar ni sehemu ya Tanzania na imewezekana tunaweza kufanya kwingine pia!
Zanzibar ni nchi kamili, uwepo wa Tanzania unategemea Zanzibar ,maana Zanzibar ni miongoni mwa nchi iliounda Tanzania, ila Mbeya ni kimkoa cha Tanganyika(ilio kufa)
 
Lakini inakuwaje hizi kauli hazikutolewa na kukemewa kipindi kile Kayafa Magufuli akifanya upendeleo wa wazi kabisa kwa Kanda ya Ziwa huku akizisahau Kanda nyingine mfano Kusini na Nyanda za Juu Kusini?
Utaambiwa wakati huo hakukuwa na upendeleo wowote kila kilichopelekwa huko ni haki yao.
Halafu utaulizwa, "Kwani Kanda ya Ziwa sio sehemu ya Tanzania?"
 
Kanda ya ziwa ina nini mpaka inyonywe. Acheni ushamba. Ukiacha jiji la Mwanza ni mkoa gani wa kanda ya ziwa ambao uko hata kumi bora kimapato. Mikoa ya kanda ya ziwa ni maskini zaidi kuliko mikoa mingine fuatilie data TRA. Kwasababu ya ushamba wa kisukuma ambao unawatesa ni kuwa wakisema kanda ya ziwa wanamaanisha jiji la Mwanza tena siyo mkoa wa Mwanza maana km ni Mkoa wilaya zake bado ni maskini zaidi. Wilaya za Mwanza nje ya eneo la jiji ni Bukwimba, Misungwi, Sengerema, Magu, Ukerewe niambie zina nini? Hakuna hata wilaya moja makao yake makuu yamefikia hata hadhi ya halamashauri ya mji. Kagera ndio imekuwa ya Mwisho, Mara, Simiyu, Shinyanga hata Geita Kimapato viko chini sana kuliko mikoa mingine. Mtanyonywa nini maskini nyie?
Wewe zuzu kweli..hiyo dhahabu unatolea wapi..hiyo almasi..hilo ziwa linatoa samaki na dagaa kiasi gani..mifugo..bado kahawa..pamba..mpunga.

Hujui ni pato kiasi gani linaiingiza hii nchi kutoka kanda ya ziwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni muhimu sana kwani kila nikiangalia naona Mkoa wa Mbeya na wenyeji wa Mkoa huo pamoja na Kanda ya Ziwa wanapaswa kuwa kama Zanzibar ndani ya Tanzania, naamini kabisa Mbeya kama vile Kanda ya Ziwa watapata maendeleo makubwa sana kama wakiachwa wajitawale wenyewe kama vile Zanzibar.

Watu wa Mbeya na Kanda ya Ziwa wana potential kubwa sana ambayo haitumiki na Mikoa yao hasa Mbeya ni kama imesahaulika, ni lini Raisi wa Tanzania aliwahi kufika Mbeya mara ya mwisho ?
Hakuna mpumbavu na mjinga aliyewahi kukuzidi hapa duniani.
 
Kwani nani alishafanya cha maana Mbeya?! Mwandosya amekuwa uchukuzi amefanya nini? Mwakyembe amekuwa usafirishaji amefanya nini? Barabara za Ajabu mbovu mbovu, Mbeya pamoja na kuwa na watu wengi inazidiwa mbali sana na Arusha
Ameleta uwanja,vyuo lukuki ..

Kwani nyie ni wanawake hadi muombe support ya wanaume wa Mbeya?

Mnamuogopa Mwanamke? 😬😬😬😬😬
 
Inakoelekea bora kila kanda iwe Nchi huru.Haiwezekani kanda kama ya ziwa inachangia pato la taifa kubwa sana lakini kanda hiyo maendeleo yake ni kama enzi za ujima .Viongozi wanatapanya pesa wanavyojisikia.Migodi tu kama GGM,NorthMara.Buzwagi.Williamson diamond ingetosha kuibadilisha kimaendeleo hiyo kanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri Tuzungumze KWA umoja zaidi na KWA Upendo na nia yenye kujenga na siyo kubomoa, Tayari tunao mwingiliano wa makabila Kutoka Kanda zote hizi , Pendekezo ni kuwa tuwe na federal govts
 
Kanda ya ziwa nadhani ilipawa kujitenga kabisa..mji mkuu iwe mwanza pale.

Kanda ya ziwa inaipa utajiri mkubwa serikali ya ccm ila maendeleo yote wanajaza mifukoni mwao na dsm tu...hii sio sawa kabisa.

Chamsingi hapa ni kupambana nia kanda zetu tu..cvm imeshindwa jukumu lake at first.

Tuende na serikali ya majimbo la hizi kanda zione namna gani vipi.

Live long NyanzaNation.

#MaendeleoHayanaChama
Mnajua lkn mnachoongea? Mikoa ambayo haofikishi hata 2% ya mchango wa kodi katika Taifa ndjo ijitenge? Kwani wafanyakazi wanaotoa huduma katika hiyo mikoa mnalipa ninyi?
 
Utengano ni udhaifu. Hiyo kanda ziwa ina nini? Una nchi yenye ukanda wa bahari halafu unaitamani nchi ambayo itakuwa landlocked!
 
Ameleta uwanja,vyuo lukuki ..

Kwani nyie ni wanawake hadi muombe support ya wanaume wa Mbeya?

Mnamuogopa Mwanamke? 😬😬😬😬😬
Sasa ule uwanja wa Songwe ndio uwanja gani? Labda Tulia auweke fresh atleast uwe kama KIA Chuo gani kaleta? Sukuma Gang wapo Mbeya haina haja ya kuomba support wao wanapiga kazi tu
 
Inakoelekea bora kila kanda iwe Nchi huru.Haiwezekani kanda kama ya ziwa inachangia pato la taifa kubwa sana lakini kanda hiyo maendeleo yake ni kama enzi za ujima .Viongozi wanatapanya pesa wanavyojisikia.Migodi tu kama GGM,NorthMara.Buzwagi.Williamson diamond ingetosha kuibadilisha kimaendeleo hiyo kanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri Tuzungumze KWA umoja zaidi na KWA Upendo na nia yenye kujenga na siyo kubomoa, Tayari tunao mwingiliano wa makabila Kutoka Kanda zote hizi , Pendekezo ni kuwa tuwe na federal govt
 
Back
Top Bottom