Mbeya: Polisi wanamshikilia Suzy Keneth(19) kwa mauaji ya Mwanafunzi James Magesa (21)

Mjue mwanamke wako. Mimi nikiona nimeharibu hua nauliza "Nirudi au nisirudi?" Utasikia "Rudi kesho"

Huyu bi dada anaruka mateke sijapata kujua ana flexibility ya hatari miguuni now itakua aibu kufa kwa kupigwa mateke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Why 2030??
 
U
Huyo demu hatofungwa na ataachiwa kwa dhamana sheria zinawabeba wanawake si mnaona kwa lulu kanumba atanae tena kinachofuata apo ni kuanza kumkremisha uyo binti nn aseme ili awe huru maana marehemu hawez jitetea ndio utasikia alitaka kuingilia nyuma kesi OVA
 
Akomeeee aliendaaa kusomaaaa ama kugaaawa dudee

WAZAZI WANAUZA na mashamba msome mnaensa kutembezaa shemdudeeee mtazikana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…