Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Huyu binti sio Mhaya kweli??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afate nn sasaHapa hutamuona Joyce Kiria na the like....
Wanajiita ma - feministAngefanya mwanaume humu kungelipuka
Ova
Hahahahaaaaaa sio kweli, mkuu. Huyo ni single mum lazima.Kuandika kwenyewe hujui!!
Ukikua utaelewa kuwa anayekuringia hakupendi. Huo umri ndio binti akipenda anapenda kweli kweli maana mnakuwa bado hamjamvuruga akili.
Sina neno zaidi ya kumtakia mrembo kifungo chema chenye baraka tele...na jamaa alale salama mahali pema peponi maana mzigo wa dhambi umebakia kwa demu.Eti "hisia za mapenzi" mtoa habari hayuko serious.
Kibao kimegeuka sasa, hebu toa neno kidogo.
hako hapo, kabichi kabisa, kateketeke, soft soft, eegh kanafaa kwa matumizi mengine pia huko. LockupMsimamo wangu ni kwamba mpk niione picha ya mdada ndo ntakoment
Kwa hiyo kaburi ni jengo la serikali?Wamegawana majengo ya serikali
Kijana mtanashati kabisaa..
Nimecheka saaana, mkuu umeongea kwa hisia sanaKuiga uzungu na kuiga maisha ya kitamthilia....
Upumbavu. Huyo binti ni muhanga matamthilia. Hasira za kipumbavu alizoziokota humo amezileta in real life. Tizama sasa kaua.
Unaelewa nini kuhusu jengo la serikali?Kwa hiyo kaburi ni jengo la serikali?
Nisiseme uongo, sielewi.Unaelewa nini kuhusu jengo?
Sure....kinachotokea ni kua zile experience na scene alizoziona zinakaaa kwenye subconscious mind...kwahiyo the same scene ilitokea in real life ata tenda Kama ilivotokea kwenye movie..akijua ni mawazo yake yamemtuma Ivo.....ndio maana tunasema movie nyingi sio nzuri kwa watu..hasa watoto ambao ubongo wao Haina kitu inakua ni rahisi kumeza effects za movie Kama zilivoKuiga uzungu na kuiga maisha ya kitamthilia....
Upumbavu. Huyo binti ni muhanga matamthilia. Hasira za kipumbavu alizoziokota humo amezileta in real life. Tizama sasa kaua.
Huyo marehemu pia nae ni walewale..alidhania yupo kwenye love scene. Kafa.
Tuwatahadharishe vijana jamani. Kuiga kila upuuzi kwenye ma tv ni ujinga.
dogo alitaka kuwala wenzie kimasihala ha ha ha ha haTatizo linaanzia mbali mkuu