Mbeya: Polisi wanamshikilia Suzy Keneth(19) kwa mauaji ya Mwanafunzi James Magesa (21)

Mbeya: Polisi wanamshikilia Suzy Keneth(19) kwa mauaji ya Mwanafunzi James Magesa (21)

You wish!
Niliwaeleza kuwa huyu binti atakua single mother. Single mothers huwa wanahasira sana kwenye mahusiano.

Mimi hayo yamenikuta ndio sababu naongea kwa ujasiri mkuu.

Ukimtizama huyo binti ni mrembo sana, mabinti wa hivyo sio rahisi kuyumbishwa kwenye mahusiano kiasi cha kutoa uhai. Na usisahau umri wake ni 19 yrs.

Mimi nilitegemea labda huyo kijana ndio aue kwasababu ya wivu wa mapenzi.

Kesi za wanawake kuua wenza wao maranyingi tunazisikia kwenye ndoa tu. Hivyo hili limekua ni jambo la kushangaza sana kwa huyu mrembo.

Inaonekana labda anaona thamani yake ilishashuka. Kama angelikuwa nayo nadhani angeswitch kwa mwanamme mwingine haraka sana
 
Mwanafunzi wa mwaka wa Kwanza chuo kikuu Cha sayansi na technologia Mbeya (MUST) ndg Linus Magesa (21) ameuwa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha Kali kifuani na mtu anayesadikika kua ni mpenzi wake anayetambulika kwa jina la Suzy (19). Chanzo kikisadika kua Ni wivu wa mapenzi, Mtuhumiwa anaendelea kushikiliwa na Jeshi la polisi.

MAPENZI !MAPENZI TENA!!

======

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia SUZY KENNETH KASITEJETA [19] Mkazi wa Dar es Salaam kwa tuhuma za mauaji ya LINUS JAMES MAGESA [21] Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya [MUST] Kitengo cha Biomedical mwaka wa kwanza na Mkazi wa Ikuti kwa kumchoma kitu chenye ncha kali kifuani.

Ni kwamba mnamo tarehe 17.07.2020 majira ya saa 22:00 Usiku huko eneo la Ikuti lililopo Kata na Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya SUZY KENNETH KASITEJETA [19] na LINUS JAMES MAGESA [21] ambao walikuwa na uhusiano wa kimapenzi waligombana na kupelekea LINUS JAMES MAGESA kujeruhiwa sehemu za kifuani kwa kuchomwa kitu chenye ncha kali na SUZY KENNETH KASITEJETA hali iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya kwa matibabu.

Leo tarehe 18.07.2020 majira ya saa 00:05 Usiku LINUS JAMES MAGESA [21] alifariki dunia akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya. Chanzo cha tukio hili ni wivu wa kimapenzi. Hata hivyo taarifa zinadai kuwa wapenzi hao walikuwa wakigombana mara kwa mara. Upelelezi wa shauri hili unaendelea na mara baada ya kukamilika mtuhumiwa atafikishwa mahakamani.

WITO:

Ninatoa wito kwa jamii kutofumbia macho ugomvi unatokea mbele yao kwa kudhani ni kitu cha kawaida na kukaa kimya, ni wito wa Jeshi la Polisi kwa jamii kutoa taarifa mapema kwa Watendaji wa Kata au Wenyeviti wa Mitaa ambao ni walinzi wa amani katika maeneo yao ili waweze kuchukua hatua za awali kupitia baraza la usuluhishi la Kata au Mtaa.

KUPATIKANA NA MALI IDHANIWAYO KUWA NI YA WIZI.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia DICKSON KABUJE [32] Mkazi wa Ikumbi akiwa na mali mbalimbali za wizi.

Mtuhumiwa alikamatwa mnamo tarehe 17.07.2020 majira ya saa 14:00 Mchana huko Kijiji cha Ikumbi, Kata ya Utengule – Usongwe, Tarafa ya Usongwe, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Mkoa wa Mbeya na katika upekuzi alikutwa akiwa na mali za wizi ambazo:-

Spika kubwa 02,

Redio Sub-Woofer 01 na Spika zake,

Stablizer 01, m

Mtungi mkubwa wa gesi Mihani 01,

Deki 02 za Singsung,

Godoro 01 Super Banco.

Upelelezi wa shauri hili unaendelea na mara baada ya kukamilika, mtuhumiwa atafikishwa mahakamani.
Vijana wadogo wanajiingiza kwenye mapenzi ili hali roho ya kuvumilia mikiki yake hawawezi nawapa pole
 
Naskiza Access FM asaiv hapa maana nipo Mbeya! Inavyosemekana ni kua dogo alikutana na huyo Demu FB wakaanza online dating, baadae dogo akamvuta binti from Dar to Mbeya ndo wakawa wanaishi kama mtu na mke, Demu alidaka sms za mchizi za mademu wengine ndio chanzo cha ugomvi wao...
 
Naskiza Access FM asaiv hapa maana nipo Mbeya! Inavyosemekana ni kua dogo alikutana na huyo Demu FB wakaanza online dating, baadae dogo akamvuta binti from Dar to Mbeya ndo wakawa wanaishi kama mtu na mke, Demu alidaka sms za mchizi za mademu wengine ndio chanzo cha ugomvi wao...
Huyo binti n kabila gani...?
 
Ndio huyu??
FB_IMG_1595235659740.jpg


Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Safari hii kibao kimegeuka. Binti ndiye muuaji...

Ndoto nyingi zimezimwa hapo - tena za wote wawili. Kisa? Mapenzi.

Vijana; yaendeeni mapenzi kwa tahadhari. Na kama mkiwa na mpenzi jaribuni kutulia. Na hizi simu hata uwe mjanja namna gani utakamatwa tu.

RIP Mr. Magesa but this is very sad [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Naskiza Access FM asaiv hapa maana nipo Mbeya! Inavyosemekana ni kua dogo alikutana na huyo Demu FB wakaanza online dating, baadae dogo akamvuta binti from Dar to Mbeya ndo wakawa wanaishi kama mtu na mke, Demu alidaka sms za mchizi za mademu wengine ndio chanzo cha ugomvi wao...
Daahhh online dating hiziii na hapo wazazi sijui wapo katika hali gani .

Jamaa alale mahali anapostahili
 
Hawa watoto laiti wangejua mzazi anashindwa hata kununua nguo ya ndani ili wao wasome halafu wanaenda kuleta shida nyingine kubwa hivi.

Mzazi anaanza kuhangaika na kesi sasa.

Nashangaa mnasema wasiende jkt,

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na JKT, kuna watu wameenda hadi JWTZ na bado kesi zao utazisikia.
Tatizo ni ujana tu na kutokukubali kuwa baadhi hawana maturity ya ku_handle mahusiano mfano huyo aliyeua
 
Mwanafunzi wa mwaka wa Kwanza chuo kikuu Cha sayansi na technologia Mbeya (MUST) ndg Linus Magesa (21) ameuwa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha Kali kifuani na mtu anayesadikika kua ni mpenzi wake anayetambulika kwa jina la Suzy (19). Chanzo kikisadika kua Ni wivu wa mapenzi, Mtuhumiwa anaendelea kushikiliwa na Jeshi la polisi.

MAPENZI !MAPENZI TENA!!

======

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia SUZY KENNETH KASITEJETA [19] Mkazi wa Dar es Salaam kwa tuhuma za mauaji ya LINUS JAMES MAGESA [21] Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya [MUST] Kitengo cha Biomedical mwaka wa kwanza na Mkazi wa Ikuti kwa kumchoma kitu chenye ncha kali kifuani.

Ni kwamba mnamo tarehe 17.07.2020 majira ya saa 22:00 Usiku huko eneo la Ikuti lililopo Kata na Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya SUZY KENNETH KASITEJETA [19] na LINUS JAMES MAGESA [21] ambao walikuwa na uhusiano wa kimapenzi waligombana na kupelekea LINUS JAMES MAGESA kujeruhiwa sehemu za kifuani kwa kuchomwa kitu chenye ncha kali na SUZY KENNETH KASITEJETA hali iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya kwa matibabu.

Leo tarehe 18.07.2020 majira ya saa 00:05 Usiku LINUS JAMES MAGESA [21] alifariki dunia akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya. Chanzo cha tukio hili ni wivu wa kimapenzi. Hata hivyo taarifa zinadai kuwa wapenzi hao walikuwa wakigombana mara kwa mara. Upelelezi wa shauri hili unaendelea na mara baada ya kukamilika mtuhumiwa atafikishwa mahakamani.

WITO:

Ninatoa wito kwa jamii kutofumbia macho ugomvi unatokea mbele yao kwa kudhani ni kitu cha kawaida na kukaa kimya, ni wito wa Jeshi la Polisi kwa jamii kutoa taarifa mapema kwa Watendaji wa Kata au Wenyeviti wa Mitaa ambao ni walinzi wa amani katika maeneo yao ili waweze kuchukua hatua za awali kupitia baraza la usuluhishi la Kata au Mtaa.

KUPATIKANA NA MALI IDHANIWAYO KUWA NI YA WIZI.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia DICKSON KABUJE [32] Mkazi wa Ikumbi akiwa na mali mbalimbali za wizi.

Mtuhumiwa alikamatwa mnamo tarehe 17.07.2020 majira ya saa 14:00 Mchana huko Kijiji cha Ikumbi, Kata ya Utengule – Usongwe, Tarafa ya Usongwe, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Mkoa wa Mbeya na katika upekuzi alikutwa akiwa na mali za wizi ambazo:-

Spika kubwa 02,

Redio Sub-Woofer 01 na Spika zake,

Stablizer 01, m

Mtungi mkubwa wa gesi Mihani 01,

Deki 02 za Singsung,

Godoro 01 Super Banco.

Upelelezi wa shauri hili unaendelea na mara baada ya kukamilika, mtuhumiwa atafikishwa mahakamani.
Utoto tu unawasumbua. Apate mwanasheria, Ataenda jela muda mfupi tu.
 
Back
Top Bottom