Mbeya raha sana wakuu

Mbeya raha sana wakuu

Niko uyole hapa napiga vyombo
Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=
Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=

Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=
Boda bei ni buku tu.
Kwa nini nisinenepe mwaka huu?
Kuna jamaa atauliza vipi watoto huko, kama ulaji wa mafuta kwa Subaru Forester
 
Niko uyole hapa napiga vyombo
Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=
Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=

Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=
Boda bei ni buku tu.
Kwa nini nisinenepe mwaka huu?
Bei ya konyagi ni ndogo mbeya kwa sababu eneo la isyesye kuna viwanda vya konyagi feki ambavyo huchukua packaging Zambia Lusaka na Nairobi, na kubandika Lebo za TRA , uwe uko universal, uyole au mbeya pazuri hapo konyagi unapigwa Tu uliza wenyeji
 
Bei ya konyagi ni ndogo mbeya kwa sababu eneo la isyesye kuna viwanda vya konyagi feki ambavyo huchukua packaging Zambia Lusaka na Nairobi, na kubandika Lebo za TRA , uwe uko universal, uyole au mbeya pazuri hapo konyagi unapigwa Tu uliza wenyeji
Acha uongo. Narudia tena acha uongo. Mbeya Pazuri na Universal hawanunui mzigo kama hizo bar za vichochoroni, we Michael na Tetile wangekuona kesho ungeshakuwa supu
 
Back
Top Bottom