fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Ukiwa hapo Makasini ingia mtaa wa nyuma yake kuna guest moja matata sana parking na vyumba vizuri kweli bei 10k tu unaburudika huku usalama mkubwa wa chombo chako.Asante lodge,Dormi lodge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa hapo Makasini ingia mtaa wa nyuma yake kuna guest moja matata sana parking na vyumba vizuri kweli bei 10k tu unaburudika huku usalama mkubwa wa chombo chako.Asante lodge,Dormi lodge
Na misambwanda yakutoshaaNiko uyole hapa napiga vyombo
Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=
Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=
Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=
Boda bei ni buku tu.
Kwa nini nisinenepe mwaka huu?
Kuna jamaa atauliza vipi watoto huko, kama ulaji wa mafuta kwa Subaru ForesterNiko uyole hapa napiga vyombo
Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=
Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=
Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=
Boda bei ni buku tu.
Kwa nini nisinenepe mwaka huu?
Hujatembea dar vizuri wewe😂😂Niko uyole hapa napiga vyombo
Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=
Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=
Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=
Boda bei ni buku tu.
Kwa nini nisinenepe mwaka huu?
Jina ndio nimesahau sasa, nikiingiaga hapo niko vyombo nakumbuka hata jina bhasi?🤣🤣Unamaanisha carnivor au seven seven?
Du kama mm tatizo nn jamaniSina hata nguvu za kucheka mpaka sasa watu wa freemason hatujalipwa mishahara yetu
Aisee nimetoka kidogo. Nikirudi Mbeya tutafutane tukae sehemu tumdondoshe kaka ake kasongo na Jagermaister kubwa pamoja mzee baba.Ha ha ha,sio poa asee
Bei ya konyagi ni ndogo mbeya kwa sababu eneo la isyesye kuna viwanda vya konyagi feki ambavyo huchukua packaging Zambia Lusaka na Nairobi, na kubandika Lebo za TRA , uwe uko universal, uyole au mbeya pazuri hapo konyagi unapigwa Tu uliza wenyejiNiko uyole hapa napiga vyombo
Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=
Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=
Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=
Boda bei ni buku tu.
Kwa nini nisinenepe mwaka huu?
Pombe Kali a.k.a whisky plus nyama , tango na tangawizi na maji ya kutosha ni vyema kikubwa usizidishe kiasi ,Pombe Kali ni kwa ajili ya hohehae na walevi sugu,wastaarabu wanakunywa bia 2 tuu
Maboresho ya poshoDu kama mm tatizo nn jamani
8500 tunduma bei ya jumla, mbeya bei ya jumla 10000tsh.Four cousin bei gani huko
Acha uongo. Narudia tena acha uongo. Mbeya Pazuri na Universal hawanunui mzigo kama hizo bar za vichochoroni, we Michael na Tetile wangekuona kesho ungeshakuwa supuBei ya konyagi ni ndogo mbeya kwa sababu eneo la isyesye kuna viwanda vya konyagi feki ambavyo huchukua packaging Zambia Lusaka na Nairobi, na kubandika Lebo za TRA , uwe uko universal, uyole au mbeya pazuri hapo konyagi unapigwa Tu uliza wenyeji