Mbeya raha sana wakuu

Mbeya raha sana wakuu

So unahisi mzigo unachukuliwa usungilo au kwa Obama, biashara ya vinywaji usiisemee kama unaijua vyema , nimeeleza kwa kifupi Sana.
We ni muongo na hizo stori za vijiweni, Yani Universal na Mbeya pazuri wachukue mzigo kwa wauzaji kama Obama! Umeona sasa kumbe hujui hata mzigo wanakochukua halafu unalisha watu matango pori hapa.
 
Nilikuwa Universal kuanzia saa 8 nimetoka kwenye saa 2 hivi. Hapo Makasini ni bar ya madereva wa malori.

Kitimoto nzuri kwa Uyole ipo white house inapatikana ng'ambo ya Universal. Kitimoto nzuri sanaaa nenda Ladii pork, Mbeya pazuri pale unapataka kitu choma roho inapenda
 
Mbeya gharama za maisha ziko chini sana so siyo jambo la ajabu kwa sisi tulio wahi kuishi huko.
Kunyoa 1000/=
Wali nyama 2000/=
Gesti 5000/=

Watoto wa kinyaki mitako kama yote halafu hata hela hawazijui wala nini, nimewabandua sana nilivyokuwa mbeya pitia nzovwe,mbebela,mabatini,forest,iyunga,ikuti,kalobe nimetembeza sana gobore.
 
Nilikuwa Universal kuanzia saa 8 nimetoka kwenye saa 2 hivi. Hapo Makasini ni bar ya madereva wa malori.

Kitimoto nzuri kwa Uyole ipo white house inapatikana ng'ambo ya Universal. Kitimoto nzuri sanaaa nenda Ladii pork, Mbeya pazuri pale unapataka kitu choma roho inapenda
Wewe sasa Ndio unaijua Mbeya,Yaan makasini pako hovyo kinoma

Bar inanukia oil ile sababu ya madereva wa maroli
 
Mbeya gharama za maisha ziko chini sana so siyo jambo la ajabu kwa sisi tulio wahi kuishi huko.
Kunyoa 1000/=
Wali nyama 2000/=
Gesti 5000/=

Watoto wa kinyaki mitako kama yote halafu hata hela hawazijui wala nini, nimewabandua sana nilivyokuwa mbeya pitia nzovwe,mbebela,mabatini,forest,iyunga,ikuti,kalobe nimetembeza sana gobore.
Hii forest kuzuli?
 
Apo uyole mbona kitimoto bei kubwa mno, sogea mafyati pale Bar ya Mwailubi kilo 8000 rost tena unafanyiwa delivery pale VIP au kama vipi sogea Iyunga London Bar pembeni pale kilo 7000

Nmepamiss sana Mbeya specifically Mbeya Pazuri, City Pub na Mwailubi. Kuna Pisi kali sio za nchi hii
Yaah jamaa ni mgeni, kitimoto sio bei kiasi hicho, hizo ni bei za Pwani.
 
Bei ya konyagi ni ndogo mbeya kwa sababu eneo la isyesye kuna viwanda vya konyagi feki ambavyo huchukua packaging Zambia Lusaka na Nairobi, na kubandika Lebo za TRA
kiongozi hii ina ukweli au ndo mwendo wa kuharibiana biashara?
 
Back
Top Bottom