Noah Scribe
JF-Expert Member
- Dec 29, 2024
- 578
- 1,436
Dah! Bora kubeba demu dar kumpelekea mbeyaKwa Wanyakyusa ila makabila mengine shepu mbovu ukutane na Mmamalila, Mnyiha,Msongwe, M'bungu ama Msafwa. hamna kitu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Bora kubeba demu dar kumpelekea mbeyaKwa Wanyakyusa ila makabila mengine shepu mbovu ukutane na Mmamalila, Mnyiha,Msongwe, M'bungu ama Msafwa. hamna kitu..
Hacheki na yeyote anaulinda wake moyoo🤣🤣🎶🎶🎶🎵Wivuuuu mama wivuuuuu 😹😹
Dah nilikuwa pale mwailubi jmosi iliyopitaApo uyole mbona kitimoto bei kubwa mno, sogea mafyati pale Bar ya Mwailubi kilo 8000 rost tena unafanyiwa delivery pale VIP au kama vipi sogea Iyunga London Bar pembeni pale kilo 7000
Nmepamiss sana Mbeya specifically Mbeya Pazuri, City Pub na Mwailubi. Kuna Pisi kali sio za nchi hii
Kwa Wanyakyusa ila makabila mengine shepu mbovu ukutane na Mmamalila, Mnyiha,Msongwe, M'bungu ama Msafwa. hamna kitu.
Ila pamoja na shepu zao ngumu mademu wa Mbeya ni wastaarabu sn hawana ile Nitomb× nikale kama mademu wa Mzizima.Dah! Bora kubeba demu dar kumpelekea mbeya
Uzuri wa Mbeya hata km una buku unakadiriwa finyango kwenye mabanda ya kitimoto..Apo uyole mbona kitimoto bei kubwa mno, sogea mafyati pale Bar ya Mwailubi kilo 8000 rost tena unafanyiwa delivery pale VIP au kama vipi sogea Iyunga London Bar pembeni pale kilo 7000
Nmepamiss sana Mbeya specifically Mbeya Pazuri, City Pub na Mwailubi. Kuna Pisi kali sio za nchi hii
Kitimoto hujambo? Nikuagizie ndizi mbili nikukule?Wewe angalia utapatwa na Kipindupindu!
Ungesema Wanyakyusa na Wasangu..Pisi za kinyiha na Kindali ni jema kuzidi wote mbeye
😅😅 Matured person hatuangalii mvuto uzuri.. tunataka mnatoka tuu.. Kila kitu ni kizuri inategemea position ya macho yakoIla pamoja na shepu zao ngumu mademu wa Mbeya ni wastaarabu sn hawana ile Nitomb× nikale kama mademu wa Mzizima.
Mwaka jana hapo Mbeya pazuri nilipata kitimoto roast 16,000Kitimoto 9000😂
Hapana kwakweli, huwa nakuja kunywaga soup maeneo ya 88 stand pale kuna mama anatengeneza soup nzuri sana. Sema juzi juzi nimepita nimeona wamevunja yale majengo sasa sijui kama bado atakuwepo ama vipi.Huwa unapiga ile supu ya kongoro ya wale wamaza hapo nje kila asubuhi?
Apo uyole mbona kitimoto bei kubwa mno, sogea mafyati pale Bar ya Mwailubi kilo 8000 rost tena unafanyiwa delivery pale VIP au kama vipi sogea Iyunga London Bar pembeni pale kilo 7000
Nmepamiss sana Mbeya specifically Mbeya Pazuri, City Pub na Mwailubi. Kuna Pisi kali sio za nchi hi
Click Point - NzovweCity pub konyagi 15k local beer 2500 nilihama kiwanja chap nikahamia kakiwanja fulani kanaitwa clickkapo near iyunga kule local beer 3 alf 5
hivi machimbo ya KALEMBO, 2000 na Mbeya PEAK bado yapo? nili enjoy kuzidi, 20 ydrs agoNiko uyole hapa napiga vyombo
Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=
Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=
Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=
Boda bei ni buku tu.
Kwa nini nisinenepe mwaka huu?