Mbeya raha sana wakuu

Mbeya raha sana wakuu

City pub konyagi 15k local beer 2500 nilihama kiwanja chap nikahamia kakiwanja fulani kanaitwa clickkapo near iyunga kule local beer 3 alf 5
Kule Iyunga shamba la Bibi, unaweza pata ata chips yai za Buku af fresh tu.

Pale City Pub wateja wengi ndio maana wana kiburi japo wengi wao ni wapita njia na matajiri wa Chunya wasipojiangalia watajifia kama wenzao Carnival.
Kuna Bar kama Mwamunyange, Nasoma, Mwailubi, Mbeya Pazuri, na Savoy pia inakuja kwa kasi zina misosi affordable sana af classic 🔥. Bar za iyunga na Nzovwe zipo Local sana angalau ata za Mbalizi na Uyole au next time jaribu hata hotelini bei zao za vyakula vya kawaida sana na vibe lipo maana ndo machimbo ya mapedeshee/ wana apolo kutoka chunya.
 
Niko uyole hapa napiga vyombo

Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=

Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=

Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=

Boda bei ni buku tu.

Kwa nini nisinenepe mwaka huu?
😀😀Lipia tangazo
 
We
Apo uyole mbona kitimoto bei kubwa mno, sogea mafyati pale Bar ya Mwailubi kilo 8000 rost tena unafanyiwa delivery pale VIP au kama vipi sogea Iyunga London Bar pembeni pale kilo 7000

Nmepamiss sana Mbeya specifically Mbeya Pazuri, City Pub na Mwailubi. Kuna Pisi kali sio za nchi hii
Wee jamaa muhuni sana,unapajua London Iyunga?
 
Hongera mkuu kwa kuja na pesa, Kuipata hiyo 9k kwa siku kwa mwanaharakati wa Mbeya sio poa.

Ungekuja Mbeya na *** tupu uone kama ungeweza ku-afford hizo kitimoto na ndizi unazozifurahia kwamba ni bei chee.
 
Kule Iyunga shamba la Bibi, unaweza pata ata chips yai za Buku af fresh tu.

Pale City Pub wateja wengi ndio maana wana kiburi japo wengi wao ni wapita njia na matajiri wa Chunya wasipojiangalia watajifia kama wenzao Carnival.
Kuna Bar kama Mwamunyange, Nasoma, Mwailubi, Mbeya Pazuri, na Savoy pia inakuja kwa kasi zina misosi affordable sana af classic 🔥. Bar za iyunga na Nzovwe zipo Local sana angalau ata za Mbalizi na Uyole au next time jaribu hata hotelini bei zao za vyakula vya kawaida sana na vibe lipo maana ndo machimbo ya mapedeshee/ wana apolo kutoka chunya.
Nakubaliana nawe mkuu. Tatizo watu wanaogopa hizi Hotels wakati bei za vinywaji na chakula ni very affordable. Wajaribu kuingia Mbeya Hotel, G Town Hotel, Mkulu Hotel 25k tu unakula na kusaza.
 
Unamaanisha carnivor au seven seven?
Atakuwa anasema G6 na jirani yake, pia kuna lodge nzuri inaitwa amizade Sy ipo stand ya usangu. Zina viwango vizuri au southern city pale ni 30,000 kwa 25,000k.
 
Niko uyole hapa napiga vyombo

Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=

Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=

Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=

Boda bei ni buku tu.

Kwa nini nisinenepe mwaka huu?
Sasa kwanini ujitese na ngumu kumeza!?
If you really want to enjoy...
 
Nimeenda sana apo kipind nipo dispensary ya mkekena
Mkekena aisee kwa kutoa mimba nilikua hamjambo...yule Dingi sijui ndio mkekena mwenyewe aisee katoa mimba yule.
Kama ulikua unakuja click basi unanifahamu.
Merina,Vummi, Love n.k si ndio mkuu
 
Back
Top Bottom