Pre GE2025 Mbeya: RC Homera aagiza kukamatwa kwa kijana aliyemkashifu Rais Samia na kuichoma picha yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
hivi wanataka tuwapende hawa viongozi kwa lazima? kwani ni ndugu zetu
hatutaki hizi heshima za lazima
dogo alindwe na wanasheria
 
sifa zingine za kijinga wacha akapate haki yake sero
 
Hongera sana kijana kwa kuonesha hisia zako waziwazi. Ni vile tu umezaliwa kwenye nchi ya ulimwengu wa tatu, na ambayo mpaka leo bado inavikumbatia vyeo vya kikoloni; ndiyo maana unatafutiwa zengwe.
 
Hiyo picha mnajua ameipataje?
Je mnaweza kuthibitisha kuwa kilichoungua pale ni picja?
 
Safi sana watanganyika hawamtaki kwa upumbavu wa kuuza rasilimali za tanganyika kwa wajomba wa oman

Ukiombwa ushahidi wa hilo utatoa? Kila siku kuwasema waarabu tu, hamuna kazi za kufanya! Mbona wazungu na wachina hamsemi kitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…