Pre GE2025 Mbeya: RC Homera aagiza kukamatwa kwa kijana aliyemkashifu Rais Samia na kuichoma picha yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwamba katika changamoto zoooote zilizopo mkoani mbeya ameona hii ndio ya kuipa uzito kiasi cha kuita mpaka chombo cha habari??

Vipi kuhusu biashara ya mazao ya chakula inayonyika kinyemela baina ya Tanzania na Zambia kupitia Mkoani Mbeya bila utaratibu maalumu na hatimae serikali kukosa kodi, hilo hajaliona???
 
Chura hawezi kukubalika hata kdg atafute pa kwenda tu. 2025 tunapiga teke chura
 
Hiyo picha ni mali yake ana haki ya kuifanya atakavyo

Bendera za Israel na Marekani kila mara zinachomwa moto ndio sembuse chura kiziwi.

Yupo mwamba mpaka nakala za Qurani kapiga moto ni mali yake huwezi kumpangia.
Utafikiwa Mkuu .
 
Vitu vingine ni vya kukalia kimya. Huyu Mkuu wa mkoa hili tukio yeye ndo kalipublish sasa . Wala tulikua hatujui..
 
Ushahidi nnao, huku ni tanganyika binti sio zanzibar kwa hiyo kaa kwa kutulia huku hapakuhusu bibie

Uzuri huwa sina matusi, ongea vyote unavyojisikia, kwanza mimi sio mzanzibari kijana.

So, tunaomba huo ushahidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…