Pre GE2025 Mbeya: RC Homera aagiza kukamatwa kwa kijana aliyemkashifu Rais Samia na kuichoma picha yake

Pre GE2025 Mbeya: RC Homera aagiza kukamatwa kwa kijana aliyemkashifu Rais Samia na kuichoma picha yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Z. Homera ametoa Muda wa Saa 24 kwa Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya SACP Benjamini Kuzaga, kumsaka na kumkamata Kijana ambaye jina lake halijafahamika mkazi Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya Kwa Kosa la Kumkashifu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Maneno Makali na Kisha kuichoma moto Picha inayomuonyesha Rais Samia Suluhu Hassan.

Homera amesema Kitendo hicho kuwa si Cha kimaadili Wala Uungwana na Kiko tofauti na Utamaduni halisi wa Wananchi wa Mkoani Mbeya.Hata hivyo ametoa Masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga Kumkamata Kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na Mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza Moja kwa Moja kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Katika hatua nyingine Homera amewasihi Wananchi Mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye Vitendo viovu kwa Kukashifu Viongozi Makusudi badala yake wajikite katika Utafutaji na Uchapa Kazi kwa Manufaa ya Familia zao na Tanzania kwa Ujumla.
Maneno gani ya kashfa. Jamaa kasema tumepiga kelele kuhusu ushoga nchini na Rais hataki kuchukua hatua, ndio akaichoma hiyo bendera.
 
Huyo
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa masaa 24 kutiwa mbaroni Kwa Kijana mmja huko Wilayani Rungwe ambae inadaiwa amemkashifu Rais Samia na Kuichoma Picha yake.

My Take
Naunga mkono hoja, upumbavu wa tabia za kihuni za kuiga ukomeshwe na usiruhusiwe hapa Tanzania.

Mnaweza kupinga Kila kitu kadiri inavyowezekana lakini kwa namna ya kuwaheshimu hao msiokubaliana.

Tanzania haiwezimkiwa Taifa lawahuni.

====

Mkuu wa mkoa wa mbeya cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamini kuzaga kumsaka na kumkamata kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya kwa kosa la kumkashifu Rais Samia kwa maneno makali na kisha kuichoma moto picha inayomuonyesha Rais.

RC Homera amelaani vikali kitendo hicho kuwa si cha maadili wala uungwana na kiko tofauti na utamaduni halisi wa wananchi mkoani Mbeya.

Hata hivyo ametoa masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga kumkamata kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza moja kwa moja kwa Rais Samia.

Mwisho RC Homera amewasihi wananchi mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye vitendo viovu kwa kukashifu viongozi makusudi badala yake wajikite katika utafutaji na uchapa kazi kwa manufaa ya familia zao na Tanzania kwa ujumla.

View attachment 3031314
Video ya Kijana akichoma moto picha ya Rais Samia.
Kijana yupo wapi tumrushie pesa ya bia .....watanganyika wamekataa kuongozwa na chura mwenye laana
 
Yeah, tumpinge kwa hoja. Kuchoma picha ni vitendo vya kihuni, na ninaamini mkuu huwa hauungi mkono uhuni.
Unapochochea watu hasira tegemea watu kuishiwa uvumilivu.

Wanaochoma moto bendera za Marekani na Israel siyo vichaa, ndio njia yao ya mwisho kufikisha hisia zao au wavae mabomu kujiripuwa.

Wewe unapendekeza lipi hapo, suicide bombers au watu watowe hisia zao hadharani?

Mama ametusaliti kuungana na genge la majizi na matapeli yasiyokuwa na huruma na maisha ya Watanzania.

超级截屏_20240701_200405.png
 
akishaingia mikononi mwa vyombo vya dola hakuna ambaye atamsaidia kama baadhi yetu tunavyomsapoti kwa huu ujinga alioufanya.
Ujinga ni kwako mwabudu binadamu. Mtu kachoma picha yake watu mbio akamatwe. Akamatwe kwa kosa gani? Kavunja sheria ipi?. Mimi namuunga mkono huyo jamaa kaonesha hisia zake hadharani.
 
Huwezi choma hadharani,nenda kabandue kwenye minara ya taa harafun zichome tukuone.
Sasa hapo si nitakuwa nakosea sheria nyepesi tu ya uharibifu wa mali ya mtu. Mimi nabandua ambazo zimebandikwa kwenye nguzo zangu na ukuta wa maduka yangu. TAKATAKA HIZO NAZITIA MOTO.
 
Wakisimama watu laki moja wakaichoma picha ya rais mtawafanyaje?
Rais si kiumbe cha kuabudiwa
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa masaa 24 kutiwa mbaroni Kwa Kijana mmja huko Wilayani Rungwe ambae inadaiwa amemkashifu Rais Samia na Kuichoma Picha yake.

My Take
Naunga mkono hoja, upumbavu wa tabia za kihuni za kuiga ukomeshwe na usiruhusiwe hapa Tanzania.

Mnaweza kupinga Kila kitu kadiri inavyowezekana lakini kwa namna ya kuwaheshimu hao msiokubaliana.

Tanzania haiwezimkiwa Taifa lawahuni.

====

Mkuu wa mkoa wa mbeya cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamini kuzaga kumsaka na kumkamata kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya kwa kosa la kumkashifu Rais Samia kwa maneno makali na kisha kuichoma moto picha inayomuonyesha Rais.

RC Homera amelaani vikali kitendo hicho kuwa si cha maadili wala uungwana na kiko tofauti na utamaduni halisi wa wananchi mkoani Mbeya.

Hata hivyo ametoa masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga kumkamata kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza moja kwa moja kwa Rais Samia.

Mwisho RC Homera amewasihi wananchi mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye vitendo viovu kwa kukashifu viongozi makusudi badala yake wajikite katika utafutaji na uchapa kazi kwa manufaa ya familia zao na Tanzania kwa ujumla.

View attachment 3031314
Video ya Kijana akichoma moto picha ya Rais Samia.
Taifa kweli linazidi kuathirika na ushoga, we unaonaje?
 
Ujinga ni kwako mwabudu binadamu. Mtu kachoma picha yake watu mbio akamatwe. Akamatwe kwa kosa gani? Kavunja sheria ipi?. Mimi namuunga mkono huyo jamaa kaonesha hisia zake hadharani.
itakuwa vyema nawe jirekodi ukichoma picha ya rais kama alivyofanya huyo unayemuunga mkono nyuma ya 'keyboard'
 
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa masaa 24 kutiwa mbaroni Kwa Kijana mmja huko Wilayani Rungwe ambae inadaiwa amemkashifu Rais Samia na Kuichoma Picha yake.

My Take
Naunga mkono hoja, upumbavu wa tabia za kihuni za kuiga ukomeshwe na usiruhusiwe hapa Tanzania.

Mnaweza kupinga Kila kitu kadiri inavyowezekana lakini kwa namna ya kuwaheshimu hao msiokubaliana.

Tanzania haiwezimkiwa Taifa lawahuni.

====

Mkuu wa mkoa wa mbeya cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamini kuzaga kumsaka na kumkamata kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya kwa kosa la kumkashifu Rais Samia kwa maneno makali na kisha kuichoma moto picha inayomuonyesha Rais.

RC Homera amelaani vikali kitendo hicho kuwa si cha maadili wala uungwana na kiko tofauti na utamaduni halisi wa wananchi mkoani Mbeya.

Hata hivyo ametoa masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga kumkamata kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza moja kwa moja kwa Rais Samia.

Mwisho RC Homera amewasihi wananchi mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye vitendo viovu kwa kukashifu viongozi makusudi badala yake wajikite katika utafutaji na uchapa kazi kwa manufaa ya familia zao na Tanzania kwa ujumla.

View attachment 3031314
Video ya Kijana akichoma moto picha ya Rais Samia.
ndiyo akamatwe ,apimwe na akili labda ana ukichaaa
 
Wakisimama watu laki moja wakaichoma picha ya rais mtawafanyaje?
Rais si kiumbe cha kuabudiwa

Taifa kweli linazidi kuathirika na ushoga, we unaonaje?


kwa hiyo wewe unataka ma idiot yanayotukana wakubwa ndiyo yasikilizwe ?unaweza kuta huyo kijana hata kushika jembe akalime viazi ( maana ni dili sana kule MBEYA) HAJUI anabaki anamtukana mkuu wa nchi.


Franz Kafka > Quotes > Quotable Quote​



(?)
Franz Kafka

“One idiot is one idiot. Two idiots are two idiots. Ten thousand idiots are a political party.” they can even vote one idiot as president to represent them

― Franz Kafka
tags: idiot, political, political-party
 
RC kasema kosa ni kukiuka utamaduni wa wana Mbeya.

Na kosa la pili ni kumkosea heshima mtu ambae ni kama mama yako.

Criminal Code ya Tanzania haina vifungu vya utamaduni wa Mbeya. Wala haitaji heshima kwa mama wa makamo ya mama yako.

Mkuu wa Mkoa ameshindwa kutaja jinai, kilaza mkubwa. Angeongea kwanza na wanasheria, wamejaa kwenye Halmashauri zake.

Siku hizi anybody tunamchukua shambani, mtaani, gereji, tunampa cheo chochote kile.
 
Back
Top Bottom