Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

Atafungwa sero ya peke yake au atachanganywa na wengine?! Atapewa matibabu yoyote? Atapewa Nasaha ili aachane na vitendo vya kishoga?! Atapewa msaada wa kiroho hiyo roho ya ushoga aachane nayo kabisa arudi kwenye Uanaume wake?
Hahahahahaha
 
Kabisa
 
Kwann isichukuliwe hatua zaid juu ya hao wanaowakula nao wapgwe mvua ya miaka 60
 
Ndio.

Kwani mqundu si wa kwake? Badala wapambane na umasikini na rushwa wanawekeza nguvu kubwa kuingilia mambo ya faragha ya mtu mmoja mmoja kwanini? Mbona tunasikia watu wanaiba mabilioni na wanaachwa tu ila wanahangaika na mashoga
Hii ndio laana inayopelekea umasikini na majanga yote duniani. Tena serikali kama ingeweza iachane na harakati zote ipambane na hawa wajinga tu, tutaona mambo mengine ya baraka yatakavyofunguka.
 
🐕
 
Wamefanya vile ili iwe funzo kwa mabwabwa wengine.. ...wakiona yaliyomkuta mwenzao yatafanya kwa faragha au kuacha..hii italeta salama kwa watoto .... .. ! .. ..wanaushawishi kwa vijana wadogo Sana.. .. mawakala wazuri!
 
Wamefanya vile ili iwe funzo kwa mabwabwa wengine.. ...wakiona yaliyomkuta mwenzao yatafanya kwa faragha au kuacha..hii italeta salama kwa watoto .... .. ! .. ..wanaushawishi kwa vijana wadogo Sana.. .. mawakala wazuri!
Sawasawa kabisa.
We kama ni Shoga tafuta basha wako kwa siri na mfanye mambo yenu kwa siri hakuna atakaye wabughudhi wala kuwakamata.

Huyo mnyachusa alitoka nje na kutangaza Ushoga wake kwa jamii ambayo ina watu sensitive kama watoto wanaopenda kuiga kila tabia wanayo iona.

Ni halari yake kufungwa, alimvalia nani gauni hadharani?
Nia ni kuwafundisha watoto na huenda alitumwa na waeneza Ushoga.

Mashoga malizeni mambo yenu huko huko vyumbani.
Mkikamatwa mnajitangaza hadharani kifungo kinawahusu.
 
Sio yangu Ila hatutaki choko humu. Tutachunguza kama hii id ni ya cocastic, tukibaini basi jua kinachofata ni kukimbizwa humu
We naye umesoma UD ila unashindwa elewa vitu rahisi kama hivi
 
Hii habari lazima imfikie beberu na lazima atakunjua makucha na huenda akatolewa nje......
 

I don't condone ushoga ila muwe mnatoa hoja zenye mantiki mnapotetea/kupinga hoja.

Hakuna mnyama anavaa nguo kwanini binadamu anavaa?

Hakuna mnyama analima kwanini binadamu analima?

Kufananisha binadamu na wanyama is absurd.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…