Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

Atafungwa sero ya peke yake au atachanganywa na wengine?! Atapewa matibabu yoyote? Atapewa Nasaha ili aachane na vitendo vya kishoga?! Atapewa msaada wa kiroho hiyo roho ya ushoga aachane nayo kabisa arudi kwenye Uanaume wake?
Hahahahahaha
 
Issue sio ridhaa,shida ni hilo tendo lenyewe ndio limepigwa marufuku na kutungiwa sheria ,we are Africa na tuna tamaduni zetu na sheria zetu ,bill of human right hapo ndipo kuna kichaka cha kupitisha mila ngeni kwetu hiyo bill of human right tuliweka kwenye katiba yetu mwaka 1985 lkn haijatoa justification kuwa mashoga wapewe haki ingawa imesema haki ya faragha lazima iheshimiwe tuliacha hilo hatutakuwa na kizazi na ndio maana penal code inasema crime against nature
Kabisa
 
Kwann isichukuliwe hatua zaid juu ya hao wanaowakula nao wapgwe mvua ya miaka 60
 
Ndio.

Kwani mqundu si wa kwake? Badala wapambane na umasikini na rushwa wanawekeza nguvu kubwa kuingilia mambo ya faragha ya mtu mmoja mmoja kwanini? Mbona tunasikia watu wanaiba mabilioni na wanaachwa tu ila wanahangaika na mashoga
Hii ndio laana inayopelekea umasikini na majanga yote duniani. Tena serikali kama ingeweza iachane na harakati zote ipambane na hawa wajinga tu, tutaona mambo mengine ya baraka yatakavyofunguka.
 
Wanaume mna sehemu yenu maalumu huko juu. Uache mwanamke ukamchukue huyu na hapo alikuwa mawindoni na wateja anapata.

Kilio changu bado kiko palepale wanaowaingilia, nao wapewe 30 yao. Hivi vitendo havitakwisha, kama mabasha yanabaki uraiani. Kwanini msiwabane, wataje mabasha zao?
🐕
 
Mimi nimefuatilia tangu huyo dogo anadhalilishwa kwenye MAKAMERA. Ni uonevu mtupu.

Huwezi kummulika mtu na makamera unamuhoji huku unamrekodi mitandaoni na kumpiga na mawe. KWA HAKI IPI AMA UTAKATIFU UPI?

Nchi ya ajabu sana ambapo wahuni wanafanya tukio la kuumiza mtu na wanapongezwa kisha muhanga anafungwa jela.

Kwa saikolojia ya yule dogo, kwa kudhalilishwa na kuumizwa kihisia na kiakili tangu alipokamatwa, ni wazi alikiri kosa kwa sababu ya kutokuwa sawa. Alishachakazwa kiakili.

Ameonewa sana sana sana, na akimlilia mungu wake, mliohusika mtapata karmic pay back yenye maumivu makali sana.

Ni bora mtengue mlichokifanya.
Wamefanya vile ili iwe funzo kwa mabwabwa wengine.. ...wakiona yaliyomkuta mwenzao yatafanya kwa faragha au kuacha..hii italeta salama kwa watoto .... .. ! .. ..wanaushawishi kwa vijana wadogo Sana.. .. mawakala wazuri!
 
Wamefanya vile ili iwe funzo kwa mabwabwa wengine.. ...wakiona yaliyomkuta mwenzao yatafanya kwa faragha au kuacha..hii italeta salama kwa watoto .... .. ! .. ..wanaushawishi kwa vijana wadogo Sana.. .. mawakala wazuri!
Sawasawa kabisa.
We kama ni Shoga tafuta basha wako kwa siri na mfanye mambo yenu kwa siri hakuna atakaye wabughudhi wala kuwakamata.

Huyo mnyachusa alitoka nje na kutangaza Ushoga wake kwa jamii ambayo ina watu sensitive kama watoto wanaopenda kuiga kila tabia wanayo iona.

Ni halari yake kufungwa, alimvalia nani gauni hadharani?
Nia ni kuwafundisha watoto na huenda alitumwa na waeneza Ushoga.

Mashoga malizeni mambo yenu huko huko vyumbani.
Mkikamatwa mnajitangaza hadharani kifungo kinawahusu.
 
Sio yangu Ila hatutaki choko humu. Tutachunguza kama hii id ni ya cocastic, tukibaini basi jua kinachofata ni kukimbizwa humu
We naye umesoma UD ila unashindwa elewa vitu rahisi kama hivi
 
Hii habari lazima imfikie beberu na lazima atakunjua makucha na huenda akatolewa nje......
 
Pongezi kwa mahakama kwa kuifuata sheria

Ninyi wengine mnaodai mna hisia na wanaume wenzenu/wanawake wenzenu mjue ya kwamba hakuna Natural occurring creature anakuja na mambo hayo ya kuvutiwa na jinsia yake. "Mmetengenezwa"

Hakun beberu mwenye hisia na beberu mwenzie ama tetea kwa tetea mwenzie. Kwanini kwa binadamu itokee hivyo ??(Sisi Ni sehem ya wanyama )

jaribuni kufikiri

I don't condone ushoga ila muwe mnatoa hoja zenye mantiki mnapotetea/kupinga hoja.

Hakuna mnyama anavaa nguo kwanini binadamu anavaa?

Hakuna mnyama analima kwanini binadamu analima?

Kufananisha binadamu na wanyama is absurd.
 
Back
Top Bottom