Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

Pande la mtu halafu shoga 🀣🀣🀣🀣🀣na sura imemkomaa hivyo halafu eti ana miaka 22 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Ila kuna raia zina roho ngumu , mademu walivyo jaa tele unawaacha unaenda kumpelekea moto hili jibaba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚na alivyo kidali hivyo ukimpelekea moto vibaya utashangaa anakugeuza wewe
 
Bado jamii yetu ina uelewa mdogo sana juu ya nani ni shoga na nani sio shoga. Kuvaa nguo za kike hakumaanishi kuwa ni shoga moja kwa moja, huyu anaweza akawa ni Cross dresser

Na pengine amekiri hilo kosa kwa sababu ya hofu iliyomtawala.

Kwakweli tunapambana na tusichokifahamu, na hatutafanikiwa asilani.
 
Akikutaja wewe utajitetea vipi!?
 
Naunga mkono hoja, hao wanaoingiliwa kinyume na maumbile kuna washiriki wenza vidume uchwara wanaowaingilia wenzao nao wanastahili kupata hukumu kama hiyo (similar treatment).
 


angepelekwa kwa daktari wakati mwenyewe kishasema ni kweli kafanya ushoga mngelalamika ameingiziwa vidole viwili virefu vya daktari bila idhini yake

Keshakiri kosa , ushahidi wa nini tena ? Umesoma wapi sheria ?
 
Halafu Sabaya anaachiwa bila adhabu kali?!!!
 
Gereza atakalopelekwa wafungwa mabasha watafurahi sana. Watamchubua unyeo maana huko hawatumii vilainishi. Anapakwa mate tu, mshipa unaingia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ukiwa unafira mashoga kufirwa rais sana
 
Chaajabu nchi hii wanawake wanawapenda sana mashoga kuwa nao urafiki. Hii vita no ngumu.
 
Ila huyu aiseh
 
Vipi aliyemuingilia, yuko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…