Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

KUKIRI kuna utaratibu wake.

Hawa walimzonga zonga, na si ajabu hata mashtaka yaliandaliwa kihuni.

Ukiiona hati ya mashtaka lazima itakuwa na madosari kibao.
Kwa hiyo unapinga maamuzi ya mahakama.

Cha kumsaidia andaa wanasheria mkakate rufaa.

Ilianza Zanzibar, Mtwara, Mbeya Sasa uelekeo utakuwa Dar....
 
Sawa kakiri lakini kwanini kumuhukumu mtu kwa uhuru wa maamuzi yake?
Mwili wake,kuingiliwa kinyume kavunja sheria gani? Hizo sheria za kuhukumu mashoga zimetoka lini?
Na mbona kama zipo hawasimami hadharani kutangaza ishoga marufuku kama museven kama wanajiamini?
si afadhali angepigwa faini na adhabu kuliko kifungo,30 ni too much!
Kama ni hivo waje wakamate wakina aggrey,james delicious,lokole wanajinadi hadharani.


Cha zaidi muingiliwaji afungwe,muingiliaji aachwe huru..umemaliza tatizo hapo?
Kwanini wasikamatwe wote
Sheria ipo, sema upewe source?
Pili kavunja sheria ya maumbile
Tatu kavunja sheria ya asili
Ya nne kakili kwa kinywa chake
 
Hii ni sheria mbaya haifai. Kwanza ni ya kibaguzi kwa sababu kuu TATU:

1. Sheria hii haizungumzi kuhusu wasagaji, kitu ambacho kinaenda kinyume na madhumuni ya kuundwa kwake.

Ni mashoga pekee ndio wahanga wa sheria hii. Huu ni ubaguzi wa kionevu na ni kinyume na katiba.

Kama lengo ni kuzuia mapenzi ya jinsia moja, kwanini usagaji uwe halali halafu ushoga uwe haramu? HILI NALO MKALITIZAME.

2. Sheria hii haishughuliki na HETEROSEXUAL SODOMY. Wale wanaowafira wake zao wako salama na hakuna anayewagasi au kuwabughudhi.

Kama lengo kuu ni kuzuia MATENDO YA KINYUME NA ASILI, kwanini kumfira mwanamke ni halali, wakati kumfira mwanaume ni haramu?

JAPO SHERIA imesema vyote ni haramu lakini utekelezaji wa sheria unadhihirisha wazi kwamba hapa walengwa ni mashoga tu na sio mabasha au wanawake.

3. Sheria hii inatekelezwa kihuni kwa kumkamata kila mwenye mwonekano wa kike na kuanza kummulika na makamera. Na kwenye EXTREME CASES, hata kumpima kwa kumpiga vidole mkunduni. Huku ni KUTWEZA UTU.

Si kila shoga ana mwonekano wa kike. Kwahiyo kuwawinda na kuwa-target watu wenye mionekano ya kike si sawa. After all hakuna sheria inayozuia mtu mume kuwa na mwonekano wa kike kwa minajili ya bayolojia yake au mavazi yake. Huu ni UHUNI.
Yule mtu na weusi wake wa Kinyakyusa mwonekano wa kike umetoka wapi?
 
Ndio.

Kwani mqundu si wa kwake? Badala wapambane na umasikini na rushwa wanawekeza nguvu kubwa kuingilia mambo ya faragha ya mtu mmoja mmoja kwanini? Mbona tunasikia watu wanaiba mabilioni na wanaachwa tu ila wanahangaika na mashoga
Mzee Sheria ni Sheria.
Ndio mqundu ni wake ila asivunje Sheria.

Kapewa stahiki yake
Screenshot_20230324-183325.jpg
 
Sawa kakiri lakini kwanini kumuhukumu mtu kwa uhuru wa maamuzi yake?
Mwili wake,kuingiliwa kinyume kavunja sheria gani? Hizo sheria za kuhukumu mashoga zimetoka lini?
Na mbona kama zipo hawasimami hadharani kutangaza ishoga marufuku kama museven kama wanajiamini?
si afadhali angepigwa faini na adhabu kuliko kifungo,30 ni too much!
Kama ni hivo waje wakamate wakina aggrey,james delicious,lokole wanajinadi hadharani.


Cha zaidi muingiliwaji afungwe,muingiliaji aachwe huru..umemaliza tatizo hapo?
Kwanini wasikamatwe wote
Hii ni moja ya sheria ya kihuni sana ndio maana hawakuwahi kuitekeleza hapo kabla.

Sasa hivi wanaitekeleza ili kwenda na upepo wa ushoga.

Ni sheria ya msimu inayotumika kulingana na wakati husika.

Ndio maana kile kibabu kidikteta cha Uganda kila kikitaka KUJIZOLEA KIKI KWA PIKIPIKI kinavamia habari za ushoga. NA KWA KWELI ANAJIZOLEA MAKIKI DEBE NA NUSU.

THE FAKE WAR AGAINST HOMOSEXUALITY IS ONLY FOR A POLITICAL AGENDA. IT IS NOT A TRUE WAR.

Ndio maana kile kibabu cha uganda baada ya KUJIZOLEA MAKIKI kimeamua kutokomea shimoni bila kusaini sheria.
 
Tungejenga gereza lao maalumu na kifungo kati ya miaka 90 au 120 without a possibility of parole
 
Mzee Sheria ni Sheria.
Ndio mqundu ni wake ila asivunje Sheria.

Kapewa stahiki yakeView attachment 2578885
Hii ni sheria mbaya na haifai. Ilitungwa wakati wa mkoloni wa kiingereza.

Ni sheria iliyo kinyume na Katiba ya nchi, kinyume na utu wa mtu, kinyume na haki za watu, na kinyume na utashi-huru wa watu.

Huwezi kuwazuia watu wazima wawili waliokubaliana kufanya mapenzi kwa ridhaa yao wenyewe.

Wawe wanafirana, au wanalambana mboro zao, au wanalambana midomo, SIO KAZI YA SERIKALI KUJUA AU KUINGILIA AU KUPELEKA PUA YAKE KWENYE GETO LAO.
 
Aisee nina maswali ila ngoja niishie kujiuliza mwenyewe.

Ila hili moja walimkamata akibanjuliwa au walimkamata akiwa mawindoni? Nawaza ilikuwaje akashtakiwa kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa na mwanaume na je huyo aliyemuingilia yeye yupo wapi sababu lazima aliitajwa na kufahamika.
 
Aisee nina maswali ila ngoja niishie kujiuliza mwenyewe.

Ila hili moja walimkamata akibanjuliwa au walimkamata akiwa mawindoni? Nawaza ilikuwaje akashtakiwa kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa na mwanaume na je huyo aliyemuingilia yeye yupo wapi sababu lazima aliitajwa na kufahamika.
Walimkamata kwa sababu AMEVAA NGUO ZA KIKE wakahitimisha kwamba ni SHOGA.

Waliibuka tu watu wakaanza KUMBURUZA na KUMMULIKA NA MAKAMERA, mara ghafla baada ya nusu saa akafungwa jela MIAKA 30.

Hakuna ushahidi, hakuna utetezi wala hakuna DUE PROCESS OF THE LAW.

Now this is a true BARBARISM. Kama kweli wana akili timamu WATAMUACHIA HURU HUYO KIJANA.

WAACHE UMBAMBAMBA WA KUTAFUTA MAKIKI YA KIHOLELA KWA GHARAMA YA KUUMIZA WATU KWA KUWAONEA.

Kudhulumu nafsi ya mtu kwa miaka thelathini jela ni dhambi kubwa sana, na waliohusika watapata KARMIC PAY BACK endapo hawatatengua uamuzi wao wa kihuni.
 
Hii ni sheria mbaya na haifai. Ilitungwa wakati wa mkoloni wa kiingereza.

Ni sheria iliyo kinyume na Katiba ya nchi, kinyume na utu wa mtu, kinyume na haki za watu, na kinyume na utashi-huru wa watu.

Huwezi kuwazuia watu wazima wawili waliokubaliana kufanya mapenzi kwa ridhaa yao wenyewe.

Wawe wanafirana, au wanalambana mboro zao, au wanalambana midomo, SIO KAZI YA SERIKALI KUJUA AU KUINGILIA AU KUPELEKA PUA YAKE KWENYE GETO LAO.
Sawa.
No Comment[emoji120]
 
Walimkamata kwa sababu AMEVAA NGUO ZA KIKE wakahitimisha kwamba ni SHOGA.

Waliibuka tu watu wakaanza KUMBURUZA na KUMMULIKA NA MAKAMERA, mara ghafla baada ya nusu saa akafungwa jela MIAKA 30.

Hakuna ushahidi, hakuna utetezi wala hakuna DUE PROCESS OF THE LAW.

Now this is a true BARBARISM. Kama kweli wana akili timamu WATAMUACHIA HURU HUYO KIJANA.

WAACHE UMBAMBAMBA WA KUTAFUTA MAKIKI YA KIHOLELA KWA GHARAMA YA KUUMIZA WATU KWA KUWAONEA.

Kudhulumu nafsi ya mtu kwa miaka thelathini jela ni dhambi kubwa sana, na waliohusika watapata KARMIC PAY BACK endapo hawatatengua uamuzi wao wa kihuni.
Mkuu, hujasoma hapo amekiri kosa?
 
Nimeitafuta post inayosema mambo haya yapo zanzibar, tanga, Mombasa na dar tu mpaka sasa sijaiona.

Nimezitafuta posts zinazosema kuwa hili si janga la kitaifa bali ni la maeneo ya pwani na yale waliyopita waarabu tu basi kwani maeneo tofauti na hayo hakuna kabisa habari hizo, sijaziona mpaka sasa....nimechoka naenda kulala.

Nitajaribu tena kesho!!!
Ni kweli yalianzia huko Pwani kama ulivyokiri na hadi kuyataja hayo maeneo lakini kadri muda na miaka inavyokwenda ndivyo na mikoa mingine inazidi kusambaa hadi vijijini hata ukimwi ulianzia Kagera baadaye ukasambaa mikoa mingine.
 
Back
Top Bottom