Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Lile papai la zenji nalo litupwe jela bila upendeleo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa asante kwa darsa.Kawarahisishia kazi waendesha mashtaka. Hakimu hausiki...ye ni kutoa tu hukumu
Hapo kampa Hakimu unafuu wa kufanya kazi yakeKosa alilofanya ni kukiri kosa Badla ya kukataaa. Na Mara nyingi Hakimu huwa anaweza muuliza mshtakiwa hata Mara tatu akiona amekubali Mara Zote ni hukumu tu... We unaulizwa uliiba kuku Kwa juma..unasema ndio..haina haja ya kumuita juma kuthibitisha kwani tayari kosa umelikubali
Ni kweli, lakini pamoja na hayo bado AMEONEWA SANA na KUDHULUMIWA.Kosa alilofanya ni kukiri kosa Badla ya kukataaa. Na Mara nyingi Hakimu huwa anaweza muuliza mshtakiwa hata Mara tatu akiona amekubali Mara Zote ni hukumu tu... We unaulizwa uliiba kuku Kwa juma..unasema ndio..haina haja ya kumuita juma kuthibitisha kwani tayari kosa umelikubali
Aisee jamaa naona unatetea kusukumaa tope kwa nguvu zote.Ni kweli, lakini pamoja na hayo bado AMEONEWA SANA na KUDHULUMIWA.
Nchi timamu haiwezi kuwa na sheria ya kuwafunga watu jela kwa sababu tu eti wanatumia miili yao kufanya ngono kwa namna fulani.
Siamini katika serikali inayoamua nani amtombe nani au nani afirwe au nani asifirwe.
Ukiona serikali ya aina hiyo, ujue ni SERIKALI MUFILIS iliyoshindwa kuleta MAENDELEO YA KWELI na badala yake INAJIBANZA kwenye TUVITU TUDOGO TUDOGO ili KUJIZOLEA MAKIKI YA DEZO DEZO.
Hapana. KANUNI ZA JINAI lazima zifuatwe katika kutunga sheria ya kuharamisha jambo (Principles of criminalization of conducts).Kama mtu amefirwa basi amevunja SHERIA
Labda wakikamatwa kwenye tendoSheria ya Tanzania pia inasema ni kifungo cha maisha au miaka 30 kwa wote wawili (Mliwa na Mliwaji)
Shida ni kuwa bado kuna loophole ya WALAJI kuchomoka. Ilitakiwa Hawa wakipanda kizimbani wapandishe wote wawili. Ni mwendo wa nyundo 30 na adhabu kaliiii
Hivi Jay we huwa ni top au bottom?Hapana. KANUNI ZA JINAI lazima zifuatwe katika kutunga sheria ya kuharamisha jambo (Principles of criminalization of conducts).
Na mojawapo ya KANUNI ni kutizama MADHARA, RIDHAA na UHANGA (EFFECT, CONSENT AND VICTIMHOOD).
You can not criminalize a CONSENSUAL VICTIMLESS ACT.
INAKUHUSU NINI pale watu wawili wazima wanapokubaliana kufirana kwa ridhaa yao wenyewe? WHAT INTEREST DO YOU DERIVE FROM THEIR SEXUAL CONDUCT?
NI UKICHAA TU, kwa sababu vinginevyo sioni LENGO LA SHERIA katika kuzuia mtu asitoe kundu lake! ILI IWEJE SASA?
NOTHING BUT MADNESS.
Hiyo ni sheria mbaya, kwa sababu imetungwa kwa msingi wa kikoloni ambapo serikali ya uingereza iliona ina mamlaka ya KUDHIBITI VINYEO VYA WATANGANYIKA kwa wakati ule.Hatuwezi kuishi kwenye jamii ambayo inaona mwanaume kufirwa ni jambo kawaida. Hii ni primitive way of thinking.
Hatuwezi kutolerate huu upuuzi. Suala la mtu kwenda jela kwakua amefira/amefirwa sio maoni yangu. Hii ni SHERIA kama ilivyo SHERIA nyingine za nchi hii.
Hatuwezi kujenga kiazi cha mashoga . Imagine mwanao wa kiiume aje home akutambulishe jamaa ake kuwa ndio anamsukuma tope. ..
Nadhani pia ni muda muafaka hii SHERIA kutiliwa mkazo
Issue sio ridhaa,shida ni hilo tendo lenyewe ndio limepigwa marufuku na kutungiwa sheria ,we are Africa na tuna tamaduni zetu na sheria zetu ,bill of human right hapo ndipo kuna kichaka cha kupitisha mila ngeni kwetu hiyo bill of human right tuliweka kwenye katiba yetu mwaka 1985 lkn haijatoa justification kuwa mashoga wapewe haki ingawa imesema haki ya faragha lazima iheshimiwe tuliacha hilo hatutakuwa na kizazi na ndio maana penal code inasema crime against natureHapana. KANUNI ZA JINAI lazima zifuatwe katika kutunga sheria ya kuharamisha jambo (Principles of criminalization of conducts).
Na mojawapo ya KANUNI ni kutizama MADHARA, RIDHAA na UHANGA (EFFECT, CONSENT AND VICTIMHOOD).
You can not criminalize a CONSENSUAL VICTIMLESS ACT.
INAKUHUSU NINI pale watu wawili wazima wanapokubaliana kufirana kwa ridhaa yao wenyewe? WHAT INTEREST DO YOU DERIVE FROM THEIR SEXUAL CONDUCT?
NI UKICHAA TU, kwa sababu vinginevyo sioni LENGO LA SHERIA katika kuzuia mtu asitoe kundu lake! ILI IWEJE SASA?
NOTHING BUT MADNESS.
Huyo shoga ukimwangalia anavyoongea utajua ni chenga tuu (mental issues), kumfunga ni kumuonea tuu maana hata hakuwa na lawyer wa kumtetea, huwezi kumfunga mtu kwa sababu kakiri kosa, lazima uhakikishe kichwa yake iko vizuri maana wengine ni uwoga tuu au kutokuelewa sheriaMkuu kisheria, Mtuhumiwa akikiri kosa kifuatacho ni kukutwa hatiani na kosa ( convicted) baada ya hapo atasomewa adhabu ya kosa, ana haki ya kujitetea kupunguziwa adhabu kabla ya hukumu ( Mitigating factors) na mwisho tarehe ya hukumu kusomwa itafuata.
Mahakama imefuata utaratibu, asubiri kukata rufaa tu japo haitakuwa na nguvu kwasababu alikiri kosa mwenyewe.
Ni wasi sikubaliani na matendo hayo ila alichofanyiwa yule kijan siyo sawa upelekez wake haukuwa sawa Ni vyema hata walio muingilia wakamatwe wabanwe wakiriiHuyu HAKIMU WA MWENDOKASI ni mjinga na mpumbavu.
Kwanza ni wazi anaonekana yuko BIASED na ANAWACHUKIA MASHOGA ndio maana akawa na MUNKARI wa kuendesha kesi kwa SIKU MOJA kama anaendesha BARAZA LA KATA.
KESI YA JINAI ni uhai wa mtu. Huwezi kuitupa nafsi ya mtu jela miaka thelathini ili tu kujifurahisha hisia zako. NI UONEVU MKUBWA SANA NA UKATILI WA AJABU (Na najiuliza huyu hakimu kama usiku analala kwa amani kabisa akijua amedhulumu nafsi ya mtu).
Sijawahi ona kesi haina ushahidi wala utetezi. Ati mtu anafungwa saa hiyo hiyo. NOO.
WE CAN NOT HAVE SUCH A COURT IN A CONSTITUTIONALLY GOVERNED STATE.
HUYU HAKIMU WA MWENDOKASI AMULIKWE NA AFUNGULIWE MASHTAKA YA PROFESSIONAL INCOMPETENCE.
RUFAA BAADAYE.
Mkuu una hasira Sana [emoji38] naamin ujawai kuwatumia mashoga ila hapa umeonesha kykerwa mno na hukumu hyoHakimu mpumbavu na mjinga sana.
Hawa ni wale MAHAKIMU WA DIVISHENI FOO wa kipindi cha JAKAYA.
Hatuwezi kuwa na mahakama ya aina hii katika JAMUHURI inayoongozwa na KATIBA. IF THIS IS TRULY A REPUBLIC, LET THE DECISION BE QUASHED AND NULLIFIED.
Mahakama ambayo inafunga watu JELA vifungo vya kikatili bila ushahidi wala utetezi. Mahakama inayoendeshwa kwa MIHEMKO na HISIA BINAFSI ZA HAKIMU ASIYE NA ELIMU YA SHERIA. HAPANA.
Huyu hakimu anaendeshwa na mihemko na upepo wa ushoga.
Haijalishi mtu amefanya dhambi kiasi gani, ni lazima apewe fursa inayokubalika kisheria ili ajitetee na kutoa maelezo yake.
Naona ananiambia please let me close to your little sons so I convince them to play with my shit?? Please Mama SatCitAnanda I can't help it I want shit play!Me sahivi nikiona mtetea ushoga naona mtu kanishikia mavi usoni ananiambia "Please support me for playing with my shit "?