Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Eti utafikiri alijifanya mwenyeweNchi ina vituko hii, basha wake hata jina hatajwi. smh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti utafikiri alijifanya mwenyeweNchi ina vituko hii, basha wake hata jina hatajwi. smh
Kuna mmoja mitaa ya kwetu alijifanya hivyo lkn ukiponzwa ukamuita kando umekwisha anakugeuzia kibao anakomba Kila kitu anakuwa na bonge la simeMahakama ya wilaya ya kyela imemtia hatiani na kumhukumu miaka 30 jela mshitakiwa aliefahamika kwa jina la claud Alex Mwinuka alimaarufu kama kibakuli(22) mkazi wa mwanganyanga kyela kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Akizungumza mahakamani hapo Hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya kyela Paul Mabula Barnabas amesema kuwa mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapa leo tar 6/4/2022 kwa kosa la kuruhusu mwanaume kumuingilia kinyume na maumbile ikiwa ni kinyume cha kifungu cha 154 kifungu kidogo cha kwanza C cha sheria ya kanuni ya adhabu kama ilivyorekebishwa mwaka 2022.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo,mshtakiwa akakili kosa na baada ya kukili mahakama imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela.
Itakumbukwa video za kijana huyo zilisambaa katika mitandao ya kijamii siku chache zilizopita ikiwa amevaa mavazi ya kike usiku wa manane pindi alipokamatwa na vikundi vya ulinzi shirikishi maarufu kama sungusungu.View attachment 2578736
InakaBAN flan hiviTunahisi hivyo 🤣🤣🤣🤣
Kosa la huyo Shoga wa Mbeya ni kujitangaza hadharani kuwa ni Shoga ama kwa maneno au kwa mavazi.I don't condone ushoga ila muwe mnatoa hoja zenye mantiki mnapotetea/kupinga hoja.
Hakuna mnyama anavaa nguo kwanini binadamu anavaa?
Hakuna mnyama analima kwanini binadamu analima?
Kufananisha binadamu na wanyama is absurd.
Kosa la huyo Shoga wa Mbeya ni kujitangaza hadharani kuwa ni Shoga ama kwa maneno au kwa mavazi.
Hivi angetulia ndani na basha wake ni nani ange mbugudhi ?
Tatizo la Mashoga hawataki kujiridhisha sirini na Mabasha wao.
Wanataka kufundisha Ushoga wao kwa watoto wetu hali ya kuwa wao hawataki kuzaa.
Ndio maana wazazi tunakasirika na kutaka wanyongwe tu. Kama wewe ni Shoga na una basha wako, kwanini hutulii Naye.
Mimi naridhika na hukumu kuwa Shoga akijitangaza na auliwe tu.
Mashoga ishu zao ni kujiremba, kutongozwa, kufirwa, kula, kunywa, kucheza muziki na kujipaka poda.
Hivi huu ndio ukiwa msimamo wa Taifa? si tutatawaliwa hata na Senene
Naomba mfirane huko huko chumbani kwa siri hadi hamu iwaishe.
Mkijitokeza hadharani mimi niko tayari kuwaua.
Huyu dogo ni chizi hazijatimia toka mtoto,kwa mnaoelewa psychology,muangalie kichwa chake tu utatambua [emoji24][emoji24][emoji24]Mahakama ya wilaya ya kyela imemtia hatiani na kumhukumu miaka 30 jela mshitakiwa aliefahamika kwa jina la claud Alex Mwinuka alimaarufu kama kibakuli(22) mkazi wa mwanganyanga kyela kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Akizungumza mahakamani hapo Hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya kyela Paul Mabula Barnabas amesema kuwa mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapa leo tar 6/4/2022 kwa kosa la kuruhusu mwanaume kumuingilia kinyume na maumbile ikiwa ni kinyume cha kifungu cha 154 kifungu kidogo cha kwanza C cha sheria ya kanuni ya adhabu kama ilivyorekebishwa mwaka 2022.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo,mshtakiwa akakili kosa na baada ya kukili mahakama imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela.
Itakumbukwa video za kijana huyo zilisambaa katika mitandao ya kijamii siku chache zilizopita ikiwa amevaa mavazi ya kike usiku wa manane pindi alipokamatwa na vikundi vya ulinzi shirikishi maarufu kama sungusungu.View attachment 2578736
Hilo ndiyo linanifikirisha Sana [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]kinyaaIla Kuna wenzetu Wana roho ngumu sana, kibaba kama hicho kinaonekana kina mbavu kabisa unaanza vipi kudindisha?? Ila aisee watu tumetofautiana aisee
Huyo dogo namjua ni chizi toka katoto, Sasa hilo la kuingiliwa itakua kweli, maana binadamu walikoma kuzaliwa mwaka 1980, baada ya hapo wanaozaliwa watu.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] itakua wale wavuta bangi watakua wamemrubuni wakamfundishaAmeonewa. Je, walimpima akili kabla ya kumhukumu?
Haya mambo hayana mipaka,huko ni Homeland,cha ajabu nimeeenda likizo nimekuta Kuna vijana walizamia SA,wamefungua vijiwe vya Ngada,na mateja Ni Kama dar tu [emoji24][emoji24][emoji24]H
Iyo ni Kyela, ingekua tukio limetokea zanzobar ingeenea Tanzania nzima na viunga vyake
Pia kwa kuongeza huyo mtoto ni chizi he was born with autism, kilisoma na kuacha shule ya msingi kyela,ndandalo,kalikua kanazurula sokoni, Sasa hilo la kuingiliwa itakua kweli Lakini wahuni took advantage over him kwa sababu mental disorder yake.Ujinga mtupu, hiyo BANANA COURT inahukumu watu SUMMARILY bila hata ushahidi?
Kesi gani inaendeshwa kwa siku moja bila kuzingatia ushahidi wa kidaktari na kitaalamu?
This is a WRONG PLEA OF GUILTY which needs to be QUASHED.
Huyu hakimu anatembea na upepo ili aonekane anapinga ushoga. Amulikwe.
Sio haki kumfunga mtu kisa tu ametumia mwili wake kufanya mapenzi atakavyo. Kama kuna sheria inayosema hivyo, ni sheria BATILI.
Akate rufaa haraka.
Yaani huyo jamaa inaonekana ni mwendawazimu kwa kumtizama tu. Halafu wamempiga balaa, hivi ukimkamata mtu asiye na silaha halafu mnampiga hii imekaaje?Mtakuja wafunga wendawazimu!
Sio vibaya kama angepimwa Afya ya Akili pamoja na huyo aliye muingilia!
Tena huyo hakim u alitakiwa afukuzwe kazi kuendesha kesi kezembe.Pia kwa kuongeza huyo mtoto ni chizi he was born with autism, kilisoma na kuacha shule ya msingi kyela,ndandalo,kalikua kanazurula sokoni, Sasa hilo la kuingiliwa itakua kweli Lakini wahuni took advantage over him kwa sababu mental disorder yake.
Hata walipomuuliza kuhusu hizo nguo za kike alizovaa, alisema ni zangu [emoji24][emoji24][emoji24]
Inasikitisha!Yaani huyo jamaa inaonekana ni mwendawazimu kwa kumtizama tu. Halafu wamempiga balaa, hivi ukimkamata mtu asiye na silaha halafu mnampiga hii imekaaje?
Kazi ya samia hiiYaani huyo jamaa inaonekana ni mwendawazimu kwa kumtizama tu. Halafu wamempiga balaa, hivi ukimkamata mtu asiye na silaha halafu mnampiga hii imekaaje?
Aiseee.. inasikitisha sanaPia kwa kuongeza huyo mtoto ni chizi he was born with autism, kilisoma na kuacha shule ya msingi kyela,ndandalo,kalikua kanazurula sokoni, Sasa hilo la kuingiliwa itakua kweli Lakini wahuni took advantage over him kwa sababu mental disorder yake.
Hata walipomuuliza kuhusu hizo nguo za kike alizovaa, alisema ni zangu [emoji24][emoji24][emoji24]
Karibu ulingoni, pole kwa ban, nilikumiss kweli, nilikufata pm kukuuliza kulikoni au ulimtukana mtu ? Nako block kulikuwa, karibu mpendwa jukwaani.Aiseee.. inasikitisha sana