Hao DPW wamefanya kazi hadi UK sasa sisi ni nsni hadi tuogope?Tutashitukia baglashia na hizblaa zimejaa bandari I ndio furaha yako wala hakuna Cha weledi hapo.Mama amewapa Bure bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao DPW wamefanya kazi hadi UK sasa sisi ni nsni hadi tuogope?Tutashitukia baglashia na hizblaa zimejaa bandari I ndio furaha yako wala hakuna Cha weledi hapo.Mama amewapa Bure bure
Shida vipengele vya mkataba mkuu.....!Hao DPW wamefanya kazi hadi UK sasa sisi ni nsni hadi tuogope?
Rostom Aziz amesema hakuna
mahakama zetu hazina uwezo wa kusikiliza kesi
Boniface Mwabukusi na mwenzake Philip Mwakilima, wakisema mkataba huo hauna maslahi kwa Taifa na haujashirikisha maoni ya Watanzania ili kuuridhia kati yake na kampuni ya DP World ya Dubai.
Naamini haki itatendeka,
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Shida vipengele vya mkataba mkuu.....!