Chama cha Mizigo, madiwani wa maCCM wanakuwa na matatizo gani?
Wangelipiza kwa diwani husika, "wangemmabina" kwa watoto wake wamekosea sana japo ujumbe umemfikia akiwa hai.
Poleni wafiwa ila huyo diwani wammabina fasta...
Huko ndiko chadema wanakotupeleka
Nawatakia kila la heri polisi watakaofanya operesheni kamata kamata huko mbeya
NAWAOMBA POLISI WASIACHE HATA JIWE MOJA BILA KULIGEUZA.
PIGA KAMATA FUNGA, ndio dawa
Huko ndiko chadema wanakotupeleka
Nawatakia kila la heri polisi watakaofanya operesheni kamata kamata huko mbeya
NAWAOMBA POLISI WASIACHE HATA JIWE MOJA BILA KULIGEUZA.
PIGA KAMATA FUNGA, ndio dawa
Huko ndiko chadema wanakotupeleka
Nawatakia kila la heri polisi watakaofanya operesheni kamata kamata huko mbeya
NAWAOMBA POLISI WASIACHE HATA JIWE MOJA BILA KULIGEUZA.
PIGA KAMATA FUNGA, ndio dawa
Watu wasiojulikana wamewaua watoto wawili,mmoja akiwa ni binti wa kazi wa Diwani wa CCM kata ya Mkingamo wilaya Momba mkoani Mbeya.
Chanzo cha mauaji inasemekana ni dhuluma ya viwanja kwa wananchi wa kawaida.
Habari zaidi zinasema kawadhurumu wananchi viwanja vingi sana,wakati mwingine huuza kiwanja kimoja kwa zaidi ya watu watatu.
Inasemekana hata ukimpeleka mahakamani anakushinda kesi,kifupi ni kuwa mahakama aliiweka mfukoni.
Chadema au Ccm?Hao wanaongozwa na nguvu za shetani, sawa tu na mleta post anaye3andika kwa kufurahia.
Chadema ni chama hatari kwa usalama wetu, haya mambo hayakuwepo zamani
Waliopewa dhamana wamemuangusha akiwemo "wapigwe tu".Hatari hii. Na mkuu wa nchi kutwa kuchwa yupo angani tu akija kushtuka nchi haikaliki tena!
duh nguvu ya umma sasa inaamua kuchukua mkondo wake, lazima wengine watajifunza kupitia hao wenzao wanaochinjwa maana wananchi tumechoka mahakamani wanatushinda na tukichelewa watatuua wao kwa hiyo tunajilinda sisi pamoja na mali zetu
Uliacha upolisi kwa sbb gani? Ulifukuzwa? Una roho km ya luzferi... Wacha roho km ya shetani...Wee mbulumundu tu kama viongozi wako
Mshukuru niliacha upolisi, sidhanai kama bado ningekuwa jeshini wengi mngekuwa mnafanya upuuzi kama huu.
Nilikuwa sicheki na mhalifu, na siku ukiona meno yangu ujue nataka kukuuma sio kukuchekea...,,,, kenge wee!
Hao wanaongozwa na nguvu za shetani, sawa tu na mleta post anaye3andika kwa kufurahia.
Chadema ni chama hatari kwa usalama wetu, haya mambo hayakuwepo zamani
aliwahi kuangakua kwa kifafa tangu wakati huo akili yake haiko sawa huyo LukosiTumefika hapa tulipo kwasababu ya maneno kama ya Chris Lukosi!. Na tusishangae kuona mengine na mengine kama wanasiasa uchwara kama Lukosi wataendelea kuliangamiza taifa kwa kutokuwa na hoja na badala yake kueneza chuki!.